TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

ml
Kwenye msiba wa Ruge Nakumbuka Tale Salam na Diamond walitoa post za vicheko na kebehi as if walifurahia Hilo tukio. Sasa leo Tale kaonja uchungu wa kufiwa. Hata Kama unamchukia mtu usifurahie kifo chake. Leo Salam kakataa mkono wa Harmonize Ni chuki gani hiyo.
Ni muendelezo wa Imani za kishirikina huyo salama nae mshirikina tu Kama harmonize sema Kiba hapendi kujionyesha [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima ukiwa msibani kuna vitu vingine unaangalia kama vipo sawa na unaonesha utaratibu upoje, siyo umekaa na kwa dar wahuni wanabeba gari inapitishiwa kwa juu ukutani
Weee acha zako kwan huyo tale hana ndugu, jamaa, marafiki, na watu wa karibu? Khaaaaah mda wote macho juu juu na kuzunguka , yaan pale anaingia diamond et anampa maelekezo sehem ya kuchukua udhu, khaaaaaaah
 
Hahahaaa [emoji3] safi
Jomoneeeeh acha bhana tale kaboa kutoa kafara mkewe, mbona sample za utajili n nyingi tyuuh tena ts easy, angemuambia mganga wake asimpe ya kuua, ila yeye mwenyew tale awe anatoa funza mwilin kwa week mara 2, simple tu mkwanja unaingia kwa wingi au km huo ubunnge anaupata, fresh maisha yanasonga km kawa.
 
Mkuu, punguza, punguza. kua na wasiwasi sio vibaya, ila kushudia jambo ambalo hujaliona ni vibaya sana, mimi nimemuona Tale anashusha kilio haswa , tena sio kile cha kiume cha kulia kimya kimya hata jirani yako uliekaa nae hasikii labda ashtukie chozi , nimeona anapiga ukunga haswa,

kua na wasiwasi it's fine..ila hayo mengine si sawa
kwahyo mie tale sijamuona? Au naropoka hapa? Hilo unalosema weeee labda n huko mazishini, na wala halii in real muongo tyuuh, kwa ukunga upi huo aaaaaah, cheeeefuuuuuuuuuuh
 
Dea imagine mkewe anaenda kwa makonda na jokate kuwaomba msaada wawalee wanae na kuwapa protection, km akifa huku yeye akiwa n mgonjwa, hivi huon ishara yeyote? Mweeeeeeeh
Napitia comments zote kwa umakini

Wala siioni hoja yako
 
kwahyo mie tale sijamuona? Au naropoka hapa? Hilo unalosema weeee labda n huko mazishini, na wala halii in real muongo tyuuh, kwa ukunga upi huo aaaaaah, cheeeefuuuuuuuuuuh
Ulimtongoza akakutolea nje nn ?chuki za nn kwa mtu ambae hamna uhusiano wowote wala hakuna mwenye effect au impact yeyote kwenye maisha ya mwenzie

chuki inatoka wapi??
 
Kufiwa na mtu wa karibu nimewahi, na hali yake naijua, ila tale hapan haoneshi hata km yeye n mfiwa, jaman akili kuruka ndio vile khaaaah, si atulie utaratibu unaendeshwa km ilivyopangwa. Jana imetumwa clip mtandaon yupo bize na cm tyuuh. Khaaah hadi watu wakawa wanahoji.
Alitakiwa awe analia muda wote au alitakiwa afanyeje ili nyinyi muone ana huzuni ?
 
Kwani uchungu una upimaje?
Ulitaka muda wote atoe machozi?
Alie huku anagala gala?
Au ulitaka azimie ndio useme kaguswa na msiba?

Mbona mnakuwa waswahili nyinyi,nyinyi ndio wale baada ya msiba nmnaanza kwenda kwa mganga kwenda kupiga bao kujua kama ndugu yako kafa kweli au msukule,ndio kwa akili zenu watu kama nyinyi Gwajima aliwageuza mtaji wa kupiga hela na kutengeneza brand la kanisa lake.

Hivi hushaudhuriaga misiba ambayo wafiwa wanapiga bia muda wote,hawa nao mtasemaje?

Kama hujui kuna wengine uchungu wa Msiba unaanza baada ya kuzika na kuna wengine wapo cool,ila ndani ya vifua vyao kuna maumivu ya uchungu husio pimika.

Yaani mtu kushika simu ndio mnashangaa,mimi jana jamaa yangu kazika baba yake Kigamboni muda alikuwa na simu anachat na sisi na yy ndiye aliye tuelekeza msibani na michango tumemtumia kwenye simu.

Huu uhuru tuliopewa na JF tusiutumie kuwadhalilisha au kuwaumiza wengine kihisia,kisa sababu ya hisia zako za kijinga.

Nyie mlitaka Babutale aomboleze vipi?
Mitandao ya kijamii imejaa vilaza wengi sana, sema wanalindwa na kipengele cha freedom of expression.
 
Ulimtongoza akakutolea nje nn ?chuki za nn kwa mtu ambae hamna uhusiano wowote wala hakuna mwenye effect au impact yeyote kwenye maisha ya mwenzie

chuki inatoka wapi??
Sina chuki nae, halafu km umeshindwa kunipinga kwa hoja bas ungekaa kimya, na ulishajua kati ya me na tale hakuna uhusiano wowote wala effect ktk maisha ya kila m1, sasa kipi kimekufanya u react hivi? Sorry broohz kaa kwa kutulia, kunywa maji mengi afu relaaaaaaaaaaaaaax.
 
Wee hujui chochote kaa kimya tyuuh, kwan unataka wote tuwe na mtazamo sawa? Amini unavoona kwako n sawa, na pia me vilevile, aaaaah yaan msiba wa mke uwe bizze na kuchat khaaaah damon lol.
Unavyosema yupo busy na kuchat ni kama vile alikuwa anachat na wewe kumbe ni chuki zako na hisia zako mbovu tu.

Ila siku za karibuni nimeamini kweli watu hoihae wanahisi watapata nafuu ya maisha kwa kuwachukia waliowazidi kimaisha.
 
Unavyosema yupo busy na kuchat ni kama vile alikuwa anachat na wewe kumbe ni chuki zako na hisia zako mbovu tu.

Ila siku za karibuni nimeamini kweli watu hoihae wanahisi watapata nafuu ya maisha kwa kuwachukia waliowazidi kimaisha.
Sasa je ameshika cm ana type kwahyo hakuwa ana chat? Hilo jingine ni wazo na fikra zako, hazinihusu
 
Back
Top Bottom