TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

Usigenerolaizi bwana. Mimi ni mwanamke na robo tatu. Hatuwezi kuwa na mawazo sawa. Just bicozi iam not in the same wavelength as you eti basi am wikedi. Ohooooooooo.Tukubali kutokukubaliana mimi ni mpakwa mafuta ninajua vitu beyond your capacity. Tofautisha kuwa deep kwenye kijiko na kuwa deep kwenye pacific ocean. Yes am wicked.....Kwani wewe unaongeza ama kupungukiwa nini ?Kipe Yayo...ma camarade na ngai.

[emoji3][emoji3] Vick bana! Uzuri mi na wewe hatujaanza kuchambana humu leo! Tangu enzi za nyuzi za Zari huko..... acha roho mbaya hiyo bibi wewe, kuwashuhudia wenzio mabaya kila siku.
 
Binafsi nitakuwa wa mwisho kuamini Tale anaweza kumuua mke wake... the guy loved his wife for real though hiyo haiwezi kuwa excuse! Ninachoamini, kuua/kupoteza mke si jambo dogo! Mtu anaweza kupata wazimu wa kuua mtoto kuliko mke!

Kuhusu Wabongo na ushirikina, niligundua hili jambo years back... nilipata tatizo ambalo lilinitoa kabisa kwenye reli!

Ajabu, hata Washikaji ambao sikuwahi kabisa kuwadhania, na wenyewe wakawa wananishauri niende kwa Waganga!

Ukirudi kwa ndugu, na sie Waswahili tuishio Uswahilini ndo taabu tupu!!

Mtu ambae aliniweza, alikuwa ni my ex! Kwanza huyu alikuwa very supportive kwenye mitihani niliyokuwa nimekumbana nayo! On top of that, she's dah... very decent and humble to the point nilishindwa kabisa kumkatalia!

Sasa kuna siku akaja home akasema kuna Sheikh keshamlipa, na huyo Sheikh aliwahi kumsaidia kakake; kwahiyo niende tu Sheikh atafanya mambo!!!

Sipendi kuwa mnafiki; ingawaje mimi ni Mwislamu but I don't trust these so-called Sheikhs wakiongeza uganga kwenye CV zao! Sasa nikawa njia panada, huyu my ex- ni very supportive, na mbaya zaidi keshamlipa the so called Sheikh... what should I do!

Nikaamua kwenda kwa sababu kuu 2, mosi the girl ni Mkatoliki Damu, na pili nikaamini inawezekana akawa Sheikh kweli kwa sababu niliamini there's no way huyu mrembo angenipeleka kwa mganga!

Kufika kwa sheikh sasa... advertize ya kwanza kuna madrasa! Nikapata nguvu! Later on akaleta vijana wake pale wakajifanya kusomasoma, walipokuja kuniboa, muda nataka kuondoka nikapewa kidumu cha lita 5, ndani sijui kuna madudu gani sijui... eti nikaoge kwa siku 7!

Nikajua hawa ndo wale wale!!!

Sasa nikikumbuka kile kipindi, kila unayekutana nae, hakuna cha maana anachokuambia "...kule kuna mzee fulani!" "Mkuranga, kuna bibi fulani!" Kuna mshikaji alishawahi kunilipia hadi nauli eti niende Tanga!!!!

Tukirudi kwa Tale, kingine kinachomsumbua ni shule! Kichwa kikiwa cheupe unaropoka chochote bila kujali consquences zake hapo baadae ingawaje uropokaji na wenyewe kwa wengine ni kipaji cha kuzaliwa nacho!!

Matokeo yake, ndo kama ulivyosema, hivi unaepukaje tuhuma za ushirikina wakati amekuwa akiongea hata mwenyewe hadharani!!
Yule aliemchoma mke wake kwa gunia kule kigamboni?
 
Kifo kipo tumeumbiwa Binadamu.Ni suala la mda tu ukifika unakwenda.,Si vizuri kutoa shutuma nzito kwa mume wa marehemu.Usilolijua litakusumbua.Pumzika salama Shammy nails.Mungu akawe mfariji wa watoto wako.Amen.
 
Yule aliemchoma mke wake kwa gunia kule kigamboni?
Mosi, sijasema kuua mke haiwezekani bali nimesema si jambo dogo; pili mazingira ya huyo unayemtaja na mada hii hayafanani hata kidogo! Au na huyo wa Kigamboni alimuua mkewe ili atoe kafara?!

For what I know, yule wa Kigamboni hapakuwa na maelewano kwenye ndoa, na kwahiyo ni mauaji yaliyotokana na hasira!!
 
Binafsi nitakuwa wa mwisho kuamini Tale anaweza kumuua mke wake... the guy loved his wife for real though hiyo haiwezi kuwa excuse! Ninachoamini, kuua/kupoteza mke si jambo dogo! Mtu anaweza kupata wazimu wa kuua mtoto kuliko mke!

Kuhusu Wabongo na ushirikina, niligundua hili jambo years back... nilipata tatizo ambalo lilinitoa kabisa kwenye reli!

Ajabu, hata Washikaji ambao sikuwahi kabisa kuwadhania, na wenyewe wakawa wananishauri niende kwa Waganga!

Ukirudi kwa ndugu, na sie Waswahili tuishio Uswahilini ndo taabu tupu!!

Mtu ambae aliniweza, alikuwa ni my ex! Kwanza huyu alikuwa very supportive kwenye mitihani niliyokuwa nimekumbana nayo! On top of that, she's dah... very decent and humble to the point nilishindwa kabisa kumkatalia!

Sasa kuna siku akaja home akasema kuna Sheikh keshamlipa, na huyo Sheikh aliwahi kumsaidia kakake; kwahiyo niende tu Sheikh atafanya mambo!!!

Sipendi kuwa mnafiki; ingawaje mimi ni Mwislamu but I don't trust these so-called Sheikhs wakiongeza uganga kwenye CV zao! Sasa nikawa njia panada, huyu my ex- ni very supportive, na mbaya zaidi keshamlipa the so called Sheikh... what should I do!

Nikaamua kwenda kwa sababu kuu 2, mosi the girl ni Mkatoliki Damu, na pili nikaamini inawezekana akawa Sheikh kweli kwa sababu niliamini there's no way huyu mrembo angenipeleka kwa mganga!

Kufika kwa sheikh sasa... advertize ya kwanza kuna madrasa! Nikapata nguvu! Later on akaleta vijana wake pale wakajifanya kusomasoma, walipokuja kuniboa, muda nataka kuondoka nikapewa kidumu cha lita 5, ndani sijui kuna madudu gani sijui... eti nikaoge kwa siku 7!

Nikajua hawa ndo wale wale!!!

Sasa nikikumbuka kile kipindi, kila unayekutana nae, hakuna cha maana anachokuambia "...kule kuna mzee fulani!" "Mkuranga, kuna bibi fulani!" Kuna mshikaji alishawahi kunilipia hadi nauli eti niende Tanga!!!!

Tukirudi kwa Tale, kingine kinachomsumbua ni shule! Kichwa kikiwa cheupe unaropoka chochote bila kujali consquences zake hapo baadae ingawaje uropokaji na wenyewe kwa wengine ni kipaji cha kuzaliwa nacho!!

Matokeo yake, ndo kama ulivyosema, hivi unaepukaje tuhuma za ushirikina wakati amekuwa akiongea hata mwenyewe hadharani!!
Ndio hapo Sasa Kama watu Wana mshuku tale kwa kifo Cha mkewe sio kuwa wanakurupuka

Wanahisi maana jamaa amejiweka wazi mwenyewe kwamba yeye Ni mshirikina kindakindaki .

Sasa kifo Cha ghafla Cha mkewe watu lazima wawe na mshaka huwezi wazuia .

Anyway ajue Mola

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3] Vick bana! Uzuri mi na wewe hatujaanza kuchambana humu leo! Tangu enzi za nyuzi za Zari huko..... acha roho mbaya hiyo bibi wewe, kuwashuhudia wenzio mabaya kila siku.
Roho mbaya na umaskini ni ingredients za kutosha kabisa za kumfanya mwenye nazo awe na chuki.
 
Mosi, sijasema kuua mke haiwezekani bali nimesema si jambo dogo; pili mazingira ya huyo unayemtaja na mada hii hayafanani hata kidogo! Au na huyo wa Kigamboni alimuua mkewe ili atoe kafara?!

For what I know, yule wa Kigamboni hapakuwa na maelewano kwenye ndoa, na kwahiyo ni mauaji yaliyotokana na hasira!!
Kuua kwa kutoa kafara unakupimaje ?
 
Mpenzi-rafiki mie wa ndoa basi? Ni wewe tu umenichunia ati kwa sababu Laizer wa Tanzanite ni nduguyo! [emoji3] vibaya hivyo....
Hamna bhana, unajua fika kwamba siwezi kukuchunia! Naanzaje kwa mfano kukuchunia mtoto mashallah mzuri mzuri kama wewe wakati kufanya hivyo ni sawa na kutenda makosa sita ya jinai kwa mpigo!!

In fact, Uncle Laizer isn't just a ndugu, yule ni uncle kabisa, toka nitoke na mama ake na mimi! Lakini angalizo ni kwamba, hivi sasa hapa home tunamuita Uncle Lay! Mnaanzaje kwa mfano kumuita Laizer wakati hata WCB nako kuna Laizer?!

Mpeni heshima yake uncle angu tafadhali!
 
Ndio hapo Sasa Kama watu Wana mshuku tale kwa kifo Cha mkewe sio kuwa wanakurupuka

Wanahisi maana jamaa amejiweka wazi mwenyewe kwamba yeye Ni mshirikina kindakindaki .

Sasa kifo Cha ghafla Cha mkewe watu lazima wawe na mshaka huwezi wazuia .

Anyway ajue Mola

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini siamini kwamba wanafanya hivyo eti kisa tu alisema yeye huwa anaenda kwa waganga!!! Na ndio maana nikasema kama kwenda kwa waganga ingekuwa ndo kuwa na uwezo wa kuua, mbona familia nyingi ingekuwa zimeteketea manake Wabongo na wenyewe hawajambo kwa haya mambo!

Ukiangalia hapa ni u-team tu wa Diamond vs Kiba ndio unawafanya watu waseme hivyo na wala hakuna kingine!!
 
Hamna bhana, unajua fika kwamba siwezi kukuchunia! Naanzaje kwa mfano kukuchunia mtoto mashallah mzuri mzuri kama wewe wakati kufanya hivyo ni sawa na kutenda makosa sita ya jinai kwa mpigo!!

In fact, Uncle Laizer isn't just a ndugu, yule ni uncle kabisa, toka nitoke na mama ake na mimi! Lakini angalizo ni kwamba, hivi sasa hapa home tunamuita Uncle Lay! Mnaanzaje kwa mfano kumuita Laizer wakati hata WCB nako kuna Laizer?!

Mpeni heshima yake uncle angu tafadhali!

Hahah hatari sana, nimalize kwa kusema mimi na wewe tutaonana kwenye kilinge chetu.
 
unauliza makofi polisi,unamkumbuka yule bibi mweupe kwenye nenda kamuambie?huyo domo siyo yeye hata mbele huko entertainment industry ni shida sana kaka,matajiri na wenye mafanikio ni mmoja katika laki moja aliye clean kuna clips zake huwagaanatingisha kichwa kama ana maruhani hivi,nitafungulia thread niweke na clips na za lil wayne ni the same kama vile kwa nukta kadhaa wanapoteza network halafu inarudi
Music industry inaongozwa na "illuminat"
Ila watu hawataki huo ndo ukweli ili ufanikiwe upande huo lzm ukubaliane nao,hutaki utasota na kupotea!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanamna nijuavyo mke anauma sana tena sana. Ni ajabu na kweli katika hali hii mtu yuko busy na simu wakati wa msiba. Mke ananiachia watoto wanne...Nawaza watoto wanakua bila Mama, Nawaza ni nani atakayefit kunisaidia kuwalea hao watoto. Sidhani hata mama ataweza hili..Nimewaza sana na kuconclude ya walimwengu, sometimes usikute yana ukweli mtupu.

Picha kwa hisani ya Dar_story IG Account
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1491215
Hii hata mi imenishangaza,nimeona picha ,clip insta utafikiri hajafiwa sijaelewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom