TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

Music industry inaongozwa na "illuminat"
Ila watu hawataki huo ndo ukweli ili ufanikiwe upande huo lzm ukubaliane nao,hutaki utasota na kupotea!

Sent using Jamii Forums mobile app
Walokole akili zenu ziko mgongoni.


Nyie walokole si ndio zaman mlikuwa mnasema simu, computer hata na mpira ni vitu vya illuminat ila leo naamini unaujua ukweli.


Ningekuona wewe Ni wa maana na hiyo Dini yako ya kinafiki Kama ungemuachia Mungu ndio amuhukumu Babu tale. Kama ni illuminat au sio illuminat Mungu ndio atahukumu ila nawashangaa mmejazana humu na kujifanya malaika kumuhukumu mwenzenu.
 
No,ingia insta clip za jana wanapoenda kuzika,utabaki unashangaa,utafikiri wanaenda kwny show!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nasema walokole ni wajinga Sana mnataka mnavyoishi nyie ndio kila mtu aishi.


Kuna makabila hapa tanzania kwenye msiba huwa ni mwendo wa Bia Hadi asubuhi sijui hao nao unawazungumziaje Kama unakereka kuona Babu tale akiwa na huzuni ndogo usoni kwako. Mwisho wa siku huzuni ya mtu iko moyoni mwake na sio ikae usoni kwake ili wewe ufurahi.
 
cocastic nisaidie kujibu hili swali
Uwiiiiiiiih sasa kwani ajabu n kipi km babu tale n mlozi? Alishakiri sana hadharan tena seriously, na ukweli ndio huu kamtoa mkewe kafara ili apate ubunge,
Na kuthibitisha hilo aliweka kipande cha bendera ya chama chake ktk dirisha sehem ambayo mwili wa marehemu ulipofikia,
Ili zindiko lake liweze kukamilika hapo wakati husika.
 
Uwiiiiiiiih sasa kwani ajabu n kipi km babu tale n mlozi? Alishakiri sana hadharan tena seriously, na ukweli ndio huu kamtoa mkewe kafara ili apate ubunge,
Na kuthibitisha hilo aliweka kipande cha bendera ya chama chake ktk dirisha sehem ambayo mwili wa marehemu ulipofikia,
Ili zindiko lake liweze kukamilika hapo wakati husika.
Wasipokuelewa msemaji wa familia basi vichwa vyao vigumu sana
 
Ukubwa wa akili ya mshauri sio kigezo cha ubora wa ushauri.

N:B ALIYEGUNDUA MOTO HAKUSOMA NA HAKUWA NA ELIMU YOYOTE.
(goma kutumia moto tukuone)

Tekeleza ushauri.
ELIMU NI MAARIFA MAPYA YA KITU CHOCHOTE KILE UNACHOJIFUNZA.
inaweza kuwa Uwindaji, Uchongaji, Upishi, Ujenzi, Carpentry, Ufundi Magari, Ufundi Nguo, Ukulima etc.
Tatizo lako wewe ni kwamba ukisikia tu neno Elimu, basi wewe akili inawaza Kalamu, Karatasi, Daftari, Kitabu, Uniform etc.
Turejee kwenye hoja yako, Aliyegundua MOTO sio sahihi kusema kwamba hakuwa na ELIMU, si kweli.
Aliyegundua MOTO alikuwa na ELIMU ya mambo mengine inawezekana ikawa UWINDAJI, etc. Maana Kihistoria jamii za kale zilifundisha WATOTO wao ELIMU kama za Uwindaji, Ukusanyaji Mali, Vita etc.
Kihistoria ugunduzi wa moto ilikuwa ni matokeo yaliyokuja bila kukusudiwa. ( Kihistoria lengo kuu la aliyegundua moto halikuwa kugundua MOTO bali kufanya vitu vingine, na kwenye vitu hivi vikazalisha moto.
My Point is, ELIMU ni Maarifa ya kitu chochote.
Katika MODERN WORLD tunaigawa ELIMU katika makundi mawili (2) :-
• ELIMU RASMI (formal education)
• ELIMU ISIYO RASMI (informal education)
Formal Education ni elimu ya darasani ambapo mtu anafunzwa kufata kanununi na mbinu zilizobuniwa na wengine ili zisaidie mtu kumudumu mazingira yanayomzunguka (ulimwengu). ELIMU ya kutunza kumbukumbu na maarifa kwa kuandika na kusoma.
Informal Education, ni elimu isiyohitaji kujua kuandika au kusoma. Ni elimu ya kujifunza vitu kupitia watu wanaokuzunguka na haihitaji utunzaji wa kumbukumbu kwa kuandika na kusoma.
ili ufanye vitu kiubora ni shurti uwe na MAARIFA NA UJUZI (Ujuzi nao ni ELIMU, na Maarifa ni elimu pia vile vile.)
Hapo utagundua kila mtu na ELIMU (maarifa) yake, iwe mtu ni Fundi Mechanics, Fundi Gereji, Fundi Ujenzi, Fundi wa Electronics, Fishing, Ukulima, hata Upishi nao huhitaji elimu (maarifa na ujuzi).
NDO MAANA TUNASEMA ELIMU (KUJIFUNZA) HAINA MWISHO, SABABU VITU VYA KUJIFUNZA VIPO VINGI NA HAKUNA MTU ANAYEJUA KILA KITU DUNIANI.
 
Kila mtu anafiwa na hakuna mtu mwenye experience ya kufiwa.

But inapotokea mtu Fulani akawa anapatwa na misiba sana NI Jambo linalo fikirisha. Yafaa watu kuhoji kunani?

NI mipango ya Mungu au Kuna mikono ya watu?

Niliwahi kuandika hapa mbona ndugu yetu babu Tale anapatwa na misiba ya mara Kwa mara?

Isije ikawa NI maadui zake Wana mfanyia mambo ya kiswahili!!!


Anyways Babu Tale amefiwa na MKE wake.

MWENYEZI Mungu akutie nguvu Kaka na akupe subra katika kipindi hiki kigumu wewe pamoja ba watoto wako na amlaze Marehemu mahali pema peponi Amen
Muhimu kufahamu kama ni hujuma.
 
Back
Top Bottom