Shangazi Fatma Karume akemea Udini wa CHADEMA

Shangazi Fatma Karume akemea Udini wa CHADEMA


"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Kalewa togwa...
 
Nikiri, uhakika na maneno hayo yamesemwa na Fatma kwasababu sikumsikia
Lakini naamini kwa ukubwa wa suala zima na hadhi yake, asingekaa kimya muda wote huo

Kwa 'dhana tu kwamba amesema' Fatma Karume amefanikiwa sana hasa ukiusoma huu uzi
Fatma amecheza ngoma ya CCM inayopigwa kila uchaguzi ukikaribia

Si Fatma tu , yoyote anayetoa madai yenye hisia za udini ana wajibu wa kueleza, kufafanua au kutetea hoja zake kwa ushahidi na vielelezo, sijui kama Fatma amenukuliwa nusu nusu. sina uhakika

Nina uhakika na kitu kimoja, Fatma ni miongoni wa watu waliopigania Katiba mpya mwanzo kabisa akiwa na kampeni ya '' all white' na Maria Sarungi'. Ni mtu aliyeipinga CCM kwa nguvu za hoja na hata vioja ikibidi. Aliichukia

Tangu Rais SSH aingie madarakani Fatma amezalliwa upya, si yule tena.
Ni ' mkimya na mnyenyekevu'' akiyaona yale aliyokemea sasa ni mazuri. Si Fatma yule, mwiba kwa Magufuli.

Hili linanitia shaka kwamba huenda kayasema hayo maneno ili acheze karata ya kizimkazi. Fatma alikemea Chato

Huenda ni sehemu ya kampeni kuisaidia timu yake ya zamani katika usajili mpya chini ya kocha kizimkazi
Fatma anacheza mirindimo ya Lumumba lakini kwa staili ya ngoma ya msewe! kutoka Zanzibar

Swali linalowavuruga wachambuzi na watambuzi ni hili, ni kipi kimebadilika kutoka JPM hadi SSH?
Tena sasa tuna nyongeza ya Sukari achilia mbali mgao wa mwanga! Fatma kipi kilichobadilika?

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Huyu Fatma ninani na nishangazi wanani? kaifanyia Nini hii nchi, ni raia wa nchi gani kwani maana hatuna "dual citizenship"?
Anataka tuamie chama cha diniyake yeye na kina Zito ndiyo sahihi??!
Kwanini anapenda kuiongelea Tanganyika kuliko kule kwao?
Anatumia kivuli Cha uwanaharakati uchwara kumuuza dadayake kijanja ili apate uraisi? na anataka aibomoe cdm anayojidai anaipenda?!!!
Hakuna propaganda itayotuteka tunajitambua yeye aendelee kushika mazwazwa!!
 
mie tena ni endeleze uchochezi?🐒

mie sio yeye 🐒

aelezee udini wake huko sio mimi kuelezea jambo hilo la aibu na la fedheha kwa Taifa 🐒

kuzungumzia dini isiyo kuhusu katika siasa ni kufilisika kwa hoja na mipango 🐒
"kuzungumzia dini isiyo kuhusu katika siasa ni kufilisika kwa hoja na mipango 🐒", ndicho ninachotaka ueleze alichozungumzia, kumbe unakijua.
 
Nikiri, uhakika na maneno hayo yamesemwa na Fatma kwasababu sikumsikia
Lakini naamini kwa ukubwa wa suala zima na hadhi yake, asingekaa kimya muda wote huo

Kwa 'dhana tu kwamba amesema' Fatma Karume amefanikiwa sana hasa ukiusoma huu uzi
Fatma amecheza ngoma ya CCM inayopigwa kila uchaguzi ukikaribia

Si Fatma tu , yoyote anayetoa madai yenye hisia za udini ana wajibu wa kueleza, kufafanua au kutetea hoja zake kwa ushahidi na vielelezo, sijui kama Fatma amenukuliwa nusu nusu. sina uhakika

Nina uhakika na kitu kimoja, Fatma ni miongoni wa watu waliopigania Katiba mpya mwanzo kabisa akiwa na kampeni ya '' all white' na Maria Sarungi'. Ni mtu aliyeipinga CCM kwa nguvu za hoja na hata vioja ikibidi. Aliichukia

Tangu Rais SSH aingie madarakani Fatma amezalliwa upya, si yule tena.
Ni ' mkimya na mnyenyekevu'' akiyaona yale aliyokemea sasa ni mazuri. Si Fatma yule, mwiba kwa Magufuli.

Hili linanitia shaka kwamba huenda kayasema hayo maneno ili acheze karata ya kizimkazi. Fatma alikemea Chato

Huenda ni sehemu ya kampeni kuisaidia timu yake ya zamani katika usajili mpya chini ya kocha kizimkazi
Fatma anacheza mirindimo ya Lumumba lakini kwa staili ya ngoma ya msewe! kutoka Zanzibar

Swali linalowavuruga wachambuzi na watambuzi ni hili, ni kipi kimebadilika kutoka JPM hadi SSH?
Tena sasa tuna nyongeza ya Sukari achilia mbali mgao wa mwanga! Fatma kipi kilichobadilika?

JokaKuu Pascal Mayalla
Nikisikia jina Fatuma nalikumbuka jiwe kuu la usiku la miaka ya 1980 na ya 90, tisa nje tisa ndani.
 
Mna Tabia ya kutukana Personality za Watu. Ndiyo kisa hata Marehemu Fulani hivi mlikuwa mnatukana hadharani mkimuita Mgonjwa wa kujinyea. As a result hakuna aliyewakanya hadi Leo kutukana Wazee na Wagonjwa ili mpate Kura. Siyo poa. Majambazi Wote walihukumiwa Jela au kuuwawa. Lena alishawahi hukumiwa kama Jambazi bcoz wewe unamjua? Jambazi aapewa na Ubunge? Zibitisha Acha kumwaga Povu za chuki binafsi
Tatizo ni jambazi ameokoka, na sasa Kwa kiburi na majivuno anatamani kuchukua hadi nafasi ya mungu ambae ndio aliemuoka kwenye dhambi ya unyang'anyi, uporaji na pengine mauaji ya sio na hatia 🐒
 

"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Shangazi ameolewa? Ninataka kuonyesha nia ninaomba mwenye mbinu zitakaxo nifanya nipate hili jiko tafadhali
 
CHADEMA hawawezi kupata kura za kundi lolote lile katika jamii lenye akili Timamu na linalojitambua.kwa sababu CHADEMA ni genge na mkusanyiko wa watu wasio na busara wala hekima wala adabu. Ni watu wanaofanya vitu kama vipofu na ndio maana chama kimekosa nuru na muelekeo kwa kuwa kinaongozwa na vipofu ambao akili zao zinawaza madaraka na vyeo tu. CHADEMA wapo tayari kushirikiana hata na shetani ilimradi wapate madaraka. CHADEMA wapo tayari kulipasua Taifa kwa Udini ,ukabila ,ukanda na hata kuchochea machafuko hapa nchini ilimradi wao wapate madaraka na vyeo.

Watanzania tunapaswa kuwapuuza CHADEMA na kuwakemea kabla hawajaharibu Taifa letu. Tuwakatae kwa nguvu zetu zote .kamwe tusiwaunge mkono kwa lolote lile .tuwaogope CHADEMA kama ukoma maana hawana dhamira njema na Taifa letu.
Na kisha tukishawakataa kama ukoma badala yao tuwape kura zetu akina nani watakaotufaa kuongoza hii Nchi ili tufikie Nchi ya Ahadi ???!!!
 
Back
Top Bottom