Alimbaka ....ma..yakoMbona na baba yako ameokoka na alikuwa mwizi na mbakaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimbaka ....ma..yakoMbona na baba yako ameokoka na alikuwa mwizi na mbakaji
CCM walianza na CUF kuwa wameagiza majambia na wanayasambaza nchini! Madai hayo yakabuma. Wakaeavaa NCCR nako wakabuma, wakamvaa Mrema na TLP, Mrema kwenye uchaguzi wa urais akamshinda Mkapa, wakafuta matokeo na kuaanza kupiga kura upya kwa mafungu, upigaji kura huo ukaishia hewani bila matokeo, wakaamua kumpa Mkapa.Why chadema wakati hayo mnayoipakazia hayapo? Chadema ni chama cha kitaifa kama ccm. Sasa mpuliza vuvuzela wa ccm unadhani chadema wana hayo mambo? Je kama chadema ikafa kifo cha kisiasa kama vyama vingine vilivyokuwa tishio kwa ccm utapata hoja gani kuinangananga chedeama, au utahamishia propaganda zako chafu kwa chama kingine utakachoona ni tishio kwa ccm? Chadema haijafikia hali ya kuonesha udini kama chama fulani ambacho kilikuwa kinaonesha udini waziwazi hasa kwenye mikutano yake ya hadhara.
takbiriiiiiiiiiiSisi waislamu tutachagua CHADEMA na huyo bibi yenu Fatma ni muislamu jina na wa matukio.
Aseme yeye na mumewe ndio hawataichagua CHADEMA sio kutusemea waislamu wote.
Hatutaki ukhanithi wa kike sisi.
Niyaache mengine yaumwe na mbu?Ukiona ndefu basi soma hadi ambapo uwezo wako umeishia kiakili ndugu yangu .
Ccm sio chama Cha siasa, Bali ni kikundi Cha Dola kilichojivika koti la chama Cha siasa. Washindane na ACT kwani nchi hii kuna uchaguzi au maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura?Fatma ajiandae kutukanwa kwasababu nyumbu huwa wanamuogopa mmiliki wao tu Mbowe. Hata yeye walishaanza kumtukana ikabidi awanywee mizinga kadhaa ya Konyagi na kwenda kuwanyea kwenye mkutano wa hadhara huko Mwanza. CHADEMA sio mbadala wa CCM na haitakaa itokee kuwa mbadala wa CCM. Wao washindane na ACT kugombea nafasi ya kuwa chama kikuu cha upinzani.
RubbishHalafu Wala lipumba hakusema ulivyosema,plus hakuna unayemtolerate,mmefanya upumbavu wenu tangu uhuru,mkihodhi serikali na haswa wizara ya elimu,Hadi padre akaiongoza,wakati wa harakati za uhuru mlikula mmejifungia na mapadre wenu wazungu mkiacha waislam wakianzisha vyama na kupush harakati,wazungu walipoondoka mkalia, waislam ndiyo waliovumilia miaka yote ya kupigwa Vita vya Imani na raia wenzao wajinga wanaodhani Wana akili
Alinunuliwa, chadema walikua wananunua waislam wenye majina na ma sheikh Kama ikiwezakana,ili kufunika udini wao
Sio Lipumba ??Sawa,Ila waislam wapinzani waliacha upinzani wakampigia jakaya
Hujui lolote, halafu wivu na chuki vinakusumbua dhidi ya CHADEMA chama kubwa, endelea kukasirika upate ugonjwa wa moyo ufe tuone kama ccm itakusaidia matibabu we fala.
Lipumba si mlikubaliana huko vigangoni kwamba kweli msomi Ila dini yake ndiyo shida,wa dini yake wakamuunga mkonoSio Lipumba ??
Shangazi huwa ana soft spot kwa raia na watawala kutoka pwani.Shangazi Fatuma Karume itabidi tumuulize ili tupate ufafanuzi wa KINA kwenye hizi TUHUMA kwa maana ni NZITO.
Mbona unampenda sana James Delicious??Lakini CHADEMA kwa sasa wana sapoti kubwa kutoka kwenye kundi la kina James Delicious
Na mara tulipopata uhuru Mwalimu ambae alikuwa Mkatoliki alitaifisha shule na hospitali zote za waislamu ili wamisheni wenzake waweze kwenda shule na wapate tiba hospitalini?Halafu Wala lipumba hakusema ulivyosema,plus hakuna unayemtolerate,mmefanya upumbavu wenu tangu uhuru,mkihodhi serikali na haswa wizara ya elimu,Hadi padre akaiongoza,wakati wa harakati za uhuru mlikula mmejifungia na mapadre wenu wazungu mkiacha waislam wakianzisha vyama na kupush harakati,wazungu walipoondoka mkalia, waislam ndiyo waliovumilia miaka yote ya kupigwa Vita vya Imani na raia wenzao wajinga wanaodhani Wana akili
Hiyo ilikua kekundu keusi anawachezea waislam,maana bila hivyo waislam ambao walikua na hela kuliko wakiristo wangejenga shule na kuelimishana,Sasa wakisoma tutwatenga vipi kwenye ajira za umma si tutazua zogo la udini!?..kuwadhibiti ni kutoruhusu shule binafsi, waislam walikua wanajenga chuo kikuu chang'ombe jirani na uwanja wa mkapa kupitia taasisi yao ya east African Muslims welfare society,rais akatoka ikulu kwenda kupambana na hiyo taasisi na kuunda bakwata,hizo shule za kanisa Wala hakutaifisha zoteNa mara tulipopata uhuru Mwalimu ambae alikuwa Mkatoliki alitaifisha shule na hospitali zote za waislamu ili wamisheni wenzake waweze kwenda shule na wapate tiba hospitalini?
Kwa jinsi tu ulivyoandika inaelekea ulikataa kwenda shule kwa sababu uliamini elimu dunia ni ya Vatican. Udini unawafanya wajinga.
Amandla...
Kumbe waislamu walikuwa matajiri kuliko wakristu wakati wa uhuru ndio maana Nyerere akataifisha shule zao ili wamisheni angalau nao waelimike! Of course, hakutaifisha shule za wamisheni maana zilikuwa chache mno. Alizotaifisha ni za waislamu ambazo zilijengwa na matajiri wa kiislamu pamoja na EAMWS.Hiyo ilikua kekundu keusi anawachezea waislam,maana bila hivyo waislam ambao walikua na hela kuliko wakiristo wangejenga shule na kuelimishana,Sasa wakisoma tutwatenga vipi kwenye ajira za umma si tutazua zogo la udini!?..kuwadhibiti ni kutoruhusu shule binafsi, waislam walikua wanajenga chuo kikuu chang'ombe jirani na uwanja wa mkapa kupitia taasisi yao ya east African Muslims welfare society,rais akatoka ikulu kwenda kupambana na hiyo taasisi na kuunda bakwata,hizo shule za kanisa Wala hakutaifisha zote
Huyu Shangazi hili la udini kaanza kuliona lini?
"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"
====
Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.
Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Unajitia uchizi,mnapewa bil 300 kuendesha hospitali zenu badala ya serikali kujenga na kuboresha zake,kazi kufyonza hazina tu,viwaviKumbe waislamu walikuwa matajiri kuliko wakristu wakati wa uhuru ndio maana Nyerere akataifisha shule zao ili wamisheni angalau nao waelimike! Of course, hakutaifisha shule za wamisheni maana zilikuwa chache mno. Alizotaifisha ni za waislamu ambazo zilijengwa na matajiri wa kiislamu pamoja na EAMWS.
Na alizuia ujenzi wa Chuo Kikuu cha waislamu pale Chang'ombe na mwisho wa siku wakristu wakakiuza kwa Vatican. Ili kuficha hiyo aibu Mkapa akawapoza waislamu kwa kuwapa chuo cha Tanesco Morogoro kama fidia ya uporaji wa Chuo Kikuu cha Chang'ombe.
Amandla...