BABUU ISAKI RITTE
Senior Member
- Jan 20, 2024
- 198
- 195
Badala ya kuwaondoa serikalini wahamiaji wasio raia mnawasingizia Chadema udini ccm hamna hoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa mgombea mwenza unafanya nini kama sio kugombea?Unajua maana "mgombea mwenza"?Kipindi cha kwanza Mama aligombea nchi gani?.
Aligombea kama Makamu au kama Rais.Ukiwa mgombea mwenza unafanya nini kama sio kugombea?Unajua maana "mgombea mwenza"?
Nisije nikawa najaribu kufundisha fisi kupanda mti?
Kwa kuwa hospitali dawa hakuna, sukari hakuna, hayo yamesababishwa na Chadema?.
Upo darasa la ngapi?Kipi usichoelewa.Yaani wewe ndio unajua kuliko hao waliokubali awe Rais baada ya JPM kufariki? Au kiswahili kinagomba?Aligombea kama Makamu au kama Rais.
Chadema haijawahi kusimamia haki hata siku moja. Maslahi tuSasa hivi ChaDema mtaanza kumtukana 'shangazi' yenu mpendwa kisa amewakosoa na amewaambia ukweli 😂😂
We Tui la nazi, lini alipitishwa na chama chake ccm na kuchukua fomu ya kugombea Urais mara ya kwanza ili 2025 iwe mara ya pili maana hii ni serikali ya Magufuli anamalizia.Upo darasa la ngapi?Kipi usichoelewa.Yaani wewe ndio unajua kuliko hao waliokubali awe Rais baada ya JPM kufariki? Au kiswahili kinagomba?
Hujui lolote, halafu wivu na chuki vinakusumbua dhidi ya CHADEMA chama kubwa, endelea kukasirika upate ugonjwa wa moyo ufe tuone kama ccm itakusaidia matibabu we fala.Tanzania ina idadi kubwa ya waislamu na hilo wanalijua, hivyo kamwe hawatapata wa kuwapigia kura. Kwanza hata yule salum mwalimu anashangaza sana kuendelea kufanyanao, utafanyaje kazi na watu waudini, ubaguzi na ukabila! Si bora ukae bila chama ufanye mambo yako kuliko kuwa chadema!
Halafu Wala lipumba hakusema ulivyosema,plus hakuna unayemtolerate,mmefanya upumbavu wenu tangu uhuru,mkihodhi serikali na haswa wizara ya elimu,Hadi padre akaiongoza,wakati wa harakati za uhuru mlikula mmejifungia na mapadre wenu wazungu mkiacha waislam wakianzisha vyama na kupush harakati,wazungu walipoondoka mkalia, waislam ndiyo waliovumilia miaka yote ya kupigwa Vita vya Imani na raia wenzao wajinga wanaodhani Wana akiliWachovu nyie sema mmetukuta wakristo wa tanganyika tunawatolerate sana nyie vilaza thus why hatuangaiki na upumbavu wenu
FYI ccm haihitaji kampeni kushinda uchaguzi nadhani unafaham ilo yale aliofanya lipumbavu ilikuwa kiini macho cha demokrasia
Alinunuliwa, chadema walikua wananunua waislam wenye majina na ma sheikh Kama ikiwezakana,ili kufunika udini waoTanzania ina idadi kubwa ya waislamu na hilo wanalijua, hivyo kamwe hawatapata wa kuwapigia kura. Kwanza hata yule salum mwalimu anashangaza sana kuendelea kufanyanao, utafanyaje kazi na watu waudini, ubaguzi na ukabila! Si bora ukae bila chama ufanye mambo yako kuliko kuwa chadema!
Hivi huwa huwezi kujibu kwa ufupi?CHADEMA hawawezi kupata kura za kundi lolote lile katika jamii lenye akili Timamu na linalojitambua.kwa sababu CHADEMA ni genge na mkusanyiko wa watu wasio na busara wala hekima wala adabu. Ni watu wanaofanya vitu kama vipofu na ndio maana chama kimekosa nuru na muelekeo kwa kuwa kinaongozwa na vipofu ambao akili zao zinawaza madaraka na vyeo tu. CHADEMA wapo tayari kushirikiana hata na shetani ilimradi wapate madaraka. CHADEMA wapo tayari kulipasua Taifa kwa Udini ,ukabila ,ukanda na hata kuchochea machafuko hapa nchini ilimradi wao wapate madaraka na vyeo.
Watanzania tunapaswa kuwapuuza CHADEMA na kuwakemea kabla hawajaharibu Taifa letu. Tuwakatae kwa nguvu zetu zote .kamwe tusiwaunge mkono kwa lolote lile .tuwaogope CHADEMA kama ukoma maana hawana dhamira njema na Taifa letu.
🤣🤣🤣 hivi msibani kwa Lowasa mdudu alikuwepoKwa kuwa kamati kuu yote ya Chadema huwa inakula kitimoto imekuwa taabu
Unadhihirisha ujinga wako.Anamalizia awamu ya 6 na kwa sababu ni zaidi ya muda wa miaka 3 anaruhusiwa kikatiba kuongeza miaka mingine 5 tu kukamilisha awamu mbili.Soma katiba kama unajua kusoma.Jambo dogo kulitafsiri linakupa tabu.Au ulikimbia shule?We Tui la nazi, lini alipitishwa na chama chake ccm na kuchukua fomu ya kugombea Urais mara ya kwanza ili 2025 iwe mara ya pili maana hii ni serikali ya Magufuli anamalizia.
Hivi kenge wa mzee Mbowe ni nini wanajua zaidi ya kulaumuMkuu maisha ni magumu, bidhaa kama sukari na nyinginezo bei iko juu, na dukani hatuendi na kadi ya ccm, ili uuziwe bidhaa kwa bei ya punguzo kwa kuwa wewe ni ccm, haya yamesababishwa na Chadema?.
Ukiona ndefu basi soma hadi ambapo uwezo wako umeishia kiakili ndugu yangu .Hivi huwa huwezi kujibu kwa ufupi?
mie tena ni endeleze uchochezi?🐒Eleza alicholisema dhidi ya waisilamu na si usemi wa jumlajumla.
Tucheni Wakristo, msituandame kwa kisingizio cha chadema, umefutiwa uwakili umeanza kujipendekeza, tunajua unataka kugombea Ubunge...
"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"
====
Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.
Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Huyu fatuma karume ni mnafiki na mpuuzi anaefikia kiwango cha juu kabisa cha usaliti.Fatma K Hana akili hata kidogo! Maoni binafsi ya Martin Maranja Masese kaya address kama ya CDM! Huu ni uzwazwa wa Hali ya juu! Fatma K anachochea UDINI.