Shangazi Fatma Karume akemea Udini wa CHADEMA

Shangazi Fatma Karume akemea Udini wa CHADEMA

chadema wamekua vinara wa kusambaza uchuki za udini na ukabila huku wakichochea vitendo vya ugaidi na kijitoa mhanga kwa kulichokoza jeshi la ulinzi na usalama

uzuri watanzania wamewajua nini lengolao kua ni machafuko
 
chadema wamekua vinara wa kusambaza uchuki za udini na ukabila huku wakichochea vitendo vya ugaidi na kijitoa mhanga kwa kulichokoza jeshi la ulinzi na usalama

uzuri watanzania wamewajua nini lengolao kua ni machafuko
Kama wanavunja sheria kwanini hawapelekwi Mahakamani nyie Manguchiro mnaishia kulalamika humu.
 
Mkuu maisha ni magumu, bidhaa kama sukari na nyinginezo bei iko juu, na dukani hatuendi na kadi ya ccm, ili uuziwe bidhaa kwa bei ya punguzo kwa kuwa wewe ni ccm, haya yamesababishwa na Chadema?.
Kudorora kwa uchumi ni tatizo lililoikumba dunia nzima.Sio kwa Tanzania tu na halisababishwa na chama mojawapo.Kama ni mfutiliaji wa habari za kisiasa na uchumi habari hiyo haitakuwa ngeni kwako.
 
Na iwakae akilini kwamba mkileta udini waislam wanaujua zaidi, Nyerere alinadiwa Hadi misikitini wakati wa uhuru
Wachovu nyie sema mmetukuta wakristo wa tanganyika tunawatolerate sana nyie vilaza thus why hatuangaiki na upumbavu wenu
FYI ccm haihitaji kampeni kushinda uchaguzi nadhani unafaham ilo yale aliofanya lipumbavu ilikuwa kiini macho cha demokrasia
 
Fatma K Hana akili hata kidogo! Maoni binafsi ya Martin Maranja Masese kaya address kama ya CDM! Huu ni uzwazwa wa Hali ya juu! Fatma K anachochea UDINI.
Ikiwa hivyo hata maoni ya Fatma Karume ni maoni yake binafsi sasa povu la nini!
 
Kudorora kwa uchumi ni tatizo lililoikumba dunia nzima.Sio kwa Tanzania tu na halisababishwa na chama mojawapo.Kama ni mfutiliaji wa habari za kisiasa na uchumi habari hiyo haitakuwa ngeni kwako.
Ukosekanaji wa sukari Tanzanzania ni mdororo wa uchumi duniani?.
 
Ukosekanaji wa sukari Tanzanzania ni ukosefu wa nini?.
Sababu zimeshatolewa na hatua za kurekebisha hali hiyo zimeshachukuliwa.Kukaa pembeni na kulaumu na kukosoa hakuhitaji akili kubwa ni jambo rahisi sana.
 
Shangazi Mpendwa tunaomba ufafanuzi kwenye hii Tweet yako.
 
CHADEMA hawawezi kupata kura za kundi lolote lile katika jamii lenye akili Timamu na linalojitambua.kwa sababu CHADEMA ni genge na mkusanyiko wa watu wasio na busara wala hekima wala adabu. Ni watu wanaofanya vitu kama vipofu na ndio maana chama kimekosa nuru na muelekeo kwa kuwa kinaongozwa na vipofu ambao akili zao zinawaza madaraka na vyeo tu. CHADEMA wapo tayari kushirikiana hata na shetani ilimradi wapate madaraka. CHADEMA wapo tayari kulipasua Taifa kwa Udini ,ukabila ,ukanda na hata kuchochea machafuko hapa nchini ilimradi wao wapate madaraka na vyeo.

Watanzania tunapaswa kuwapuuza CHADEMA na kuwakemea kabla hawajaharibu Taifa letu. Tuwakatae kwa nguvu zetu zote .kamwe tusiwaunge mkono kwa lolote lile .tuwaogope CHADEMA kama ukoma maana hawana dhamira njema na Taifa letu.
CCM miaka yote imekua ikiiona Chadema kama chuo cha uongozi, ndiko CCM inakopata viongozi wake na kama unabisha weka ushahidi wa viongozi waliotoka vyama vingine.
 
Malalamiko ya Fatma hayahusiani na tamko lolote la Lema. Fatma amekasirika kwa nini wakina Martin wamehoji kauli ya Bashe kuwa sukari itapatikana kabla ya mwezi wa Ramadhani. Yeye akaona kuwa Bashe anahojiwa kwa sababu ni muislamu na kuwa ni uthibitisho kuwa CDM hawafurahii jambo lolote linalowafaidisha waislamu. Anacho sahau ( kwa makusudi) ni kuwa Martin si msemaji wa CDM. Na alichouliza kimetokana na Bashe kuingiza suala la Ramadhani katika juhudi za kuondoa uhaba wa sukari. Kuna waliosema mbona waziri wa nishati aliyekuwa mkristo aliwahi kuwaagiza Tanesco wasikate umeme siku ya Krismasi na hamna ambae alilalamika. Mimi sidhani kama mtu unaweza kulinganisha nafuu ya siku moja na hii ya kuondoa kabisa kero iliyoendelea kwa muda mrefu. Waziri aliteleza. Angesema tu sukari itapatikana ndani ya wiki moja bila kuingiza suala mfungo wa dini moja. Kwa kusema hivyo kunakaribisha maswali kuwa kama ni rahisi hivyo kwa nini hakuhakikisha sukari inapatikana wakati wa Kwaresima? Ni tatizo la kujitakia na Fatma should know better kuliko kuongeza kuni kwenye suala la udini.

Amandla...
Wewe uko sahihi hao wengine ni mihemko tu wameshadadia bila ata kujua msingi wa hoja ulipoanzia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudorora kwa uchumi ni tatizo lililoikumba dunia nzima.Sio kwa Tanzania tu na halisababishwa na chama mojawapo.Kama ni mfutiliaji wa habari za kisiasa na uchumi habari hiyo haitakuwa ngeni kwako.

Sababu zimeshatolewa na hatua za kurekebisha hali hiyo zimeshachukuliwa.Kukaa pembeni na kulaumu na kukosoa hakuhitaji akili kubwa ni jambo rahisi sana.
Viongozi wako wa ccm na serikali sio raia, tena wa ngazi za juu za maamuzi, ndio mnatuletea udini hapa nchini kwetu Tanzania ili muendelee kututawala?.
 
Viongozi wako wa ccm na serikali sio raia, tena wa ngazi ya juu za maamuzi, ndio mnatuletea udini hapa nchini kwetu Tanzania ili muendelee kututawala?.
Umeshageuza mada imekuwa udini?You can better that this. Tena sijui ni swali au tamko?
 
Ni vigumu kutenganisha chadema na ukiristo angalia viongozi wote wa ngazi za juu
 
Ramadhan ni muhimu sana ndio. Kuna kundi kubwa la raia wa nchi hii (Waislam) wanaipa umuhimu mkubwa sana. Allah amuongoze na amhifadhi ndugu yetu Hussein Bashe. Mnamuandama kwa sababu ya Uislam wake tu. Mbona kuna waliosema umeme usikatwe kirisimasi na mwaka mpya na hakukuwa na nongwa?

Mnapenda sana kusakama viongozi Waislam. Na mnapenda kulaumu Waislam kwa "udini" au kuwashutumu kwa kulalamika "vitu vidogo" kumbe ni matatizo yenu haya sio yetu. Watu mmejaa husda na chuki mnatafuta fursa ya kuzitoa vifuani. Na bado mkiyatoa mnayoyaficha ni makubwa zaidi.
Hayo ya umeme ungeyasema wewe.Au uko kibarazani umejitanda msuli unataka usemewe kila kitu.Wote waliosema hayo walikosea sasa usitake kuhalalisha ujinga kwa hoja yakijinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom