Kwani kamati kuu ya CCM ikoje?.Kwa kuwa kamati kuu yote ya Chadema huwa inakula kitimoto imekuwa taabu
Sent from my TECNO CK7n using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kamati kuu ya CCM ikoje?.Kwa kuwa kamati kuu yote ya Chadema huwa inakula kitimoto imekuwa taabu
CCM ni zimwi likujualoMtatumiwa na ccm kama toilet paper! Wameshaanza kucheza na akili zenu
Mwaipaya dini gani?.hakuna tuhuma nzito hapo ni ukweli kabisa chadema wanahubiri udini sana....
Alianza Mwaipaya kuwananga waisilamu na viongoxi wa Bakwata
Hivi sasa lema na ubaguzi kwa waisilamu🐒
Afadhali wewe umesema kweli.Wenzako wanajaribu kuziba jua kwa ungo.Ulichoacha kumalizia ni dhehebu tena la kidini.Sisi kwetu CDM ni dhehebu hata kama hatutashinda, na kwa taarifa yako twafahamu kwamba waislam hamtupendi
Afadhali wewe umesema kweli.Wenzako wanajaribu kuziba jua kwa ungo.Ulichoacha kumalizia ni dhehebu tena la kidini.Sisi kwetu CDM ni dhehebu hata kama hatutashinda, na kwa taarifa yako twafahamu kwamba waislam hamtupendi
Zamu ya Aman Golugwa.Na kwa taarifa yako Jimbo linarudi kwa Nabii Lema
unaendelea kuchochea udini tena 🐒Mwaipaya dini gani?.
Thubutu.Atatupwa pamoja na kukipigania chama kwenye kila hali.Zamu ya Aman Golugwa.
Chuki tu, ujanga wake ni upi.CDM ni janga kwa nchi jamani
CCM watakubali wagombea wengine wachukue fomu ya Urais ndani ya chama pamoja na Mama?.Thubutu.Atatupwa pamoja na kukipigania chama kwenye kila hali.
CCM wana utamaduni wao wa kumuachia mgombea Urais amalize vipindi vyake viwili.Ndio sababu hakuna atakayechukua fomu.CCM watakubali wagombea wengine wachukue fomu pamoja na Mama?.
Kwa kuwa hospitali dawa hakuna, sukari hakuna, hayo yamesababishwa na Chadema?.Ni hatari kwa afya
Lini alichukua fomu ya kugombea Urais?.CCM wana utamaduni wao wa kumuachia mgombea Urais amalize vipindi vyake viwili.Ndio sababu hakuna atakayechukua fomu.
Je Mbowe ataruhusu kuwepo na mgombea katika uchaguzi wa Uenyekiti wa Chadema?
Baada ya Kushidwa Kutatua Kero za Wanainchi, CCM Mmeanza Udini Wenu Kama Kipindi cha Jakaya Kikwete, kwa Kutafuta Huruma ya Waislamu wa Tanganyika, Baada ya Kugundua Mama Samia ni Mzanzibar na Uislamu Haumtambui Kiongozi Mwanamke, Mnatafuta Kura zao.Shangazi kasema kweli tupu,Udini waliuficha ila sasa wanaupambanua kitu ambacho kitawafelisha.
Umeandika ukiwa wapi?CHADEMA hawawezi kupata kura za kundi lolote lile katika jamii lenye akili Timamu na linalojitambua.kwa sababu CHADEMA ni genge na mkusanyiko wa watu wasio na busara wala hekima wala adabu. Ni watu wanaofanya vitu kama vipofu na ndio maana chama kimekosa nuru na muelekeo kwa kuwa kinaongozwa na vipofu ambao akili zao zinawaza madaraka na vyeo tu. CHADEMA wapo tayari kushirikiana hata na shetani ilimradi wapate madaraka. CHADEMA wapo tayari kulipasua Taifa kwa Udini ,ukabila ,ukanda na hata kuchochea machafuko hapa nchini ilimradi wao wapate madaraka na vyeo.
Watanzania tunapaswa kuwapuuza CHADEMA na kuwakemea kabla hawajaharibu Taifa letu. Tuwakatae kwa nguvu zetu zote .kamwe tusiwaunge mkono kwa lolote lile .tuwaogope CHADEMA kama ukoma maana hawana dhamira njema na Taifa letu.
Bahati nzuri sukari, petrol, ugumu wa maisha umepanda kwa wakristo na waislamuBaada ya Kushidwa Kutatua Kero za Wanainchi, CCM Mmeanza Udini Wenu Kama Kipindi cha Jakaya Kikwete, kwa Kutafuta Huruma ya Waislamu wa Tanganyika, Baada ya Kugundua Mama Samia ni Mzanzibar na Uislamu Haumtambui Kiongozi Mwanamke, Mnatafuta Kura zao.
Kweli ni swali la kuuliza hilo?Cha kwanza kipi cha pili ni kipi.