Shangazi Fatma Karume akemea Udini wa CHADEMA

Shangazi Fatma Karume akemea Udini wa CHADEMA

Umeshageuza mada imekuwa udini?You can better that this. Tena sijui ni swali au tamko?
Ugumu wa maisha umesababishwa na baadhi ya viongozi wako wa ccm na serikali wasio wazalendo ambao sio raia wa Tanzania au hufuatilii vyombo vya habari (live) kutoka Lugalo.
 
Jambazi alieokoka ambae anajifanya nabii ni shida sana aise.
Na hakuna mahali anaenda kaisha likoroga mwenyewe 🐒
Mna Tabia ya kutukana Personality za Watu. Ndiyo kisa hata Marehemu Fulani hivi mlikuwa mnatukana hadharani mkimuita Mgonjwa wa kujinyea. As a result hakuna aliyewakanya hadi Leo kutukana Wazee na Wagonjwa ili mpate Kura. Siyo poa. Majambazi Wote walihukumiwa Jela au kuuwawa. Lena alishawahi hukumiwa kama Jambazi bcoz wewe unamjua? Jambazi aapewa na Ubunge? Zibitisha Acha kumwaga Povu za chuki binafsi
 
Mna Tabia ya kutukana Personality za Watu. Ndiyo kisa hata Marehemu Fulani hivi mlikuwa mnatukana hadharani mkimuita Mgonjwa wa kujinyea. As a result hakuna aliyewakanya hadi Leo kutukana Wazee na Wagonjwa ili mpate Kura. Siyo poa. Majambazi Wote walihukumiwa Jela au kuuwawa. Lena alishawahi hukumiwa kama Jambazi bcoz wewe unamjua? Jambazi aapewa na Ubunge? Zibitisha Acha kumwaga Povu za chuki binafsi
Wow huna moral authority ya kukemea name calling.Kabla ya kuona ubanzi kwenye jicho la mwenzako toa boriti kwenye jicho lako.
A pot calling a kettle black.
Nyie ndio mabingwa wa kutukana,kukejeli na kuzusha.
 
Wow huna moral authority ya kukemea name calling.Kabla ya kuona ubanzi kwenye jicho la mwenzako toa boriti kwenye jicho lako.
A pot calling a kettle black.
Nyie ndio mabingwa wa kutukana,kukejeli na kuzusha.
Baadhi ya viongozi wako wa ccm na serikali ngazi ya maamuzi sio raia, ndio wamesababisha maisha ya Watanzania kuwa magumu kwa kuwa hawana uzalendo na hili taifa hufuatilii vyombo vya habari tena vya ndani (live) kutoka Lugalo?.
 
Baadhi ya viongozi wako wa ccm na serikali ngazi ya maamuzi sio raia, ndio wamesababisha maisha ya Watanzania kuwa magumu kwa kuwa hawana uzalendo na hili taifa hufuatilii vyombo vya habari tena vya ndani (live) kutoka Lugalo?.
Inaelekea unawajua wataje hao kwa majina.
 
Mkuu wa majeshi kaongea live mbele ya Rais Samia na dunia inajua>
"Kasema baadhi ya viongozi wa CCM na viongozi wa Serikali ngazi ya uamuzi" au hayo ni maneno yako?
Mwenzako kadakwa huko Mwanza kwa kuropoka kwa aina hii.
 
"Kasema baadhi ya viongozi wa CCM na viongozi wa Serikali ngazi ya uamuzi" au hayo ni maneno yako?
Mwenzako kadakwa huko Mwanza kwa kuropoka kwa aina hii.
Ulivyomwelewa ndio hivyo hivyo, mdakeni kwanza Mkuu wa majeshi aliyewaambia ukweli muone atakavyowanyoosha maana bila yeye ccm haipo.
 

"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Huyo msimbe ndo' mdini no moja.
 

"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.


Hii kusema udini bila mifano ni sawa na makada tu wa vyama. Ukituhumu toa mifano sio kusema vitu bila mifano
 

"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Salum Mwalimu ni Mkristo? Chadema haina udini
 

"Nataka kuwaeleza foot soldiers wa CHADEMA kitu muhimu sana. CHADEMA haiwezi kushinda Urais wa Tanzania bila ya Kura za WAISLAMU na WAKRISTO. Huu mchezo wenu wa UDINI ni double edged sword. Utawakata CCM kwa Wakristo but rest assured utawakata CDM tena SANA Kwa Waislamu. Endeleeni tu!"

====

Fatma Karume akemea UDINI wa CHADEMA na kuvunja ukimya wa muda mrefu kuhusu chama hiki kuhusishwa na mlengo wa kidini.

Kawahakikishia hawatopata kamwe kura za waislam kwa siasa zao za udini.
Speech ya Lema pale Arusha kuhusu vijana wa kiislam wanaoendekeza udini iko wazi kabisa, aliwapasulia ukweli, pia alishawahi kuwatetea waislam waliowekwa kiuzuizini na utawala wa Mwislamu mwenzao. Ina maana hilo Shangazi hakuliona?
 
Malalamiko ya Fatma hayahusiani na tamko lolote la Lema. Fatma amekasirika kwa nini wakina Martin wamehoji kauli ya Bashe kuwa sukari itapatikana kabla ya mwezi wa Ramadhani. Yeye akaona kuwa Bashe anahojiwa kwa sababu ni muislamu na kuwa ni uthibitisho kuwa CDM hawafurahii jambo lolote linalowafaidisha waislamu. Anacho sahau ( kwa makusudi) ni kuwa Martin si msemaji wa CDM. Na alichouliza kimetokana na Bashe kuingiza suala la Ramadhani katika juhudi za kuondoa uhaba wa sukari. Kuna waliosema mbona waziri wa nishati aliyekuwa mkristo aliwahi kuwaagiza Tanesco wasikate umeme siku ya Krismasi na hamna ambae alilalamika. Mimi sidhani kama mtu unaweza kulinganisha nafuu ya siku moja na hii ya kuondoa kabisa kero iliyoendelea kwa muda mrefu. Waziri aliteleza. Angesema tu sukari itapatikana ndani ya wiki moja bila kuingiza suala mfungo wa dini moja. Kwa kusema hivyo kunakaribisha maswali kuwa kama ni rahisi hivyo kwa nini hakuhakikisha sukari inapatikana wakati wa Kwaresima? Ni tatizo la kujitakia na Fatma should know better kuliko kuongeza kuni kwenye suala la udini.

Amandla...
Good explanation mkuu. Tatizo ni kwamba hapa unajibizana na machawa including wanapropaganda wa awamu ya 6 pamoja na wabunge wa hisani wa 2020 na professional trolls wa watawala wa sasa. Wako kikazi zaidi. Hawahitaji ukweli wowote.

Hopefully, labda maelezo hayo yatawasaidia wanaJF ambao ni “innocent”.
 
Sipati picha kama hizi comment zingekuwa ni show kwa show baina ya wafuasi wa ccm na cdm
 
CCM wana utamaduni wao wa kumuachia mgombea Urais amalize vipindi vyake viwili.Ndio sababu hakuna atakayechukua fomu.
Je Mbowe ataruhusu kuwepo na mgombea katika uchaguzi wa Uenyekiti wa Chadema?
Kipindi cha kwanza Mama aligombea nchi gani?.
 
Back
Top Bottom