Shangwe zatanda baada ya Trump kumteua, rafiki wa Netanyahu Mike Huckabee kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel

Shangwe zatanda baada ya Trump kumteua, rafiki wa Netanyahu Mike Huckabee kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
10,786
Reaction score
35,916
Mchungaji wa Kanisa la Baptist aliyekuwa Gavana wa Jimbo la Arkansas kwa miaka 11. Rafiki wa Netanyahu na mtu aliyewahi kusema hakuna kitu cha Mpalestina. Mike Huckabee ameteuliwa na Trump kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel.Trump amesema Mike anaipenda Israel na watu wa Israel

Huyu Mzee ni MYAHUDI pure MTU ambaye anaichukia Palestine kwelikweli anaenda kuiwakilisha marekani, huu ni uteuzi wa Kwanza kabisa WA kibalozi yaani Israel ndiyo nchi ya Kwanza iliyopewa kipaumbele na marekani Kwa kupewa zawadi ya BALOZI alafu nchi nyingine zitafuata.

Toka Jana kumekuwa na shangwe kuanzia viongozi wa Israel Hadi wananchi Kwa ujio wa huyu master wa kuuwa wapalestina...Kwa mbali naona Gaza inaenda kufanywa makazi mapya ya wayahudi

Acha tusubiri tuone itakuaje

20241113_122619.jpg
 
Mchungaji wa Kanisa la Baptist aliyekuwa Gavana wa Jimbo la Arkansas kwa miaka 11. Rafiki wa Netanyahu na mtu aliyewahi kusema hakuna kitu cha Mpalestina. Mike Huckabee ameteuliwa na Trump kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel.Trump amesema Mike anaipenda Israel na watu wa Israel

Huyu Mzee ni MYAHUDI pure MTU ambaye anaichukia Palestine kwelikweli anaenda kuiwakilisha marekani, huu ni uteuzi wa Kwanza kabisa WA kibalozi yaani Israel ndiyo nchi ya Kwanza iliyopewa kipaumbele na marekani Kwa kupewa zawadi ya BALOZI alafu nchi nyingine zitafuata.

Toka Jana kumekuwa na shangwe kuanzia viongozi wa Israel Hadi wananchi Kwa ujio wa huyu master wa kuuwa wapalestina...Kwa mbali naona Gaza inaenda kufanywa makazi mapya ya wayahudi Acha tusubiri tuone itakuaje View attachment 3151328
GOD BLESS ISRAEL 🇮🇱
 
Mchungaji wa Kanisa la Baptist aliyekuwa Gavana wa Jimbo la Arkansas kwa miaka 11. Rafiki wa Netanyahu na mtu aliyewahi kusema hakuna kitu cha Mpalestina. Mike Huckabee ameteuliwa na Trump kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel.Trump amesema Mike anaipenda Israel na watu wa Israel

Huyu Mzee ni MYAHUDI pure MTU ambaye anaichukia Palestine kwelikweli anaenda kuiwakilisha marekani, huu ni uteuzi wa Kwanza kabisa WA kibalozi yaani Israel ndiyo nchi ya Kwanza iliyopewa kipaumbele na marekani Kwa kupewa zawadi ya BALOZI alafu nchi nyingine zitafuata.

Toka Jana kumekuwa na shangwe kuanzia viongozi wa Israel Hadi wananchi Kwa ujio wa huyu master wa kuuwa wapalestina...Kwa mbali naona Gaza inaenda kufanywa makazi mapya ya wayahudi Acha tusubiri tuone itakuaje View attachment 3151328
Trump Kawa myahudi Toka lini?
 
Inawezekana anaona Biden hakufanya vya kutosha kuisadia Israel na kuwakomesha Wapalestina akaamua kumuweka mfia dini kabisa anayeunga mkono kabisa sera ya Israel kuchukua makazi ya walowezi
 
Mchungaji wa Kanisa la Baptist aliyekuwa Gavana wa Jimbo la Arkansas kwa miaka 11. Rafiki wa Netanyahu na mtu aliyewahi kusema hakuna kitu cha Mpalestina. Mike Huckabee ameteuliwa na Trump kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel.Trump amesema Mike anaipenda Israel na watu wa Israel

Huyu Mzee ni MYAHUDI pure MTU ambaye anaichukia Palestine kwelikweli anaenda kuiwakilisha marekani, huu ni uteuzi wa Kwanza kabisa WA kibalozi yaani Israel ndiyo nchi ya Kwanza iliyopewa kipaumbele na marekani Kwa kupewa zawadi ya BALOZI alafu nchi nyingine zitafuata.

Toka Jana kumekuwa na shangwe kuanzia viongozi wa Israel Hadi wananchi Kwa ujio wa huyu master wa kuuwa wapalestina...Kwa mbali naona Gaza inaenda kufanywa makazi mapya ya wayahudi Acha tusubiri tuone itakuaje View attachment 3151328
Trump sio myahudi anasili ya Ujerumani, ni kweli hakuna taifa linaitwa palestin

USSR
 
kumbe hujui, wazazi wake wayahudi waliozamia ujeruman enzi hizo na kumzaa trump wakiwa marekani
Sio kweli ni kawaida ya wayahudi kumnasibisha kila aleyetoboa na uyahudi walijaribu Kwa Bilgate Hadi wakawa wanatengeneza picha fake na Microsoft headquarter zikiwa na bendera Yao wakafeli wakajaribu Kwa Elon musk wakafeli Toka lini myahudi awe mristo?
 
Sio kweli ni kawaida ya wayahudi kumnasibisha kila aleyetoboa na uyahudi walijaribu Kwa Bilgate Hadi wakawa wanatengeneza picha fake na Microsoft headquarter zikiwa na bendera Yao wakafeli wakajaribu Kwa Elon musk wakafeli Toka lini myahudi awe mristo?
Angalia hiyo cabinet ya trump aliyoifanya mara baada ya kuchaguliwa hawa wote asili Yao ni uyahudi ingawa ni wakristo, tunaongelea asili za vizazi vyao vya nne na tano Huko nyuma
Hii ndiyo cabinet yake ni watu anaowaamini kwenye serikali yake atakayoingoza
20241113_095924.jpg
 
Sio kweli ni kawaida ya wayahudi kumnasibisha kila aleyetoboa na uyahudi walijaribu Kwa Bilgate Hadi wakawa wanatengeneza picha fake na Microsoft headquarter zikiwa na bendera Yao wakafeli wakajaribu Kwa Elon musk wakafeli Toka lini myahudi awe mristo?
Kuna uyahudi dini na kuna uyahudi asili ya mtu ,kama ukisema mwarabu....kuna wayahudi wa asili tokana na kuzaliwa ila hawafati dini ya kiyahudi,,,,na kuna wayahudi wa dini japo asili sio ya myahudi hawa wengi ndo hao wanaitwa ma Zionists( wengi ni wazungu tu wasio na asili ya uyahudi ila waliamua kuifata dini ya uyahudi)
 
Back
Top Bottom