Shangwe zatanda baada ya Trump kumteua, rafiki wa Netanyahu Mike Huckabee kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel

Shangwe zatanda baada ya Trump kumteua, rafiki wa Netanyahu Mike Huckabee kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel

Mchungaji wa Kanisa la Baptist aliyekuwa Gavana wa Jimbo la Arkansas kwa miaka 11. Rafiki wa Netanyahu na mtu aliyewahi kusema hakuna kitu cha Mpalestina. Mike Huckabee ameteuliwa na Trump kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel.Trump amesema Mike anaipenda Israel na watu wa Israel

Huyu Mzee ni MYAHUDI pure MTU ambaye anaichukia Palestine kwelikweli anaenda kuiwakilisha marekani, huu ni uteuzi wa Kwanza kabisa WA kibalozi yaani Israel ndiyo nchi ya Kwanza iliyopewa kipaumbele na marekani Kwa kupewa zawadi ya BALOZI alafu nchi nyingine zitafuata.

Toka Jana kumekuwa na shangwe kuanzia viongozi wa Israel Hadi wananchi Kwa ujio wa huyu master wa kuuwa wapalestina...Kwa mbali naona Gaza inaenda kufanywa makazi mapya ya wayahudi

Acha tusubiri tuone itakuaje

Walokole wa JF bana Muyahudi anatoka Kanisa la Baptist😂😂😂
 
Mchungaji wa Kanisa la Baptist aliyekuwa Gavana wa Jimbo la Arkansas kwa miaka 11. Rafiki wa Netanyahu na mtu aliyewahi kusema hakuna kitu cha Mpalestina. Mike Huckabee ameteuliwa na Trump kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel.Trump amesema Mike anaipenda Israel na watu wa Israel

Huyu Mzee ni MYAHUDI pure MTU ambaye anaichukia Palestine kwelikweli anaenda kuiwakilisha marekani, huu ni uteuzi wa Kwanza kabisa WA kibalozi yaani Israel ndiyo nchi ya Kwanza iliyopewa kipaumbele na marekani Kwa kupewa zawadi ya BALOZI alafu nchi nyingine zitafuata.

Toka Jana kumekuwa na shangwe kuanzia viongozi wa Israel Hadi wananchi Kwa ujio wa huyu master wa kuuwa wapalestina...Kwa mbali naona Gaza inaenda kufanywa makazi mapya ya wayahudi

Acha tusubiri tuone itakuaje


Naona umeandika kwa furaha na Bashasha kabisa kwamba huyo Mchungaji ndiye "Master wa kuua Wapalestina"
Yaani kabisa mtu uliyetoka mavumbini, na mavumbini utarejea, unashabikia kabisa kuuwawa kwa watu wengine wasio na hatia?
Nakumbusha tu kuwa, siku za mwisho zitakuwa ngumu sana kwani baadhi ya watu wamekuwa na roho mbaya pengine wamesha mpita shetani.....
 
Sio kweli ni kawaida ya wayahudi kumnasibisha kila aleyetoboa na uyahudi walijaribu Kwa Bilgate Hadi wakawa wanatengeneza picha fake na Microsoft headquarter zikiwa na bendera Yao wakafeli wakajaribu Kwa Elon musk wakafeli Toka lini myahudi awe mristo?
Kobazi kama kobazi
 
Naona umeandika kwa furaha na bashasha kabisa kwamba huyo ndiye "Master wa kuua wapalestina"
Yaani kabisa mtu uliyetoka mavumbini, na mavumbini utarejea, unashabikia kabisa kuuwawa kwa watu wengine wasio na hatia?
Nakumbusha tu kuwa siku za mwisho zitakuwa ngumu sana kwani watu wamekuwa na roho mbaya wanataka kumpita shetani...
Sijamaanisha hivyo mkuu...
Pia siwezi kushabikia mauaji ya watu wasio na hatia Bali nimeandika namna America na washirika wake wanavyoenda kuifanya Gaza Kwa ukatili
 
Trampoo ashitakiwe na mahakama ya kisutu kea noni aanze kazi kabla ya kuapishwa january
 
Lakini sio Trump Toka awali Trump asili yake ilitambulika kama German ila Kwa maslahi ambayo wanayajua wanamnasibisha na uyahudi.

Cha pili uyahudi ni Nini?
Daa; kuna sehemu hata moja nimemtaja Trump? Nilikua najibu kuhusu Wayahudi ambao ni Wakristo; genetic za Trump mimi sizijui; may be yes ni Myahudi, may be No; I'm not sure.

Umeniuliza pia kuhusu Uyahudi kwamba ni kitu gani? Samahani najua nitajibu majibu ambayo wengi wenu humu ni kama kitakua kitu kipya. Neno Wayahudi halionekani popote kabla ya mfalme Suleiman, neno hilo yaani Myahudi, Wayahudi or Jews in English limeanza kutumika baada ya mfalme Suleman kufariki na kuzikwa, now I will tell you how and why?
Kabla na wakati wa mfalme Suleiman Israel katika mipaka yake walikaa kwa makabila yao 12 katika nchi moja hi inayopiganiwa leo; Suleman aliingia Ikulu akiwa mfalme ambaye hana uzoefu wowote wa vita tofauti na baba yake Daudi and hence, njia ya yeye kujihami asishambuliwe na maadui, aliamua kuoa watoto wa wafalme wa nchi jirani, alipita na binti wa (nitataja majina ya nchi zinavyo tambulila leo ) mfalme wa Iraq, Iran, Syria, Jordan, Misri, Lebanon nk, na ni kweli katika utawala wake hakuna mfalme aliyeishambulia Israel na hakukuwahi kua na vita Israel hadi anakufa BUT remember kitendo cha kuoa wanawake ambao sio Waisrael wenzie kilikua kinyume na mafundisho yao na kimsingi hata yeye alikengeuka sana kiimani hadi alipokaribia kufa ndio akamrudia Mungu wake na kutengeneza; baada ya kifo chake na mwanae kukaa madarakani ndipo wana wa Israeli wakaona hawawezi kutawaliwa na mtu ambaye hajalelewa kiimani amd hence out of 12 tribes, makabila 10 yakaasi utawala wa mtoto wa mfalme na kuhami Samaria (leo ndio Syria ) na mji wao ukawa Damascus and Jerusalem yakabaki makabila 2, Yuda na Benyamin, na hapa sasa kuwatofautisha Waisrael walioko Syria/Samaria na Waisrael waliobaki Jerusalem ikawa ndio hi, Wayahudi (linatokana na kabila la Yuda ) na Waisrael.
Sijui kama nitakua nimekataka KIU yako.
 
Daa; kuna sehemu hata moja nimemtaja Trump? Nilikua najibu kuhusu Wayahudi ambao ni Wakristo; genetic za Trump mimi sizijui; may be yes ni Myahudi, may be No; I'm not sure.

Umeniuliza pia kuhusu Uyahudi kwamba ni kitu gani? Samahani najua nitajibu majibu ambayo wengi wenu humu ni kama kitakua kitu kipya. Neno Wayahudi halionekani popote kabla ya mfalme Suleiman, neno hilo yaani Myahudi, Wayahudi or Jews in English limeanza kutumika baada ya mfalme Suleman kufariki na kuzikwa, now I will tell you how and why?
Kabla na wakati wa mfalme Suleiman Israel katika mipaka yake walikaa kwa makabila yao 12 katika nchi moja hi inayopiganiwa leo; Suleman aliingia Ikulu akiwa mfalme ambaye hana uzoefu wowote wa vita tofauti na baba yake Daudi and hence, njia ya yeye kujihami asishambuliwe na maadui, aliamua kuoa watoto wa wafalme wa nchi jirani, alipita na binti wa (nitataja majina ya nchi zinavyo tambulila leo ) mfalme wa Iraq, Iran, Syria, Jordan, Misri, Lebanon nk, na ni kweli katika utawala wake hakuna mfalme aliyeishambulia Israel na hakukuwahi kua na vita Israel hadi anakufa BUT remember kitendo cha kuoa wanawake ambao sio Waisrael wenzie kilikua kinyume na mafundisho ya Kiyahudi na kimsingi hata yeye alikengeuka sana kiimani hadi alipokaribia kufa ndio akamrudia Mungu wake na kutengeneza; baada ya kifo chake na mwanae kukaa madarakani ndipo wana wa Israeli wakaona hawawezi kutawaliwa na mtu ambaye hajalelewa kiimani amd hence out of 12 tribes, makabila 10 yakaasi utawala wa mtoto wa mfalme na kuhami Samaria (leo ndio Syria ) na mji wao ukawa Damascus and Jerusalem yakabaki makabila 2, Yuda na Benyamin, na hapa sasa kuwatofautisha Waisrael walioko Syria/Samaria na Waisrael waliobaki Jerusalem ikawa ndio hi, Wayahudi (linatokana na kabila la Yuda ) na Waisrael.
Sijui kama nitakua nimekataka KIU yako.
Unasema uyahudi umeanza baada ya Suleiman kufa harafu hapohapo unasema Suleiman hakufata misingi ya uyahudi hivi unaelewa unachoongea kweli?
 
Unasema uyahudi umeanza baada ya Suleiman kufa harafu hapohapo unasema Suleiman hakufata misingi ya uyahudi hivi unaelewa unachoongea kweli?
Typing error, pale kwa Wayahudi pasomeke "yao" na nimeisha rekebisha
 
Mchungaji wa Kanisa la Baptist aliyekuwa Gavana wa Jimbo la Arkansas kwa miaka 11. Rafiki wa Netanyahu na mtu aliyewahi kusema hakuna kitu cha Mpalestina. Mike Huckabee ameteuliwa na Trump kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel.Trump amesema Mike anaipenda Israel na watu wa Israel

Huyu Mzee ni MYAHUDI pure MTU ambaye anaichukia Palestine kwelikweli anaenda kuiwakilisha marekani, huu ni uteuzi wa Kwanza kabisa WA kibalozi yaani Israel ndiyo nchi ya Kwanza iliyopewa kipaumbele na marekani Kwa kupewa zawadi ya BALOZI alafu nchi nyingine zitafuata.

Toka Jana kumekuwa na shangwe kuanzia viongozi wa Israel Hadi wananchi Kwa ujio wa huyu master wa kuuwa wapalestina...Kwa mbali naona Gaza inaenda kufanywa makazi mapya ya wayahudi

Acha tusubiri tuone itakuaje

Chuma chuma💪💪💪
 
Alikuwepo Farau mwenye nguvu
hivi sasa yupo wapi? Kamlea nabii mussa akampindua. Ukimtegemea binaadam na ukamuona kama Mungu ndio athari yake hio. Umeandika utumbo mtupu , kama silaha zote zimetumika na mambo magumu unategemea binaadam anaeharisha akila papai ?

Mchungaji wa Kanisa la Baptist aliyekuwa Gavana wa Jimbo la Arkansas kwa miaka 11. Rafiki wa Netanyahu na mtu aliyewahi kusema hakuna kitu cha Mpalestina. Mike Huckabee ameteuliwa na Trump kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel.Trump amesema Mike anaipenda Israel na watu wa Israel

Huyu Mzee ni MYAHUDI pure MTU ambaye anaichukia Palestine kwelikweli anaenda kuiwakilisha marekani, huu ni uteuzi wa Kwanza kabisa WA kibalozi yaani Israel ndiyo nchi ya Kwanza iliyopewa kipaumbele na marekani Kwa kupewa zawadi ya BALOZI alafu nchi nyingine zitafuata.

Toka Jana kumekuwa na shangwe kuanzia viongozi wa Israel Hadi wananchi Kwa ujio wa huyu master wa kuuwa wapalestina...Kwa mbali naona Gaza inaenda kufanywa makazi mapya ya wayahudi

Acha tusubiri tuone itakuaje

 
Naona umeandika kwa furaha na Bashasha kabisa kwamba huyo Mchungaji ndiye "Master wa kuua Wapalestina"
Yaani kabisa mtu uliyetoka mavumbini, na mavumbini utarejea, unashabikia kabisa kuuwawa kwa watu wengine wasio na hatia?
Nakumbusha tu kuwa, siku za mwisho zitakuwa ngumu sana kwani baadhi ya watu wamekuwa na roho mbaya pengine wamesha mpita shetani.....
Kuuwa magaidi. Kumbuka sio Wapalestina wote wanaunga mkono ugaidi
 
Tofauti ya sisi na nyinyi ndio huanzia hapo mna imani sana na watu ndio maana msiba wa wakristo na wayahudi huwa wanalia wakiongea camoon mtu ni mtu tu, wa kutegemewa ni Mwenyezi Mungu peke yake huyo Trump hana cha kuufanya uislamu hata akimteua bush kwa mara nyingine.
 
Inawezekana anaona Biden hakufanya vya kutosha kuisadia Israel na kuwakomesha Wapalestina akaamua kumuweka mfia dini kabisa anayeunga mkono kabisa sera ya Israel kuchukua makazi ya walowezi
Tunapita tu duniani hv ww BABU zako watatu wanaishi wap usifurahie human kind kupata mateso kama sio ww itakua ni vizaz vyako
 
Mchungaji wa Kanisa la Baptist aliyekuwa Gavana wa Jimbo la Arkansas kwa miaka 11. Rafiki wa Netanyahu na mtu aliyewahi kusema hakuna kitu cha Mpalestina. Mike Huckabee ameteuliwa na Trump kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel.Trump amesema Mike anaipenda Israel na watu wa Israel

Huyu Mzee ni MYAHUDI pure MTU ambaye anaichukia Palestine kwelikweli anaenda kuiwakilisha marekani, huu ni uteuzi wa Kwanza kabisa WA kibalozi yaani Israel ndiyo nchi ya Kwanza iliyopewa kipaumbele na marekani Kwa kupewa zawadi ya BALOZI alafu nchi nyingine zitafuata.

Toka Jana kumekuwa na shangwe kuanzia viongozi wa Israel Hadi wananchi Kwa ujio wa huyu master wa kuuwa wapalestina...Kwa mbali naona Gaza inaenda kufanywa makazi mapya ya wayahudi

Acha tusubiri tuone itakuaje

Mpaka sasa Gaza karibu asilimia 80 ni mji wa vifusi tu...... achilia mbali uhalifu wa kivita uliofanywa hapo.
 
Back
Top Bottom