Sijawahi kumuuliza. Nilitaka tu nijue kama alimuuliza ili nimpe ushauri. Sasa maadam amegoma kunijibu mi sina la kuongeza tenaBabu ina maana hata bibi ulimuuliza swali kama hili? Maisha yetu wajukuu zako yapo very complicated kwanini unataka tuya complicatishe zaidi?
Swali langu lilikuwa nijibiwe ndio au hapana. Then baada ya jibu ndo ningeweka hoja yangu sasa.Swali linaeleweka, maswali yako ni kama unamcriticize hiyo Mdada alivyomkubalia kirahisi ktk muda mfupi, Je huko nyuma miaka 5 amepitiwa na wangapi, tukuulize nawe je huko nyuma miaka 5 hiyo umewapitia wangapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani tuache tu kujibaraguza na tuseme ukweli tunafurahi sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] Unanivunja mbavu ujue!
Umenifanya nikumbuke ahadi hewa nilizowahi kupewa zikanifurahisha mpaka basi.
Ila kweli wanatuongezea siku za kuishi maana si kwa furaha ile unayoipata
Ndiye uliye nae hadi sasaMimi nilimkaribisha geto kwangu alipo kuja na kuona Sound system niliyo nunua na li flat limetulia ukutani pale, sikuhangaika sana kumchojoa bikini yake nikajitwalia points tatu za muhimu kama Simba SC kupitia Kagere wanavyo fanya sasa hivi kwenye VPL
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu mkuu... Una gari?Kijana umetisha,ninaomba na mimi niijaribu,nipe baraka zako
Duh mbona haijaonesha km alikukubalia?Nilianza mazoeanae akawa hataki, siku nikapita kazini kwake nikwamwambia hata km unanichukia lkn ujue tu nakupenda wala sitakusumbua tena, baada ya wiki 2 boss wake akaniomba nikamsaidie kupika (alkua na ubatizo wa mtoto) nilipika chakula kitamu sikujua hata nilipikaje na wala sikuwahi kupika chakula km kile, hadi leo anasumbua nipike km kile nabaki nacheka tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali niliyokupa, ukiwa unaajua majibu yake, basi automatically nitakua nimekujibu NDIYO / HAPANA yakoSwali langu lilihitaji kujibiwa ndio au haoana. Baaas!
Haya maswali wala sikuyahitaji.
Furahia maisha yako na mkeo kijana.
Sentensi ya mwisho ni jibu mkuu, ndio mke wangu sa hv tuna watoto wa3
Kiulainiii kabisaHakutaka hata ukaribu na Mimi Ila aliona wenzake wananielewa afu akinicheki Niko kawaida Sana .kumbe alikuwa hajaelewa mambo yangu
Baadaye kuzipata habari kwamba mwamba ni somebody somewhere mwenyewe akajilengesha kiulani na mpaka Leo tuko pamoja
Wala sikutumia sound Bali kupitia wenzake akaona nastahili kutunukiwa mzigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyingi sana mkuuKweli njia nyepesi ya kumpata mwanamke is just showing the power to feed her. Ha ha ha i belive.
Na huyo ni mmoja tu. Kuna mimba nyingi ziliingia kwa gia ya chips kuku tu na watu wakaolewa na wanalea. Nawasilisha!
Kwaiyo hujawahi kutoswa?Mimi huwa MWANAMKE akinikataa huwa situmii NGUVU NYINGI,,, akishanipa namba YAKE basi huwa ASUBIRI kunipa PAPUCHI...nikiwa ktk PIRIKAPIRIKA ZANGU ZA KUTAFUTA,,,Mara nyingi nakuwa natumia WHTSAP NO YA TANZANIA,,,lakini pengine sipo hapa TANZANIA,,,nakuwa nabadilisha PROFILES PICHA ZA KUFA MTU,,huku nikiwa simwachi SALAMA,,,salamu kama HEY CUTE,,,MAMBO MTOTO MZR?ni vitu vya kawaida kwngu KUM TEXT,,,sometimes nampigia calls na UNKOWN NO,, huku namtupa nipo DC,,au SWISS ni kawaida,,KWA HAWA DADA ZETU WAPENDA VINAVYONG'AA HUWA HAWAKWEPI SHOKA LA MSOLOPA GANZI,,,,hakuna wa kunitosa labda AWE KIPOFU....
Sent using Jamii Forums mobile app
Baki tu na ushauri wako..Sijawahi kumuuliza. Nilitaka tu nijue kama alimuuliza ili nimpe ushauri. Sasa maadam amegoma kunijibu mi sina la kuongeza tena
Hongera sana mkuuWoyoooooooooo
Ni sounds / namna au mbinu gani ulitumia kumnasa mpenzi wako wa sasa? Na ilichukua muda gani hadi aingie line?
Binafsi nilikutana nae akiwa katoka shopping, nikamsaidia mizigo na ku exchange number.
Sikumpiga sound bali tulichati for two weeks ivi nikamwomba nimtoe dinner. She accepted na nikamfata na gari hadi kwao tabata. Nikamchukua na kwenda eneo flani amazing kule mbezi beach. Alikula na kunywa alichokipenda. Wakati namrudisha kwao nilisimamisha gari umbali km wa dk 5 hivi na kwao and tried to kiss her. Hakukataa.... I kissed her for about one minute then nikamdrop home.
From that day akawa wangu hadi sasa ni mke wangu wa ndoa.
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kariakoo kuna viwanja au maguestDah...nilikuta naye ndani ya mwendokasi...nikamwambia atafute kiwanja Kariakoo nimnunulie....nikamla siku hiyohiyo...😎
Duuh hongera mkuuHakutaka hata ukaribu na Mimi Ila aliona wenzake wananielewa afu akinicheki Niko kawaida Sana .kumbe alikuwa hajaelewa mambo yangu
Baadaye kuzipata habari kwamba mwamba ni somebody somewhere mwenyewe akajilengesha kiulani na mpaka Leo tuko pamoja
Wala sikutumia sound Bali kupitia wenzake akaona nastahili kutunukiwa mzigo
Sent using Jamii Forums mobile app