Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Endelea kuwaamini wanasiasa wanaokutumieni kisiasaDua za malaika mbaya daima hazitatufikia!!!!!
kama ilivyotokea kwa PASAKA, ambapo damu ilipakwa milangoni mwa wana wa Israel, ndivyo ambavyo mapigo yataiepuka TANZANIA
NB: kwa wasiojua maana yake wachukue COVID19 kama funzo kwao!
TANZANIA IMEAMUA KUMTEGEMEA MUNGU APONYAYE!!!
kazi kwenu wawakilishi wa kuiombea na wabashiri mabaya kwa Tanzania
Umesahau kuwa jinsi dunia ilivyokuwa ina run 1980 ni tofauti na 2020 , dunia ya Leo tunategemeana mno. Ndio maana hamna nchi iliyoendelea kwa kutegemea wawekezaji wa ndani pekee.Tulipingwa na dunia, tukawekewa vikwazo.
Lakini kila benki, kila kampuni, kila biashara tuliziendesha wenyewe wakati wa Mwalimu. Biashara ambayo ilitushinda hatukuita wageni, tuliifungilia mbali kuliko kuliwa, kama vile kuchimba katikati dunia kutafuta dhahabu.
We were a living embodiment of business independence.
NMB foreign owners exiting the country is welcome news of addition by subtraction. WE, THE PEOPLE, will fill the void.
There is no foreign bank in the country, be it Barclays, EXIM, Citibank, KBC, STANBIC, BOA, FNB, DTB,FBME, Bank of India, Bank of wherever on earth they are from, none of them has grown bigger and better than the ones we built and are running them ourselves, including NMB and the whooping behemoth that is BENKI YA USHIRIKA NA MAENDELEO VIJIJINI. So, of course, we can. We've been there and we've been here. Julius Nyerere is back, bigger and better than ever.
You are a banana republic if you need a foreigner to run a bank for you.
Mabeberu awaogopi madiktetaLabda huyo beberu alikuwa anamzuia Jiwe kufuatilia account za akina Mbowe na Lema
Anataka kuleta ujamaa kwenye ulimwengu wa Sasa wa economic integration huwezi endelea bila kuliwaUmesahau kuwa jinsi dunia ilivyokuwa ina run 1980 ni tofauti na 2020 , dunia ya Leo tunategemeana mno. Ndio maana hamna nchi iliyoendelea kwa kutegemea wawekezaji wa ndani pekee.
By the way nje ya mada ivi ni nchi gani iliyotuletea mahindi ya njano kipindi like tuna njaa Kali miaka ya '80'?
Aisee hapa itabidi tumtafute mtu wa ndani wa DSE. jana nlijaribu kucheki report ila bado naiona kama ni buyback ya NMB.Naantombe Mushi naomba utuletee mrejesho hawa jamaa wamemuuzia nani share zao.
Hii ni habari ya 2016, ila mpaka sasa bado hatujaambiwa nani kazichukua. So nadhani watu wa finance wa NMB, BOT au DSE wanaweza kutusaidia kwenye hiliAmezinunua Arise Foundation..ambao ni wa Dutch hao hao..Arise is comprised of Norfund(Norwegian Investment fund),FMO(a Dutch development bank) and Rabobank
ilikuwa hata haiaminiki wakihisi inaweza kutangazwa mufilisi na pesa zao kufia humo..heko yao walimshauri mkapa fedha za mishahara zikapita kwao..wao wakanzisha mikopo ya wafanyakazi..ambao hakuna benki iliyokuwa inaweza kuwaamini bila biashara kuwakopesha wafanyakzi siku hizi ndio zinajaribu kwa kuwavuta kutoka nmb...Huyu mdach kuondoka tabu itarudi miaka ile au..tabu mpya inakujaWatu wenye akili ndogo kama wewe ndo
Usikute wanamshauri Rais now..
Hii Nmb ilikuwa benk benk ndogo kabisa
Ilianzishwa baada ya shinikizo kufuatia kuuzwa NBC..
Hawa wa Dutch ndo wameikuza hadi imekuwa Bank kubwa kuliko zote TZ..
Wenye akili za sisimizi ndo watafurahia kuondoka hawa wazungu
True kabisaNadhani kuna muelekeo wa investors wengi wa nje kuondoka kwenye banking sector; hao Rabo Bank na wengine walikuwa wamewekeza pia Akiba Commercial bank nako wameuza stake yao!! The bank of Tanzania should be concerned about the outflow of forex due to the exit of these foreign investors at this crucial time. Remember foreign investors are allergic to both political/economic uncertainty!!!
Wenzetu Wanaona mbali!!!
Soma tarehe ya hiyo article.. ni story ya mwaka 2016.Ok kwahiyo kumbe Rabo Bank imenunuliwa na Arise.
Sasa taharuki yote hii aliyoleta mleta mada maana yake nini
Usitupotezee muda kwa speculation hapa, watu tunajadili hearsay kama vijiweni bwana.Soma tarehe ya hiyo article.. ni story ya mwaka 2016.
Si ndo hiyo imeshindikana, CEO wa nje si ndo alipigwa fitina na ndo tifu kati ya serikali na rabobank. Huyu mama mbongo amepatikana baada ya shinikizo la serikaliBoard of directors bado serikali ina uhuru wa kuteua wakurugenzi ila ceo ambaye ndio mtendaji mkuu wa NMB bado atakuwa mtu kutoka nje...
Kumbe hata huna uhakika na unachokizungumzia hapa mpaka ukaulizie??Hii ni habari ya 2016, ila mpaka sasa bado hatujaambiwa nani kazichukua. So nadhani watu wa finance wa NMB, BOT au DSE wanaweza kutusaidia kwenye hili
Reference yako ni ya mwaka 2016 soma vizuriTunapenda sana ku complicate vitu, watu washaweka maelezo ya NMB nini kinaendekea ila kuna watu wao kubisha tu.
Ugumu huko wapi kuelewa ya kuwa Rabobank, Norfund na MFO; wameamua kuungana na kuunda ‘umbrella company’ itakayoitwa Arise-Investment (Arise Investment - Investing in Africa's Local Prosperity)
Makubaliano ya muungano wao kila mtu akabidhi asset alizokuwa nazo binafsi zisimamiwe na Arise-Investment.
Katika kutimiza wajibu huo Rabobank wamepeleka transfer of shares request ziende kunakohusika, zinaonekana vipi DSE kama zinauzwa ilhali ni swala la transfer; probably ni process za sheria tu.
In other words kwa prospective buyer mwingine akitaka kununua awezi pewa kampuni ina haki ya kukataa pia kuuza ata kama share zinaonekana zipo sikoni.
In the real world shareholder mkubwa anapouza share zake zote hakuna mtu mwenye akili timamu atakimbilia kununua lazima shirika linaelekea kufilisika na ingelikuwa ivyo hiyo bank ingeshakuwa chini ya mikono ya BoT wana limit za reserve asset ili watu wasipoteze savings zao zote; kabla bank kuu aijaingilia kati.
Kuna watu kadhaa wamewawekea link ya public announcement from NMB kama ujaisoma hiyo hapo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huo utashi wa mwafrika uliokuwa unatetewa na Nyerere ilikuwaje tukavaa viraka?