Shareholder mkubwa wa NMB ameondoka – Rabobank Nederland

Shareholder mkubwa wa NMB ameondoka – Rabobank Nederland

Hio bank inabebwa na mishahara ya watumishi kupitia kule bila hivyo ingeshafilisika
Du. Hivi mtumishi wa serikali hawezi kutaka mshahara wake upitishwe benki nyingine? eg Kama anaona CRDB au benki nyingine yoyote ndiyo inakidhi viwango vyake na akaamua kufungua account huko ina maana mshahara hauwezi kupitia huko?
 
pamoja na taarifa kuwa ya hisia tuu bila kuwa na hakika lakini ukweli ni kwamba serikali haiwezi kuendesha bank hii na ikasurvive kabisa uko ni kujidanganya kabisa bali hii bank itakufa.
serikali haiwezi kuendesha hii bank kuna mambo mengi imeshindwa kwa hiyo isipambane kuendesha hii bank itakufa
 
pamoja na taarifa kuwa ya hisia tuu bila kuwa na hakika lakini ukweli ni kwamba serikali haiwezi kuendesha bank hii na ikasurvive kabisa uko ni kujidanganya kabisa bali hii bank itakufa.
serikali haiwezi kuendesha hii bank kuna mambo mengi imeshindwa kwa hiyo isipambane kuendesha hii bank itakufa
Sirikali ina watalaamu wa kutosha kuendesha benki yeyote, acha mabeberu waondoke zao au nasema uongo ndugu zangu.
 
Ni kwenye trading session ya jana 28.12.2020 Dar es salaam stock exchange, sijajua kama NMB wame buy back au kuna local investor amenunua, au zimebadilisha ownership kwa foreign investor mwenzao (ntazidi kufuatilia)

Ikiwa kama NMB wame buy back au local investor amenunua, ina maana inakuwa moja kwa moja na impact kwenye uchumi wetu, in terms of capital outflow ya Dola takribani $ 183 Million zitaondoka kwenye uchumi wetu kuwalipa Rabobank mchuzi wao.

Ikiwa kama kuna another foreign investor amezinunua, hapo hakuna impact yoyote kwenye uchumi maana hakutakuwa na capital outflow ya Dola. Japokuwa nimeangalia jana kwenye report ya broker, sijaona kama kuna investor wa nje amezinunua (more likely ni buy back ya NMB) ambayo itaipa serikali kuwa shareholder mkubwa.

Kwa angle nyingine pia, naona kama kuna uwezekano wa serikali kuwa shareholder mkubwa wa NMB endapo kama NMB wame buy back which means shareholder mkubwa atakuwa ni Hazina (Treasury Registrar) kitu ambacho mimi nakiona hakina afya hata kidogo ukizingatia historian a performance ya benki zinazomilikiwa na serikali.

View attachment 1662012
View attachment 1662013

Sijajua sababu haswa iliyowafanya kuondoka Tanzania, kuna possibilities nyingi, labda watu wa NMB wanaweza kuwa wanaelewa vema nini kinaendelea. Kama ni decision yao kama wao inawezekana labda wameona outlook ya banking industry kwa Tanzania labda sio nzuri kwa mbeleni ndio maana wameamua kuondoa mtaji wao au sijui kama ni msukumo kutoka serikalini kutaka kui-contro, benki ya NMB which means labda 'Rabobank Kafukuzwa'... nadhani siku chache za mbeleni tutajua nini haswa ndo sababu.

Lakini kwa namna na sababu yoyote, bado hii exit ya Rabobank sio kitu ambacho nakiona kama kina afya kwa NMB kama benki, na pia kinaweza kuwa na impact kwenye FDI kwa Tanzania.

Mjumbe hauawi
N. Mushi
Mkuu- kwenye mada umesema mwenye hisa mkubwa ameondoka- katika ulimwengu wa mahisiano ya kihisa mbona hujaeleweka na haileti maana yoyote zaidi ya kuleta taharuki isiyo na maana.
 
Sio wao walioifanya iwe kubwa.
Hii ni benki ya Kitanzania iliyomegwa kutoka NBC mwaka 1997. Tukaiendesha wenyewe mpaka 2005, tukauza nusu ya umiliki. Hapo tukiwa tayari tumetambaa nchi nzima. Rabobank hawakujenga NMB from scratch.

Lakini kama wageni ndio wanaweza sana kuunda mabenki, ni kwa nini benki zao hazijawa kama CRDB na NMB ?

Barclays, Citibank, Bank M, EXIM, KBC, STANBIC, BOA, FNB, DTB,FBME, Bank of India....

Kwa nini hazijakomaa kama zilivyo legacy banks zetu za asili?
kwa nini benki zetu za ndani hazijaweza kujitanua nje kama benki za kigeni zilvyoweza, benki ya wakenya equity benki imejitanua sana tanzania, lakini cha ajabu kenya hakuna benki ya tanzania iliyoweza kujitanua.
 
Ni kwenye trading session ya jana 28.12.2020 Dar es salaam stock exchange, sijajua kama NMB wame buy back au kuna local investor amenunua, au zimebadilisha ownership kwa foreign investor mwenzao (ntazidi kufuatilia)

Ikiwa kama NMB wame buy back au local investor amenunua, ina maana inakuwa moja kwa moja na impact kwenye uchumi wetu, in terms of capital outflow ya Dola takribani $ 183 Million zitaondoka kwenye uchumi wetu kuwalipa Rabobank mchuzi wao.

Ikiwa kama kuna another foreign investor amezinunua, hapo hakuna impact yoyote kwenye uchumi maana hakutakuwa na capital outflow ya Dola. Japokuwa nimeangalia jana kwenye report ya broker, sijaona kama kuna investor wa nje amezinunua (more likely ni buy back ya NMB) ambayo itaipa serikali kuwa shareholder mkubwa.

Kwa angle nyingine pia, naona kama kuna uwezekano wa serikali kuwa shareholder mkubwa wa NMB endapo kama NMB wame buy back which means shareholder mkubwa atakuwa ni Hazina (Treasury Registrar) kitu ambacho mimi nakiona hakina afya hata kidogo ukizingatia historian a performance ya benki zinazomilikiwa na serikali.

View attachment 1662012
View attachment 1662013

Sijajua sababu haswa iliyowafanya kuondoka Tanzania, kuna possibilities nyingi, labda watu wa NMB wanaweza kuwa wanaelewa vema nini kinaendelea. Kama ni decision yao kama wao inawezekana labda wameona outlook ya banking industry kwa Tanzania labda sio nzuri kwa mbeleni ndio maana wameamua kuondoa mtaji wao au sijui kama ni msukumo kutoka serikalini kutaka kui-contro, benki ya NMB which means labda 'Rabobank Kafukuzwa'... nadhani siku chache za mbeleni tutajua nini haswa ndo sababu.

Lakini kwa namna na sababu yoyote, bado hii exit ya Rabobank sio kitu ambacho nakiona kama kina afya kwa NMB kama benki, na pia kinaweza kuwa na impact kwenye FDI kwa Tanzania.

Mjumbe hauawi
N. Mushi
Zimbabwe ya Mugabe hiyooo inakuja Tanzania.
 
Dua za malaika mbaya daima hazitatufikia!!!!!

kama ilivyotokea kwa PASAKA, ambapo damu ilipakwa milangoni mwa wana wa Israel, ndivyo ambavyo mapigo yataiepuka TANZANIA

NB: kwa wasiojua maana yake wachukue COVID19 kama funzo kwao!

TANZANIA IMEAMUA KUMTEGEMEA MUNGU APONYAYE!!!

kazi kwenu wawakilishi wa kuiombea na wabashiri mabaya kwa Tanzania
Utekaji

Uuaji

Wizi wa kura

Ukabila

NDIO KUMTEGEMEA MUNGU???
 
Redemption of shares sidhani kama itakuwa na positive result hasa kwenye hii bank ambayo serikali ina hold Major shares
 
we need to get more serious linapokuja suala la financial services industry. Hatuwezi kuwa wajinga na kukubali upuuzi wa MATAGA kutaka kila njia ya uchumi imilikiwe na serikali.
Umeandika vizuri sana mkuu. Blessings

Hawa mataga wanafikiri tumesahau jinsi walivyoiua NBC enzi hizo kwa chuchota fedha kwa miradi yao ya pwagu na pwaguzi kule Msimbazi ikiendeshwa na watu wao waliokuwa mambumbumbu pale SUKITA!!

Serikali si inamiliki Tanzania Postal Bank, tuone kama safari hihi wataweza!!!

Naamini kabisa kuwa serikali hawana ujuzi wa biashara kwani biashara ina miiko yake ambayo sio rahisi wao kuifuata!! Mfano ni jinsi ya kuthibiti matumizi, serikali mara nyingi wanajua kutumia fedha bila kuwa makini kwasababu ya political considerations.
 
Ndo tatizo nnaloliona linakuja, serikali siku zote nawaona kama wachafuaji wa mabenki.

Watu hawajiulizi TIB ilikufa kwa sababu gani? Nnachokiona hapa serikali walikuwa wanatafuta ushawishi kwenye hizi benki kubwa kama NMB na CRDB ili wawatumie ku finance baadhi ya projects za ndani. Lakini matokeo yake nadhani yatakuwa ni mabovu maana lazima kuwe na mikopo chechefu yakutosha
Hili ni tatizo la siku nyingi sana.

Kuna Mzee wangu mmoja alikuwa mkubwa Bima. Siku moja tumekaa akawa ananipa stories za enzi zake kazini.

Anasema kuna mwaka Katibu Mkuu wa CCM alimfuata kuomba mkopo. Mkopo mkubwa tu.

Basi yule Mzee akamwambia sawa, fomu hizi hapa utajaza, tutataka kujua mnaweka collateral nini, mnataka mkopo wa muda gani na detail zote.

Kawawa akamwambia habari za collateral usijali, sisi tunakopa kwa integrity ya jina la Chama Cha Mapinduzi na Serikali ya Tanzania.

Yule Mzee akawa anaona hapa mbona mambo mapya haya? Akamwambia Kawawa hilo halitawezekana.

Kawawa akamwambia, "kijana, hivi unajua sisi ndio tuliofanya hii kampuni ikawepo hapa?"

Basi yule Mzee akaona kama katishwa, akampelekea issue bosi wake.Bosi akapitisha mkopo.

Siku kibao zikapita, yule Mzee ikabidi afuatilie malipo ya mkopo, maana Kawawa/CCM walikuwa hawalipi.

Ikawa kazi sana kumpata Kawawa. Kila akimtafuta hampati. Kila akimtafuta hampati.

Mwishowe akampata. Akamsalimia, akamwambia Muheshimiwa nafuatilia ule mkopo, naona malipo hayafanywi.

Kawawa akamjibu akamwambia "Kijana, hivi hapo Bima mna "bad loans ledger"?

Akajibiwa lipo.

Kawawa akamwambia basi huu mkopo uweke katika hiyo "bad loand ledger" tuumalize hivyo.

Na hapo ndipo mkopo ulipoishia.

Vitu kama hivi vinaendelea mpaka leo, hata kama si blatantly hivyo.
 
1609347795811.png
 

Rabobank has lodged a share transfer request for its stake in NMB Bank Plc​

NMB Bank’s largest shareholder, Rabobank of the Netherlands, has partnered with the Dutch Development Bank (FMO) and the Norwegian State owned development fund (Norfund) to form a Sub-Saharan Africa-focused investment company, Arise. The partnership was officially launched in Cape Town, South Africa in February 2017.
The ambition of the partnership is to build strong, locally owned financial institutions that serve small and medium enterprises (SMEs), the rural sector, and clients who have not previously had access to financial services.
Rabobank, FMO and Norfund have each in their individual capacities been successful in the development of the financial sector in Africa. Through Arise, the partners aim to continue to adequately support the growth and advancement of financial institutions by proactively providing among other things, technical assistance and management services in the fields of governance, management, marketing, innovation, compliance and risk management.
To achieve their goal, members of the partnership agreed to pool together their networks, expertise and assets, including the stakes they individually held in several financial institutions in Sub-Saharan Africa (SSA). For Rabobank, this represents its shareholding in a number of financial institutions in SSA including NMB Bank Plc (NMB).
The transfer of Rabobank’s shares in NMB to Arise is subject to regulatory approvals both at shareholder level as well as at the various national levels. Rabobank has lodged its share transfer request at the Ministry of Finance (MOF), the Bank of Tanzania (BOT) and the Capital Markets and Securities Authority (CMSA).
NMB will provide an update of the proceedings upon the receipt of responses from the regulatory bodies.

SIJUI TATIZO NI UGUMU WA KUTAFSIRI AMA VIPI, LAKINI HIYO JUU NDIO TAARIFA RASMI YA RABOBANK KWENYE WEBSITE YAO RASMI.​

 
Back
Top Bottom