Shareholder mkubwa wa NMB ameondoka – Rabobank Nederland

Shareholder mkubwa wa NMB ameondoka – Rabobank Nederland

Hapo nimeweka bei ya zamani na bei ya Sasa,
Mfn. Sabuni Mo poa, imepanda kutoka:-
9,000 tsh hadi 9,500 tsh
 
Integration my foot.

UK imejitoa kwenye ma integration hasara ya EU.

Kujiondoa hao wageni kutoka kwenye umiliki wa the biggest banking conglomerate is welcome news.
Ujui chochote kuhusu uchumi kaa kimyaa.Jifunze kwanza maana ya neno integration
 
Local bank kwa sasa zinaogopwa sana na investors kwa hii tabia ya kuchotewa hela ki holela na TRA kwa kisingizio cha money laundering
 
Local bank kwa sasa zinaogopwa sana na investors kwa hii tabia ya kuchotewa hela ki holela na TRA kwa kisingizio cha money laundering

Kwani za nje mfano exim,absa,kcb awawezi zichota huko kikagame stayle
 
Wamachinga hadi kwenye mitaro ma..maa..ee Jp Mpiana hataki tena kutamka neno viwanda
 
Ni kwenye trading session ya jana 28.12.2020 Dar es salaam stock exchange, sijajua kama NMB wame buy back au kuna local investor amenunua, au zimebadilisha ownership kwa foreign investor mwenzao (ntazidi kufuatilia)

Ikiwa kama NMB wame buy back au local investor amenunua, ina maana inakuwa moja kwa moja na impact kwenye uchumi wetu, in terms of capital outflow ya Dola takribani $ 183 Million zitaondoka kwenye uchumi wetu kuwalipa Rabobank mchuzi wao.

Ikiwa kama kuna another foreign investor amezinunua, hapo hakuna impact yoyote kwenye uchumi maana hakutakuwa na capital outflow ya Dola. Japokuwa nimeangalia jana kwenye report ya broker, sijaona kama kuna investor wa nje amezinunua (more likely ni buy back ya NMB) ambayo itaipa serikali kuwa shareholder mkubwa.

Kwa angle nyingine pia, naona kama kuna uwezekano wa serikali kuwa shareholder mkubwa wa NMB endapo kama NMB wame buy back which means shareholder mkubwa atakuwa ni Hazina (Treasury Registrar) kitu ambacho mimi nakiona hakina afya hata kidogo ukizingatia historian a performance ya benki zinazomilikiwa na serikali.

View attachment 1662012
View attachment 1662013

Sijajua sababu haswa iliyowafanya kuondoka Tanzania, kuna possibilities nyingi, labda watu wa NMB wanaweza kuwa wanaelewa vema nini kinaendelea. Kama ni decision yao kama wao inawezekana labda wameona outlook ya banking industry kwa Tanzania labda sio nzuri kwa mbeleni ndio maana wameamua kuondoa mtaji wao au sijui kama ni msukumo kutoka serikalini kutaka kui-contro, benki ya NMB which means labda 'Rabobank Kafukuzwa'... nadhani siku chache za mbeleni tutajua nini haswa ndo sababu.

Lakini kwa namna na sababu yoyote, bado hii exit ya Rabobank sio kitu ambacho nakiona kama kina afya kwa NMB kama benki, na pia kinaweza kuwa na impact kwenye FDI kwa Tanzania.

Mjumbe hauawi
N. Mushi
 
Jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza. Majungu ya JF.

Tanzania: NMB Bank Gets New Shareholder - allAfrica.com

Dar es Salaam — NMB Bank has a new shareholder. This comes after the bank's shares that were held by Rabobank - a Dutch multinational banking and financial services provider - were transferred to an investment consortium.

Rabobank was the largest single investor in NMB, with 174,500,000 shares (34.9 percent) which were transferred to Arise. Rabobank partnered with the Dutch Development Bank (FMO) and the Norwegian State-owned development fund (Norfund) to form the sub-Saharan Africa-focused investment company, Arise.

The investment firm aims to support the growth and advancement of financial institutions by proactively providing - among other things - technical assistance and managerial services in the fields of governance, management, marketing, innovation, compliance and risk management.

Rabobank - which will still be in NMB through the investment consortium - had lodged a request to transfer its stake in NMB Bank Plc for regulatory procedures. The request was approved on Monday, the bank said in a statement.

CMSA confirmed to have approved the transfer of shares. But it did not give more details.

Speaking on the shares transfer, NMB chief executive Ruth Zaipuna said "successful completion of the shares transfer is a testament of investors' confidence in the institution - and the country at large."

NMB is currently the most profitable bank in Tanzania after recording Sh145 billion as cumulative net profit in the quarter that ended on September 30, 2020. "The collaborative partnership between Arise and NMB is envisaged to deliver substantial operational, commercial, organizational and financial benefits with long-term market returns that go beyond stakeholders' expectations," she oozed confidence.

"Undoubtedly this long-term investment by Arise will support NMB's future growth aspirations, and spur economic growth and the prosperity of Tanzanians through increased financial inclusion - and also the growth of retail, SMEs and agriculture sectors. NMB would like to thank all its shareholders, strategic partners, customers and staff for continued faith and dedication to the organization."

The NMB trading counter at the Dar Es Salaam Stock Exchange (DSE) closed at Sh2,340 per share on Tuesday after trading flat, compared to the previous day.

Apart from Arise - which is now taking over the 34.9 percent shareholding of the Rabobank - the Tanzania government owns 31.8 percent of the equity as listed at the Dar es Salaam Stock Exchange.

This year, the government received Sh15.2 billion as dividend from NMB Bank Plc after the lender recorded Sh149 billion profit in 2019.
 
Ni kwenye trading session ya jana 28.12.2020 Dar es salaam stock exchange, sijajua kama NMB wame buy back au kuna local investor amenunua, au zimebadilisha ownership kwa foreign investor mwenzao (ntazidi kufuatilia)

Ikiwa kama NMB wame buy back au local investor amenunua, ina maana inakuwa moja kwa moja na impact kwenye uchumi wetu, in terms of capital outflow ya Dola takribani $ 183 Million zitaondoka kwenye uchumi wetu kuwalipa Rabobank mchuzi wao.

Ikiwa kama kuna another foreign investor amezinunua, hapo hakuna impact yoyote kwenye uchumi maana hakutakuwa na capital outflow ya Dola. Japokuwa nimeangalia jana kwenye report ya broker, sijaona kama kuna investor wa nje amezinunua (more likely ni buy back ya NMB) ambayo itaipa serikali kuwa shareholder mkubwa.

Kwa angle nyingine pia, naona kama kuna uwezekano wa serikali kuwa shareholder mkubwa wa NMB endapo kama NMB wame buy back which means shareholder mkubwa atakuwa ni Hazina (Treasury Registrar) kitu ambacho mimi nakiona hakina afya hata kidogo ukizingatia historian a performance ya benki zinazomilikiwa na serikali.

View attachment 1662012
View attachment 1662013

Sijajua sababu haswa iliyowafanya kuondoka Tanzania, kuna possibilities nyingi, labda watu wa NMB wanaweza kuwa wanaelewa vema nini kinaendelea. Kama ni decision yao kama wao inawezekana labda wameona outlook ya banking industry kwa Tanzania labda sio nzuri kwa mbeleni ndio maana wameamua kuondoa mtaji wao au sijui kama ni msukumo kutoka serikalini kutaka kui-contro, benki ya NMB which means labda 'Rabobank Kafukuzwa'... nadhani siku chache za mbeleni tutajua nini haswa ndo sababu.

Lakini kwa namna na sababu yoyote, bado hii exit ya Rabobank sio kitu ambacho nakiona kama kina afya kwa NMB kama benki, na pia kinaweza kuwa na impact kwenye FDI kwa Tanzania.

Mjumbe hauawi
N. Mushi
 
Tatizo la hii mada ni perspective ya mwanzilishi wake alivyoileta by ommiting the main facts which would have directed contributions in a different angle contrary to most arguments presented.

Matokeo yake uwasilishaji wa mleta mada ume influence the nature of discussion line, to be pursued; whilst other concerns of the mergers motives being ignored.

To me the motive of this merger might be (not necessary true) a tax evasion scheme, si ajabu Norfund kanunua hizo kampuni mbili za ki dutch.

Kwenye harakati za kukwepa kulipa kodi za capital gain tax hao walionunuliwa njia rahisi ilikuwa ni kufanya sinema ya merger, kuunda kampuni nyingine and transferring shares to the consortium halafu watalipana juu kwa juu bila ya kulipa kodi kwa serikali za kiafrica on transfer of shares.

Hard to prove though kama wazungu mpaka leo wanapambana na changamoto za tax evasion schemes na sisi lazima tukubali kuna mbinu nyingine ni ngumu kuzuia because the conducts are legal on the surface.
 
Unatoaje hela NMB?

Mwajiri mkubwa kuliko wote nchini anatumia NMB, mishahara yote inatumwa huko. Unaikwepaje NMB?

The biggest financial conglomerate in the country simply can not be a foreign bank.

The national and economic security exposure is not worth the risk.
Ina ukubwa gani,haipo hata Rwanda,Burundi,au Malawi,KCB,Equity benki za Kenya hizi,zipo mpaka South sudani,Congo,
 
Ni kwenye trading session ya jana 28.12.2020 Dar es salaam stock exchange, sijajua kama NMB wame buy back au kuna local investor amenunua, au zimebadilisha ownership kwa foreign investor mwenzao (ntazidi kufuatilia)

Ikiwa kama NMB wame buy back au local investor amenunua, ina maana inakuwa moja kwa moja na impact kwenye uchumi wetu, in terms of capital outflow ya Dola takribani $ 183 Million zitaondoka kwenye uchumi wetu kuwalipa Rabobank mchuzi wao.

Ikiwa kama kuna another foreign investor amezinunua, hapo hakuna impact yoyote kwenye uchumi maana hakutakuwa na capital outflow ya Dola. Japokuwa nimeangalia jana kwenye report ya broker, sijaona kama kuna investor wa nje amezinunua (more likely ni buy back ya NMB) ambayo itaipa serikali kuwa shareholder mkubwa.

Kwa angle nyingine pia, naona kama kuna uwezekano wa serikali kuwa shareholder mkubwa wa NMB endapo kama NMB wame buy back which means shareholder mkubwa atakuwa ni Hazina (Treasury Registrar) kitu ambacho mimi nakiona hakina afya hata kidogo ukizingatia historian a performance ya benki zinazomilikiwa na serikali.

View attachment 1662012
View attachment 1662013

Sijajua sababu haswa iliyowafanya kuondoka Tanzania, kuna possibilities nyingi, labda watu wa NMB wanaweza kuwa wanaelewa vema nini kinaendelea. Kama ni decision yao kama wao inawezekana labda wameona outlook ya banking industry kwa Tanzania labda sio nzuri kwa mbeleni ndio maana wameamua kuondoa mtaji wao au sijui kama ni msukumo kutoka serikalini kutaka kui-contro, benki ya NMB which means labda 'Rabobank Kafukuzwa'... nadhani siku chache za mbeleni tutajua nini haswa ndo sababu.

Lakini kwa namna na sababu yoyote, bado hii exit ya Rabobank sio kitu ambacho nakiona kama kina afya kwa NMB kama benki, na pia kinaweza kuwa na impact kwenye FDI kwa Tanzania.

Mjumbe hauawi
N. Mushi

Hizi share zimeenda ARISE, ambapo Rabobank ni partner.

Rabobank has lodged a share transfer request for its stake in NMB Bank Plc
NMB Bank’s largest shareholder, Rabobank of the Netherlands, has partnered with the Dutch Development Bank (FMO) and the Norwegian State owned development fund (Norfund) to form a Sub-Saharan Africa-focused investment company, Arise. The partnership was officially launched in Cape Town, South Africa in February 2017.

The ambition of the partnership is to build strong, locally owned financial institutions that serve small and medium enterprises (SMEs), the rural sector, and clients who have not previously had access to financial services.

Rabobank, FMO and Norfund have each in their individual capacities been successful in the development of the financial sector in Africa. Through Arise, the partners aim to continue to adequately support the growth and advancement of financial institutions by proactively providing among other things, technical assistance and management services in the fields of governance, management, marketing, innovation, compliance and risk management.

To achieve their goal, members of the partnership agreed to pool together their networks, expertise and assets, including the stakes they individually held in several financial institutions in Sub-Saharan Africa (SSA). For Rabobank, this represents its shareholding in a number of financial institutions in SSA including NMB Bank Plc (NMB).

The transfer of Rabobank’s shares in NMB to Arise is subject to regulatory approvals both at shareholder level as well as at the various national levels. Rabobank has lodged its share transfer request at the Ministry of Finance (MOF), the Bank of Tanzania (BOT) and the Capital Markets and Securities Authority (CMSA).

NMB will provide an update of the proceedings upon the receipt of responses from the regulatory bodies.
 
Information not complete, hujui kwanini kaondoka. Hujui hisa zake kamuuzia nani.Hujui kama ni serikali au ni local au foreign investors.
Ila una wasisi na outcome.
Sijui kwanini hakuja na taarifa kamili wakati Rabobank walishapeleka request mapema tu kuhamisha hisa zao kwenda ARISE ambapo Rabobank ni mwanahisa au partner
 
Serikali atabaki kama mkubwa itsaidia nini wakati hana capital to inject?

Shareholder ni injection ya capital sio kushika mashare kama karatasi mzee!

Rabobank ana mtaji wa maana kupita maelezo ndio alikua ana inject serious money in there kuifanya ifanye biashara vizuri

Nikwambie tu,Serikali inataka kumiliki financial sector yote kama hijacking technique ya control

Hakuna kingine ni CONTROL inatafutwa.....baada ya kupata control ya financial sector yote,sector lazima ishuke na kufa,maana private firms zote zitakua hazina stake yeyote kwenye mabenki makubwa

Na serikali haijui lolote about financial business,haijui maana ya commercial banking business....yenyewe imeingia ku-control tu kwa political reasons,not business reasons and making real profits kama biashara

Ndio tabia ya serikali ya kidikteta,kumili njia zote na mifumo yote ya nchi,ili kujipa assurance ya kukandamiza opposing forces and rule indefinitely....basi,hakuna kingine!

Huwa mnakurupuka kujibu bila kufanya utafiti japo kidogo kwa dakika japo 10 tu. Ni kama mleta uzi naye kakurupuka wakati majibu ya anachokiongelea yapo wazi siku nyingi.

Hisa za Rabobank zimeenda ARISE ambapo Rabobank ni partner na hii inafuatia maombi ya Rabobank.
 
Actually hawa Robobank walikuwa head hunted ..walitafutwa na kushawishiwa kuwa
Sehemu ya bank mpya then ..
Robobank Wana historia the best in the world
Kwenye microbanking...

Na waliitoa NMB kutoka bank mpya ya walalahoi Hadi kuwa bank kubwa kuliko zote TZ...

Sasa tunawaletea uswahili wetu wa kuona mavuno na kuingiza tamaa
Wametimiza kazi iliyowaleta, sasa watuache na sisi tukue na tujitegemee. Hii itatusaidia na sisi kuwekeza katika nchi nyingine kama wao!
Msipendelee kubebwa bebwa hata kama mnaweza kukimbia kwa miguu yenu!
 
Ukiangalia na kusoma majibu ya watu wengi humu utatambua uzembe wa walio wengi na ndipo sasa linapokuja suala la nyumbu. Mleta uzi kafanya uzembe wa kutotafuta taarifa za nani kachukua hisa za Rabobank na wachangiaji nao wanajibu toka hewani tu kama hawana akili. Muda usiozidi dakika 10 unatosha kufanya tafiti na kupata majibu ya hili.

Ndio maana watanzania wengi tunaongea sana kwa vile maongezi yetu mengi hayana mashiko ni vitu vya kufikirika tu.

Haiwezekani uhamisho wa hisa umeshafanyika halafu taarifa za zilipopelekwa zikosekane.

Hizi hisa zimeemda ARISE ambako Rabobank ni partner. Soma hapo 👇👇👇

Rabobank has lodged a share transfer request for its stake in NMB Bank Plc


NMB Bank’s largest shareholder, Rabobank of the Netherlands, has partnered with the Dutch Development Bank (FMO) and the Norwegian State owned development fund (Norfund) to form a Sub-Saharan Africa-focused investment company, Arise. The partnership was officially launched in Cape Town, South Africa in February 2017.

The ambition of the partnership is to build strong, locally owned financial institutions that serve small and medium enterprises (SMEs), the rural sector, and clients who have not previously had access to financial services.

Rabobank, FMO and Norfund have each in their individual capacities been successful in the development of the financial sector in Africa. Through Arise, the partners aim to continue to adequately support the growth and advancement of financial institutions by proactively providing among other things, technical assistance and management services in the fields of governance, management, marketing, innovation, compliance and risk management.

To achieve their goal, members of the partnership agreed to pool together their networks, expertise and assets, including the stakes they individually held in several financial institutions in Sub-Saharan Africa (SSA). For Rabobank, this represents its shareholding in a number of financial institutions in SSA including NMB Bank Plc (NMB).

The transfer of Rabobank’s shares in NMB to Arise is subject to regulatory approvals both at shareholder level as well as at the various national levels. Rabobank has lodged its share transfer request at the Ministry of Finance (MOF), the Bank of Tanzania (BOT) and the Capital Markets and Securities Authority (CMSA).

NMB will provide an update of the proceedings upon the receipt of responses from the regulatory bodies
 
Actually hawa Robobank walikuwa head hunted ..walitafutwa na kushawishiwa kuwa
Sehemu ya bank mpya then ..
Robobank Wana historia the best in the world
Kwenye microbanking...

Na waliitoa NMB kutoka bank mpya ya walalahoi Hadi kuwa bank kubwa kuliko zote TZ...

Sasa tunawaletea uswahili wetu wa kuona mavuno na kuingiza tamaa
Head hunted na nani?

Rabobank has lodged a share transfer request for its stake in NMB Bank Plc


NMB Bank’s largest shareholder, Rabobank of the Netherlands, has partnered with the Dutch Development Bank (FMO) and the Norwegian State owned development fund (Norfund) to form a Sub-Saharan Africa-focused investment company, Arise. The partnership was officially launched in Cape Town, South Africa in February 2017.

The ambition of the partnership is to build strong, locally owned financial institutions that serve small and medium enterprises (SMEs), the rural sector, and clients who have not previously had access to financial services.

Rabobank, FMO and Norfund have each in their individual capacities been successful in the development of the financial sector in Africa. Through Arise, the partners aim to continue to adequately support the growth and advancement of financial institutions by proactively providing among other things, technical assistance and management services in the fields of governance, management, marketing, innovation, compliance and risk management.

To achieve their goal, members of the partnership agreed to pool together their networks, expertise and assets, including the stakes they individually held in several financial institutions in Sub-Saharan Africa (SSA). For Rabobank, this represents its shareholding in a number of financial institutions in SSA including NMB Bank Plc (NMB).

The transfer of Rabobank’s shares in NMB to Arise is subject to regulatory approvals both at shareholder level as well as at the various national levels. Rabobank has lodged its share transfer request at the Ministry of Finance (MOF), the Bank of Tanzania (BOT) and the Capital Markets and Securities Authority (CMSA).

NMB will provide an update of the proceedings upon the receipt of responses from the regulatory bodies
 
Back
Top Bottom