macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Du. Hivi mtumishi wa serikali hawezi kutaka mshahara wake upitishwe benki nyingine? eg Kama anaona CRDB au benki nyingine yoyote ndiyo inakidhi viwango vyake na akaamua kufungua account huko ina maana mshahara hauwezi kupitia huko?Hio bank inabebwa na mishahara ya watumishi kupitia kule bila hivyo ingeshafilisika
AnawezaDu. Hivi mtumishi wa serikali hawezi kutaka mshahara wake upitishwe benki nyingine? eg Kama anaona CRDB au benki nyingine yoyote ndiyo inakidhi viwango vyake na akaamua kufungua account huko ina maana mshahara hauwezi kupitia huko?
Sirikali ina watalaamu wa kutosha kuendesha benki yeyote, acha mabeberu waondoke zao au nasema uongo ndugu zangu.pamoja na taarifa kuwa ya hisia tuu bila kuwa na hakika lakini ukweli ni kwamba serikali haiwezi kuendesha bank hii na ikasurvive kabisa uko ni kujidanganya kabisa bali hii bank itakufa.
serikali haiwezi kuendesha hii bank kuna mambo mengi imeshindwa kwa hiyo isipambane kuendesha hii bank itakufa
Mkuu- kwenye mada umesema mwenye hisa mkubwa ameondoka- katika ulimwengu wa mahisiano ya kihisa mbona hujaeleweka na haileti maana yoyote zaidi ya kuleta taharuki isiyo na maana.Ni kwenye trading session ya jana 28.12.2020 Dar es salaam stock exchange, sijajua kama NMB wame buy back au kuna local investor amenunua, au zimebadilisha ownership kwa foreign investor mwenzao (ntazidi kufuatilia)
Ikiwa kama NMB wame buy back au local investor amenunua, ina maana inakuwa moja kwa moja na impact kwenye uchumi wetu, in terms of capital outflow ya Dola takribani $ 183 Million zitaondoka kwenye uchumi wetu kuwalipa Rabobank mchuzi wao.
Ikiwa kama kuna another foreign investor amezinunua, hapo hakuna impact yoyote kwenye uchumi maana hakutakuwa na capital outflow ya Dola. Japokuwa nimeangalia jana kwenye report ya broker, sijaona kama kuna investor wa nje amezinunua (more likely ni buy back ya NMB) ambayo itaipa serikali kuwa shareholder mkubwa.
Kwa angle nyingine pia, naona kama kuna uwezekano wa serikali kuwa shareholder mkubwa wa NMB endapo kama NMB wame buy back which means shareholder mkubwa atakuwa ni Hazina (Treasury Registrar) kitu ambacho mimi nakiona hakina afya hata kidogo ukizingatia historian a performance ya benki zinazomilikiwa na serikali.
View attachment 1662012
View attachment 1662013
Sijajua sababu haswa iliyowafanya kuondoka Tanzania, kuna possibilities nyingi, labda watu wa NMB wanaweza kuwa wanaelewa vema nini kinaendelea. Kama ni decision yao kama wao inawezekana labda wameona outlook ya banking industry kwa Tanzania labda sio nzuri kwa mbeleni ndio maana wameamua kuondoa mtaji wao au sijui kama ni msukumo kutoka serikalini kutaka kui-contro, benki ya NMB which means labda 'Rabobank Kafukuzwa'... nadhani siku chache za mbeleni tutajua nini haswa ndo sababu.
Lakini kwa namna na sababu yoyote, bado hii exit ya Rabobank sio kitu ambacho nakiona kama kina afya kwa NMB kama benki, na pia kinaweza kuwa na impact kwenye FDI kwa Tanzania.
Mjumbe hauawi
N. Mushi
kwa nini benki zetu za ndani hazijaweza kujitanua nje kama benki za kigeni zilvyoweza, benki ya wakenya equity benki imejitanua sana tanzania, lakini cha ajabu kenya hakuna benki ya tanzania iliyoweza kujitanua.Sio wao walioifanya iwe kubwa.
Hii ni benki ya Kitanzania iliyomegwa kutoka NBC mwaka 1997. Tukaiendesha wenyewe mpaka 2005, tukauza nusu ya umiliki. Hapo tukiwa tayari tumetambaa nchi nzima. Rabobank hawakujenga NMB from scratch.
Lakini kama wageni ndio wanaweza sana kuunda mabenki, ni kwa nini benki zao hazijawa kama CRDB na NMB ?
Barclays, Citibank, Bank M, EXIM, KBC, STANBIC, BOA, FNB, DTB,FBME, Bank of India....
Kwa nini hazijakomaa kama zilivyo legacy banks zetu za asili?
HIZI NI DALILI ZA USHOGA HIZI.Zimbabwe is loading.....
Zimbabwe ya Mugabe hiyooo inakuja Tanzania.Ni kwenye trading session ya jana 28.12.2020 Dar es salaam stock exchange, sijajua kama NMB wame buy back au kuna local investor amenunua, au zimebadilisha ownership kwa foreign investor mwenzao (ntazidi kufuatilia)
Ikiwa kama NMB wame buy back au local investor amenunua, ina maana inakuwa moja kwa moja na impact kwenye uchumi wetu, in terms of capital outflow ya Dola takribani $ 183 Million zitaondoka kwenye uchumi wetu kuwalipa Rabobank mchuzi wao.
Ikiwa kama kuna another foreign investor amezinunua, hapo hakuna impact yoyote kwenye uchumi maana hakutakuwa na capital outflow ya Dola. Japokuwa nimeangalia jana kwenye report ya broker, sijaona kama kuna investor wa nje amezinunua (more likely ni buy back ya NMB) ambayo itaipa serikali kuwa shareholder mkubwa.
Kwa angle nyingine pia, naona kama kuna uwezekano wa serikali kuwa shareholder mkubwa wa NMB endapo kama NMB wame buy back which means shareholder mkubwa atakuwa ni Hazina (Treasury Registrar) kitu ambacho mimi nakiona hakina afya hata kidogo ukizingatia historian a performance ya benki zinazomilikiwa na serikali.
View attachment 1662012
View attachment 1662013
Sijajua sababu haswa iliyowafanya kuondoka Tanzania, kuna possibilities nyingi, labda watu wa NMB wanaweza kuwa wanaelewa vema nini kinaendelea. Kama ni decision yao kama wao inawezekana labda wameona outlook ya banking industry kwa Tanzania labda sio nzuri kwa mbeleni ndio maana wameamua kuondoa mtaji wao au sijui kama ni msukumo kutoka serikalini kutaka kui-contro, benki ya NMB which means labda 'Rabobank Kafukuzwa'... nadhani siku chache za mbeleni tutajua nini haswa ndo sababu.
Lakini kwa namna na sababu yoyote, bado hii exit ya Rabobank sio kitu ambacho nakiona kama kina afya kwa NMB kama benki, na pia kinaweza kuwa na impact kwenye FDI kwa Tanzania.
Mjumbe hauawi
N. Mushi
UtekajiDua za malaika mbaya daima hazitatufikia!!!!!
kama ilivyotokea kwa PASAKA, ambapo damu ilipakwa milangoni mwa wana wa Israel, ndivyo ambavyo mapigo yataiepuka TANZANIA
NB: kwa wasiojua maana yake wachukue COVID19 kama funzo kwao!
TANZANIA IMEAMUA KUMTEGEMEA MUNGU APONYAYE!!!
kazi kwenu wawakilishi wa kuiombea na wabashiri mabaya kwa Tanzania
Kama alivyo baba yako mzazi.HIZI NI DALILI ZA USHOGA HIZI.
we need to get more serious linapokuja suala la financial services industry. Hatuwezi kuwa wajinga na kukubali upuuzi wa MATAGA kutaka kila njia ya uchumi imilikiwe na serikali.
Umeandika vizuri sana mkuu. Blessings
Hili ni tatizo la siku nyingi sana.Ndo tatizo nnaloliona linakuja, serikali siku zote nawaona kama wachafuaji wa mabenki.
Watu hawajiulizi TIB ilikufa kwa sababu gani? Nnachokiona hapa serikali walikuwa wanatafuta ushawishi kwenye hizi benki kubwa kama NMB na CRDB ili wawatumie ku finance baadhi ya projects za ndani. Lakini matokeo yake nadhani yatakuwa ni mabovu maana lazima kuwe na mikopo chechefu yakutosha
Nampenda mzungu!Endapo kama ni kweli wameondoka impact tutaiona kwenye quality of decision making.. ambayo itaonekana kwenye ubora wa kitabu cha mikopo na strategy.. Mzungu ni mzungu tu aisee
Kwa hiyo post za tetesi hazitakiwi kujadiliwa JF?hahahahahaha ukifwata post bila kuwa na info utaumia....... fuatilieni arise bv ninani na inamiliki nini
VIVA MAGUFULI
Dogo unasubiri nini? Ingia kwenye website yao. Taarifa ipo humo.Tunasubiri updates za hili jambo.