Shareholder mkubwa wa NMB ameondoka – Rabobank Nederland

Good! Bring the feedback.

Nimecheka kwa nguvu, feedback ya nini tena wakati kila mtu unataka aingie mwenyewe kwenye hiyo website? Mimi nilimuomba yule mdau updates, ww ukasema nangoja nini nisiingie kwenye web yao? Au unajichanganya?
 
Rabobank wamehamisha hisa zao kwenda Arise B.V (Hisa 174,500,000).

Hawa Arise ni ushirika wa uwekezaji ambao wapo Norfund ( mfuko wa maendeleo wa Norway,benki ya maendeleo ya uholanzi pamoja na Rabobank.

Kimsingi Rabobank bado yumo,sema staili aliyoitumia hii nadhani ameona something wrong somewhere..

Ngoja tuichimbe hii taarifa tujue motive behind.
 
Bahati nzuri mimi ni mtu mzima. Nimekuelewa.

Na kwakuwa mimi ni mtu nusu ndio maana nilikujibu nimeshaingia, nilijua 100% lazima uniulize nimeona nini. Na kweli ndio ulichouliza, na jibu lako nilikuwa nalo. Umeuza cheni fake, umelipwa hela fake. Shubamiit.
 
Yalikuwa mafisadi....... Ndio maana yamekimbia, kwani UONGO ndugu zangu?
 
Wewe ni kilaza sawa na vilaza wengine. Dodd Frank haikuja kutokana na Global Financial Crisis ya 2008. Hebu annika vizuri mpaka mwaka wa hiyo Act. Usitudanganye.

Ni sahihi Dodd Frank ilikuja kwasababu ya finacial Crisis ya 2008-- TOO BIG TO FAIL!!
 
"Dunia ya leo tunategemeana mno. Ndio maana hamna nchi iliyoendelea kwa kutegemea wawekezaji wa ndani pekee."

Kwa hiyo zamani wakati nchi hazitegemeani hakuna nchi ilyoendelea?
 
Ahsante kwa Taarifa
 
Kwani wapi nimeandika serikali isisimamie benki?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Unaelewa tofauti ya serikali kusimamia benki na serikali kuingilia kisiasa benki?
Pumba!
 
An economy dictated by a Ukase must nosedive!
 

Mimi nikiwa mfanyakazi wa NBC enzi hizo nilikuwa shahidi kabisa wa vitendo vya chama tawala kuifilisi benki ya biashara ya Taifa yaani NBC!!

Ilikuwa Hivi; ccm walivyotaka kuchukua fecha toka NBC walishinikiza serikali kumteua mweka hazina wao enzi hizo Marehemu Paul Bomani kuwa mwenyekiti wa bodi wa benki. Sukita ambalo ndio lilikuwa shirika la schumi la chama tawala ,walileta maombi ya mkopo wa mabilioni ya shilingi kutekeleza miradi yao ya kufuga nguruwe kule bonde la Msimbazi. Katika majadiliano ya wajumbe kuhusu maombi yale ;mjumbe mmoja msomi aliuliza kuhusu dhamana iliyokuwa inawekwa kuhusiana na ule mkopo ambayo, haikuwepo!! Mjumbe msomi hakuafiki kutolewa kwa ule mkopo na kilichotokea baada ya yule mjumbe kupinga ni kuondolewa kama Mjumbe wa bodi ya NBC , baada ya hapo mkopo ukaidhinishwa!!!! Hivyo ndivyo wanavyotaka control ya benki ili wachote mapesa watakavyo.
 
Nashukuru ume corroborate mfano wangu.

Inaoneana haya mambo yamefanyika sana, na bado yanafanyika mpaka sasa.

Ila yanayofanyika sasa kuja kuyasikia vizuri itakuwa baadaye sana kama sasa hivi tunavyoongelea ya kina Bomani na Kawawa.
 
"Dunia ya leo tunategemeana mno. Ndio maana hamna nchi iliyoendelea kwa kutegemea wawekezaji wa ndani pekee."

Kwa hiyo zamani wakati nchi hazitegemeani hakuna nchi ilyoendelea?
Tatizo lako bado Una mawazo ya kijima ya mwaka 80, hauwezi kunielewa.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Anataka kuleta ujamaa kwenye ulimwengu wa Sasa wa economic integration huwezi endelea bila kuliwa
Integration my foot.

UK imejitoa kwenye ma integration hasara ya EU.

Kujiondoa hao wageni kutoka kwenye umiliki wa the biggest banking conglomerate is welcome news.
 
Ifike mahali tuwe wakweli, hali inazidi kuwa mbaya Sana mtaani.

Vitu vinapanda bei vibaya mno.

Mo poa 9,000-9,500
Mo extra 5,000-5,500
B 29 25,000-27,000
Mafuta ya kula 18 lts 56,000-74,000
Ngano 29000- 30,000
Kreti la soda 9,800 - 10,000

Hiyo Ni kwa mjibu wa eneo nilipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…