pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Ninakubaliana na wewe.Huwezi kufanya regulation kwenye eneo ambalo wewe mwenyewe siyo mshiriki, haya mambo yameifanya serikali ipigwe kwenye kila sehemu na watu wanaoitwa wafanyabiashara na wawekezaji. Serikali inaweza ikawa na kampuni zake kwenye kila sekta na bado ikawa na wawekezaji binafsi kwenye maeneo hayo hayo.
tena kwa speed ya ajabu sanaZimbabwe is loading.....
Tuwe kama ulaya??😂😂😂😂😂😂😂Ngoja nifuatilie vizur hizi hisa zimeenda wapi.. ikiwa serikali ndo atabaki kama mkubwa pale.. lazime tuwe kama ulaya aisee
2016.........Nadhani jibu ni hili hapa.
Unasemaje mkuu Nantoombe.
Huyo sio msukuma bwana, wasukuma waga wana akili na wanapenda sana kushauriwa.Sometimes, kuna kikundi cha wafanya bishara Duniani wanataka kumkomoa Rais wa TZ, kwa sera zake, Maksudi kabaisa, Msukuma wa watu haju kinachoendelea Mabenkini humo~!!
Hizo ni ni shares za mwaka 2019 usilishe watu matango pori mwaka huu ni 20202Ni kwenye trading session ya jana 28.12.2020 Dar es salaam stock exchange, sijajua kama NMB wame buy back au kuna local investor amenunua, au zimebadilisha ownership kwa foreign investor mwenzao (ntazidi kufuatilia)
Ikiwa kama NMB wame buy back au local investor amenunua, ina maana inakuwa moja kwa moja na impact kwenye uchumi wetu, in terms of capital outflow ya Dola takribani $ 183 Million zitaondoka kwenye uchumi wetu kuwalipa Rabobank mchuzi wao.
Ikiwa kama kuna another foreign investor amezinunua, hapo hakuna impact yoyote kwenye uchumi maana hakutakuwa na capital outflow ya Dola. Japokuwa nimeangalia jana kwenye report ya broker, sijaona kama kuna investor wa nje amezinunua (more likely ni buy back ya NMB) ambayo itaipa serikali kuwa shareholder mkubwa.
Kwa angle nyingine pia, naona kama kuna uwezekano wa serikali kuwa shareholder mkubwa wa NMB endapo kama NMB wame buy back which means shareholder mkubwa atakuwa ni Hazina (Treasury Registrar) kitu ambacho mimi nakiona hakina afya hata kidogo ukizingatia historian a performance ya benki zinazomilikiwa na serikali.
View attachment 1662012
View attachment 1662013
Sijajua sababu haswa iliyowafanya kuondoka Tanzania, kuna possibilities nyingi, labda watu wa NMB wanaweza kuwa wanaelewa vema nini kinaendelea. Kama ni decision yao kama wao inawezekana labda wameona outlook ya banking industry kwa Tanzania labda sio nzuri kwa mbeleni ndio maana wameamua kuondoa mtaji wao au sijui kama ni msukumo kutoka serikalini kutaka kui-contro, benki ya NMB which means labda 'Rabobank Kafukuzwa'... nadhani siku chache za mbeleni tutajua nini haswa ndo sababu.
Lakini kwa namna na sababu yoyote, bado hii exit ya Rabobank sio kitu ambacho nakiona kama kina afya kwa NMB kama benki, na pia kinaweza kuwa na impact kwenye FDI kwa Tanzania.
Mjumbe hauawi
N. Mushi
Kusoma ni jambo lingine na kuelewa ni jambo lingine walimu walikuwa na kazi sana shuleniNi vyema kufanya uchunguzi wa kina na kujiridhisha kabla ya kutoa taarifa kama hii ili usiwe sehemu ya upotoshaji.
Mwaka 20202???? Hahahhaha wakorintoHizo ni ni shares za mwaka 2019 usilishe watu matango pori mwaka huu ni 20202
Kama ni kweli ni jukumu la BOT kutoa ufafanuzi kabla ya kuzagaa zaidi hiz taarifa. Impact kubwa ni kuwa wateja wakubwa wanaweza kuamisha dhamana zao ghafla na kuathiri afya ya benki. Kama shareholder mkubwa chakua hela zake ilo si jambo dogo, inafikilisha sana.Ni kwenye trading session ya jana 28.12.2020 Dar es salaam stock exchange, sijajua kama NMB wame buy back au kuna local investor amenunua, au zimebadilisha ownership kwa foreign investor mwenzao (ntazidi kufuatilia)
Ikiwa kama NMB wame buy back au local investor amenunua, ina maana inakuwa moja kwa moja na impact kwenye uchumi wetu, in terms of capital outflow ya Dola takribani $ 183 Million zitaondoka kwenye uchumi wetu kuwalipa Rabobank mchuzi wao.
Ikiwa kama kuna another foreign investor amezinunua, hapo hakuna impact yoyote kwenye uchumi maana hakutakuwa na capital outflow ya Dola. Japokuwa nimeangalia jana kwenye report ya broker, sijaona kama kuna investor wa nje amezinunua (more likely ni buy back ya NMB) ambayo itaipa serikali kuwa shareholder mkubwa.
Kwa angle nyingine pia, naona kama kuna uwezekano wa serikali kuwa shareholder mkubwa wa NMB endapo kama NMB wame buy back which means shareholder mkubwa atakuwa ni Hazina (Treasury Registrar) kitu ambacho mimi nakiona hakina afya hata kidogo ukizingatia historian a performance ya benki zinazomilikiwa na serikali.
View attachment 1662012
View attachment 1662013
Sijajua sababu haswa iliyowafanya kuondoka Tanzania, kuna possibilities nyingi, labda watu wa NMB wanaweza kuwa wanaelewa vema nini kinaendelea. Kama ni decision yao kama wao inawezekana labda wameona outlook ya banking industry kwa Tanzania labda sio nzuri kwa mbeleni ndio maana wameamua kuondoa mtaji wao au sijui kama ni msukumo kutoka serikalini kutaka kui-contro, benki ya NMB which means labda 'Rabobank Kafukuzwa'... nadhani siku chache za mbeleni tutajua nini haswa ndo sababu.
Lakini kwa namna na sababu yoyote, bado hii exit ya Rabobank sio kitu ambacho nakiona kama kina afya kwa NMB kama benki, na pia kinaweza kuwa na impact kwenye FDI kwa Tanzania.
Mjumbe hauawi
N. Mushi
Post nzur sana kuna baadhi ya mashirika hayafai kuachiwa na serikali hivi kama necta serikali ikijitoa inakuwaje? Lazima mkono wa serikali uwepoNinakubaliana na wewe.
Huyo uliyemjibu hapo katoa wazo la "kukariri".
Amesikia watu fulani wakisema hivyo, na yeye bila kulidadavua vizuri kichwani mwake aelewe ukweli wake, kalibeba tu na kulitupa hapa JF na yeye aonekane ni mjuaji wa mambo hayo.
Mashirika makubwa yanayofanya biashara kubwa, hasa hii ya ujenzi wa miundo mbinu toka China, karibu yote ni mali ya serikali ya China.
Ukisoma humu ndani ya JF kuna mijadala chungu nzima serikali ijiondoe kwenye uendeshaji wa mashirika kama TANESCO, wanataka makampuni binafsi ndiyo yawe washiriki wakuu wa kuzalisha na kutugawia umeme. Hawataki Tanesco iboreshwe, na hata kama pakiwepo ushindani iweze kushindana na kushinda.
Kuna vitu ambavyo serikali haiwezi kamwe kujitoa na kuwasukumia kila kitu hao 'binafsi' hata huko kwenye ubepari kwenyewe. Lakini hapa ukisikia mtu aliyekariri akirudia rudia hicho alichokaririshwa utadhani hakuna dhambi kubwa kuliko serikali kuwa na vyombo vyake vya kuhakikisha baadhi ya sekta haziachwi kuwa kwa mashirika binafsi.
Jambo muhimu hapa ni kuhakikisha watumishi wake inaowaweka kwenye mashirika hayo, wanayasimamia kibiashara na kuyafanya yatimize wajibu wao kwa wananchi.
Walicho fanya hawa Rabo bank ni kupunguza share za umiliki kutoka 35% mpaka 25% kwa kuanzishwa kampuni mpya iitwayo Arise ambayo itakuwa sasa ina stake katika benki ya mozambique ambayo wameona ni emerging market pamoja na benki nyingine nchini Ghana. Na kampuni hiyo sasa kuongozwa na ceo mpya aitwaye Deepak Malik. Ni moja ya strategy za kampuni ku-diversify portfolio ili kupunguza risk at the same time taking advantage of new emerging markets. Hii transfer haina effect yoyote katika inflow/outflow of cash. Please refer to Mergers and acquisitions, P4, P7 ACCA course)
Mmm! hii kali!! kama ni hivo basi atakuwa mnyalenge! manake sisi wote humu tnajijua!!Huyo sio msukuma bwana, wasukuma waga wana akili na wanapenda sana kushauriwa.
Magufuli anaficha sana kabila lake mpaka anajificha kwa wasukuma huku hata kisukuma chake ni kibovu, sijui yeye ni lugha gani anayoiongea kwa ufasaha. I just don't know.!!
Kazi ipo.Serikali atabaki kama mkubwa itsaidia nini wakati hana capital to inject?
Shareholder ni injection ya capital sio kushika mashare kama karatasi mzee!
Rabobank ana mtaji wa maana kupita maelezo ndio alikua ana inject serious money in there kuifanya ifanye biashara vizuri
Nikwambie tu,Serikali inataka kumiliki financial sector yote kama hijacking technique ya control
Hakuna kingine ni CONTROL inatafutwa.....baada ya kupata control ya financial sector yote,sector lazima ishuke na kufa,maana private firms zote zitakua hazina stake yeyote kwenye mabenki makubwa
Na serikali haijui lolote about financial business,haijui maana ya commercial banking business....yenyewe imeingia ku-control tu kwa political reasons,not business reasons and making real profits kama biashara
Ndio tabia ya serikali ya kidikteta,kumili njia zote na mifumo yote ya nchi,ili kujipa assurance ya kukandamiza opposing forces and rule indefinitely....basi,hakuna kingine!
Board of directors bado serikali ina uhuru wa kuteua wakurugenzi ila ceo ambaye ndio mtendaji mkuu wa NMB bado atakuwa mtu kutoka nje...Kwa maana hiyo serikali si ndo atakuwa main shareholder? Nataka kujua hilo kwanza halafu tuendelee
Nilivyoonaga yule mama mzungu CEO ameondoka nilijuwa tu tayari uswahili umeshaingia.Actually hawa Robobank walikuwa head hunted ..walitafutwa na kushawishiwa kuwa
Sehemu ya bank mpya then ..
Robobank Wana historia the best in the world
Kwenye microbanking...
Na waliitoa NMB kutoka bank mpya ya walalahoi Hadi kuwa bank kubwa kuliko zote TZ...
Sasa tunawaletea uswahili wetu wa kuona mavuno na kuingiza tamaa
Kwa maana hiyo serikali si ndo atakuwa main shareholder? Nataka kujua hilo kwanza halafu tuendelee
Uswalinganishe Rais Mstaafu Mwinyi na Kikwette na vitu vya hivyo hovyo!! Wale walikuwa wanapenda kila Mtanzania wawe na maisha mazuri, walikuwa hawaui wananchi wao na walikuwa hawawafilisi matajiriNarudia tena sijakosea, hakuna full Democratic country in the World, Mwanadamu ni Mtata sana hasa Mwafrica hajulikani anataka nini? Mwinyi, Kikwete walikuwa extra demokratic figure! hamkuridhika, sasa huyu bado mnamsema mnataka nini???
Hata siku Mungu akija mtampinga tu!! binadamu alimpinga hata Musa wakijiulIza uhalali wake wa kuwaongoza wao kwenda nchi ya ahadi, wakamtaka Mungu mwenyewe ashuke kw nini Musa bana tumechoka sisi!!
walichokiona walimlilia Musa tena kwa mara ya pili kwa nguvu zooote!!!