Sharjah safari park, mbuga ya wanyama iliyotengenezwa UAE kudumaza utalii wa Tanzania

Sharjah safari park, mbuga ya wanyama iliyotengenezwa UAE kudumaza utalii wa Tanzania

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Waarabu wanaua mbuga zetu kwa kasi sasa hivi mtu akiwa zake mapumziko Dubai hana haja ya kuja Tz anaenda zake Sharjah safari park anaona wanyama wote waliopo hapa

Pia jamaa wameamua pia majina ya Tanzania kuyahamishia huko mfano
Kuna Serengeti kuna Ngorongoro

Kuna mji umejengwa kama Zanzibar na umeitwa hivo magari ya watalii pia yamejazana huko hatma yetu kama taifa sijui ipo wapi upande wa utalii

Wamejenga mpaka yale madaraja ya kamba kama ya lake Manyara.
2BF4EBDB-7C8C-488B-AB31-DF5117CAF518.jpeg
DA419812-B128-4194-99C1-AFA8F61928D9.jpeg
CFCA9092-4B2D-46A7-9641-626FDEA2807C.jpeg
84DCF3B9-7E46-4C76-BBDA-7C5A6B7265D3.jpeg
BDC54F36-7FBD-493D-9F10-FA27BEF9CED8.jpeg
2679CFFA-2717-4F53-81FA-876633DC8C70.jpeg
E666AA4B-9ED4-4467-9FCE-D48B5C9A2B12.jpeg
 
Kuna bustani za wanyama ( zoo) nyingi duniani tena kubwa ikiwemo Disney nazo zinatumia majina ya Mbuga za Wanyama Afrika ukiwemo hilo la Serengeti lakini hazijawahi kuathiri utalii wetu. Zaidi ni advantage kwetu kwa kutangaza vivutio vyetu.

Kuna watu wanaopenda kuona Wanyama katika mazingira halisi sio hayo ya kufungiwa.
 
Kuna bustani za wanyama ( zoo) nyingi duniani tena kubwa ikiwemo Disney nazo zinatumia majina ya Mbuga za Wanyama Afrika ukiwemo hilo la Serengeti lakini hazijawahi kuathiri utalii wetu. Zaidi ni advantage kwetu kwa kutangaza vivutio vyetu.

Kuna watu wanaopenda kuona Wanyama katika mazingira halisi sio hayo ya kufungiwa.
Ndiyo wapewe wanyama wetu bure?
 
Waarabu wanaua mbuga zetu kwa kasi sasahivi mtu akiwa zake mapumziko dubai hana haja ya kuja Tz anaenda zake sharjah safari park anaona wanyama wote waliopo hapa

Pia jamaa wameamua pia majina ya Tanzania kuyahamishia huko mfano
Kuna serengeti kuna ngorongoro
Kuna mji umejengwa kama zanzibar na umeitwa hivo magari ya watalii pia yamejazana huko hatma yetu kama taifa sijui ipo wapi upande wa utalii
Wamejenga mpka yale madaraja ya kamba kama ya lake manyaraView attachment 2462127
Pamoja na yote,wataiga lakini hawataweza, Mungu si mjinga kama wao, hata waige vipi mbuga zetu zitabaki kuwa juu, fisi anafurahi zaidi kula mizoga akiwa kwenye mbuga zetu za asili kuliko hizo za kutengeneza, na watalii watazidi kuja tu huku bongo. wawahamishe basi na wahazadbe na wamasai
 
Waarabu wanaua mbuga zetu kwa kasi sasahivi mtu akiwa zake mapumziko dubai hana haja ya kuja Tz anaenda zake sharjah safari park anaona wanyama wote waliopo hapa

Pia jamaa wameamua pia majina ya Tanzania kuyahamishia huko mfano
Kuna serengeti kuna ngorongoro
Kuna mji umejengwa kama zanzibar na umeitwa hivo magari ya watalii pia yamejazana huko hatma yetu kama taifa sijui ipo wapi upande wa utalii
Wamejenga mpka yale madaraja ya kamba kama ya lake manyaraView attachment 2462127
Hawa wanagusa kila sehem, sijui ile Project ya World Island iliishia wapi.
 
Back
Top Bottom