Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,736
I love you too hun.
miss neddy, katika wooooote umeona ufikie hapa kutoa mijicho yako? Thats my Baba Paroko. Stay away.:wave:
I love you too hun.
miss neddy, katika wooooote umeona ufikie hapa kutoa mijicho yako? Thats my Baba Paroko. Stay away.:wave:
hahahaha paroko sio wako peke yako bhana
He he he, kwenye cheating management, ukipiga kibuti unadisco.
Mzima mamii, miss u a lot.
Pole sana ndugu yangu uran hakika umejitoa na umesimama mbele ya halaiki kuonyesha how much you need her in your life! Hakika wana JF wamemuomba ya kutosha lakini inaelekea Ana mipango yako, nakushauri mpe uhuru aendelee na maisha yake, Nina hakika soon atakutafuta baada ya kuumizwa trust me! Hakika amekuumiza kwa Kuwa una true love kwake na hataki kuelewa. Pole sana brother lakini maisha lazima yaendelee.
asante mkuu, niliamua kufanya hivi baada ya kutoeleweka kabisa huko underground, na mizinguo kibao.
mara ya kwanza mi nilijua nazinguliwa tu..nilivyoanza kulichukulia serious ndiyo nikajua moreen kaamua kukaza.
by the way.
jana ndiyo ilikuwa last time ya kufanya maamuzi.
nshaamua sasa. yeye na maisha yake na mimi kivyangu.
even though simwombei mabaya hata kidogo..
Kuna mwingine anataka maombi?
Safi sana huo ndio uamuzi wa kiume kwani dunia ni Duaraasante mkuu, niliamua kufanya hivi baada ya kutoeleweka kabisa huko underground, na mizinguo kibao.
mara ya kwanza mi nilijua nazinguliwa tu..nilivyoanza kulichukulia serious ndiyo nikajua moreen kaamua kukaza.
by the way.
jana ndiyo ilikuwa last time ya kufanya maamuzi. nshaamua sasa. yeye na maisha yake na mimi kivyangu.
even though simwombei mabaya hata kidogo..
Hahaha hakuna
Haswaaaaa!!!!!!!!!!
asante mkuu, niliamua kufanya hivi baada ya kutoeleweka kabisa huko underground, na mizinguo kibao.
mara ya kwanza mi nilijua nazinguliwa tu..nilivyoanza kulichukulia serious ndiyo nikajua moreen kaamua kukaza.
by the way.
jana ndiyo ilikuwa last time ya kufanya maamuzi.
nshaamua sasa. yeye na maisha yake na mimi kivyangu.
even though simwombei mabaya hata kidogo..