She is here now, I need her back


Mkuu kwa maelezo ya uran toka usiku nilishaona apa hapaliki wala kukalika..so uran move ahead..tafuta pesa baas utampata wa kwako..huyo was not meant to do...chumvi ikishaharibika hutiwa nini hadi ikolee?
Cc Kaunga
 
Last edited by a moderator:
uran asikuzungue huyo baby moureen achana naye piga bunda kanajishaua tu hapa.
Videmu vingine vikijua vinapendwa shida.
Usiwasiliane msahau am telling you atakuja kukutafuta mwenyewe na wewe kipindi hicho unamuona nyaa

Haaaaa we amu taratibu bana..mbona ivo?
 
Last edited by a moderator:
Hapa hakupendi jamaa kwanza hana respect unampendea nini huyu.....? It's your choice uachane nae uwe huru au endelea nae akukomeshe mwisho wa siku utaelewa tu hata mimi nlitokewa na kitu kama hii lakini saizi let it go.

Hahaaaa duuh
 
u nailed it bro kati ya watu wote waliochangia hapa wewe umeongea kitu cha maana sana sijui kama moreen atakuelewa

Yea ni kwelii broo nimesoma comment zoote nyuma ni helpful lakin hii ya jamaa imetulia sana kazi kwake moreen baby

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
uran asikuzungue huyo baby moureen achana naye piga bunda kanajishaua tu hapa.
Videmu vingine vikijua vinapendwa shida.
Usiwasiliane msahau am telling you atakuja kukutafuta mwenyewe na wewe kipindi hicho unamuona nyaa

strongly, nataa niwe na uhakika na hisia zake kwa kweli.
 
Last edited by a moderator:
Mmmh mapenzi haya !! moreen beby msamehe mwenzio hakuna aliye mkamilifu !!
 
Last edited by a moderator:

Hii misimamo ya hivi inakujaga kuleta shida baadaye.Na haichukuagi Muda .
 
We nawe do u ll

amu makosa huwa yanatokea, na kama moreen angekuwa mkweli na aeleze hisia zake za kweli
ingenifanya hata mimi nibadilike kirahisi.
inshort she is a good pretender,

aliwahi hadi kunitagg baadhi ya picha akiniambia huo wa kwenye picha ndiyo mchumba wake.
kuona mimi nitafanyaje, kumbe haikuwa kweli.
ni kama bado anapima nguvu zangu juu yake.
na ndiyo namwambia hapa, maisha ya maigizo kunirusha roho si mazuri
 
Last edited by a moderator:
HAHAHAHA NEVER HAPEN BRO SIWEZI KUWA NA URANI NATAKA TU NIJUE BASI ILA KURUDIANA NAE HILO HALIPOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!:closed_2:

aiseeeeeeeee wewe jamani humuonei huruma mwenzio hata kidogo na kicheko unaangua kweliiiii
i feel sorry for you uran
 
Last edited by a moderator:
We nawe do u love me do u love me ushaambiwa mapenzi ulaya africa biashara.
Embu mwombe msamaha na kivitz au samsung note 8 kama hujasamehewa.
Kijana jiongeze

hili nalo neno atii
cc uran
 
Last edited by a moderator:

hii sababu ya kuwa una mtu hujaianza leo hata
kidogo.
kuwa muwazi zaidi.
let finish this

ninaye mtu na nna malengo nae we unadhani toka nipo chuo mpka sasa nina kikazi cha kujishikiza nicwe na mtu kwelii mmh haya amin unavyoamini bt ninaye mtu

HAHAHAHA NEVER HAPEN BRO SIWEZI KUWA NA URANI NATAKA TU NIJUE BASI ILA KURUDIANA NAE HILO HALIPOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!:closed_2:

mwambien bhana kweli nitamsumbua

do u love me?
uran,,nilishatoa ushauri wangu hapo.Lakini sasa natamani kuwauliza umri wenu!! uran umeishajieleza vya kutosha,na kwa kweli unahitaji pongezi mwanaume kufunguka namna hiyo!Ila sasa moreen baby wako huyo,angekuwa na mapenzi ya dhati wala msingefika hapa,,fanya maamuzi magumu,anza maisha mengine!Hata mkioana Atakusumbua sana huyo,amekuuliza kaenda chuo then kazi miaka yote ulidhani hasiwe na mtu??Mmg'ang'anie uone,hata ndani ya ndoa atakuwa anakwambia si unajua nilikwambia nilikuwa na mtu!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…