Oh my dear. Samahani lakini nikwambie ukweli unakera. Sijui una umri gani, you sounds insecure and need a lot of love. Kwa kweli kwa hili hata
Kaunga hawezi kukushauri ufanye maombi na meditation.
Seriously, huwezi kumtaka mwanamke akutamkie kuwa anakupenda au hakupendi. Kama kweli mwanamke anakupenda lazima atakuambia bila ya wewe kumlazimisha. Kama hakupendi siyo lazima akuambie hakupendi kwa sababu lazima utajua tuu from her actions towards.
After all, she is not the only woman on earth. Stop being clingy. Clingy is very irritating. Let it go. Move on with your own life. You have got your own life, so focus on your life. Your child should be the most treasury person on earth na siyo mwanamke uliyekutana nae enzi mkiwa shuleni.
Tafuta thread ya
Husninyo ya
watu wasiobabanishwa na mahusiano soma baadhi ya mchango ya watu. May be you will learn something. Unaonekana kama hauko confident in yourself. Kama
Kama uko confident in yourself, usingekuwa obsessive na @moreen baby.
Hata
Kongosho atakuambia kuwa "
Mtu anayejiamini anavutia zaidi kuliko fuata upepo." The fact kuwa unampenda mtu does not necessarily mean that she must live with you. You can still survive bila kuwa nae. Yes, you can. Tena utakuwa huru zaidi na independent. P
ursue your own interests. Take care of your kid. Take him/her to places.
Instead of chasing moreen baby let her come to you if she wants. If she doesn't want to then don't force her. Usimbane shingo. Give her some breathing space please!
And respect her as a person and what she says. Hapo lazima atakuheshimu na wewe.
I hope atakuwa amekusoma na kukuelewa. Tena akiendelea kukusumbua kwa njia yoyote ile, that can be regarded as harassment na unaweza kumripoti kwenye mamlaka husika ili wamshughulikie.
I like it when you said you can still be good friends. It is a good sign kuwa huna ubaya wowote nae. Anatakiwa aelewe hili and take it it on his chin and move one.
Baada ya hapo ndugu mtangazaji naomba kutuma salamu zangu za dhati kupitia redio yako kwa
snowhite,
Kongosho, bila kuwasahau
ladyfurahia,
Kaunga na
miss chagga popote pale walipo.