Shehe: Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?

Shehe: Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?

Sisi watanzania tuangalie uwekezaji unatunufaisha. Hilo ndilo jambo la msingi.

Haijalishi anakuja Mbrazili, Mwarabu, Mwafrika toka Nigeria au beberu toka Ulaya/Marekani.

Tatizo nchi hii vilaza wengi na kila mtu anawaza kuiba tu.

Kuanzia raia wanachagua viongozi hadi viongozi ni wizi na mbaya zaidi hakuna la maana sana wanafanya pesa hizi za wizi. Watajenga majumba mwisho wasiku hakuna atakayeishi, angalia project nyingi zinakufa miaka michache.

Kingine watatumia hizo pesa kutombea malaya na wanafunzi wa chuo na kuwaambukiza maradhi lakini pia wanawafanya hawa wanawake wawe na kiburi kwasababu wanapata pesa za bure kwahiyo hakuna chochote cha maana zaidi yakutengeneza kizazi cha wajinga.

Kulaumu wageni sijui waarabu au mabeberu ni kupoteza muda.

Hii Tanzania imeshaoza siku nyingi. Kutibu kansa nikukata mguu tu hakuna namna.
 
Mimi sijui content za umilikiswaji wa hiyo bandari,mleta hoja panua viboma vya hesabu tuweze kuchangia.
 
Sisi watanzania tuangalie uwekezaji unatunufaisha. Hilo ndilo jambo la msingi.

Haijalishi anakuja Mbrazili, Mwarabu, Mwafrika toka Nigeria au beberu toka Ulaya/Marekani.

Tatizo nchi hii vilaza wengi na kila mtu anawaza kuiba tu.

Kuanzia raia wanachagua viongozi hadi viongozi ni wizi na mbaya zaidi hakuna la maana sana wanafanya pesa hizi za wizi. Watajenga majumba mwisho wasiku hakuna atakayeishi, angalia project nyingi zinakufa miaka michache.

Kingine watatumia hizo pesa kutombea malaya na wanafunzi wa chuo na kuwaambukiza maradhi lakini pia wanawafanya hawa wanawake wawe na kiburi kwasababu wanapata pesa za bure kwahiyo hakuna chochote cha maana zaidi yakutengeneza kizazi cha wajinga.

Kulaumu wageni sijui waarabu au mabeberu ni kupoteza muda.

Hii Tanzania imeshaoza siku nyingi. Kutibu kansa nikukata mguu tu hakuna namna.
Wewe ndio unaweza ni moja ya vilaza kuamini muarabu ataleta manufaa kwa watanzania kwa mkataba ule wa IGA
 
Wewe ndio unaweza ni moja ya vilaza kuamini muarabu ataleta manufaa kwa watanzania kwa mkataba ule wa IGA
Soma na uelewe.

Nimesema sisi watanzania tuangalie tunanufaika. Hilo ndiyo jambo la msingi.

Kama shida ni mkataba basi vilaza namba moja ni watanzania na viongozi walio wachagua.

Unanielewa lakini wewe juha unayejiita Gulio?

Obviously, wewe akili imeyumba.

Bisha nikuwekee ushahidi.

Shenzi kabisa.
 
Hawa watu unaowaita "Waemirati' actually ni "Waomani",kwa sababu until recently walikuwa ni sehemu ya Federation of Oman.
Kwa hiyo ni watu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga zamani kama alivyosema yule Sheikh wiki iliyopita.
Na huyu hayati Karume ndio mgomvi wao aliyewanyang'anya utawala wao,kwa hiyo wamekuja siku ya kifo chake.
Kwa hiyo mambo niliyoandika yanaweza kuleta taharuki? I hope so!
Uongozi tulionao ni mbovu sana tuwe makini na mama wa teuzi na tanguzi.
 
Back
Top Bottom