Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Naona shehe mkuu wa mkoa wa Mtwara ameenda kwenye tamasha la Muziki Mnene lililo waleta wasanii wa muziki wa kizazi kipya mkoani Mtwara.
Hongera ndugu zangu waislamu kwa kukubali kushiriki kwenye tamasha hili la Muziki wa Bongo fleva na Singeli.
Pia niwapongeze waumini wenu kama Naseeb Abdul (Diamond), Ali Kiba, Dula Makabila, Konde Boy, Zuchu, Mwana FA, MWIJAKU, Babu Tale na wengine wengi kwa kuendeleza gemu.
Hongera ndugu zangu waislamu kwa kukubali kushiriki kwenye tamasha hili la Muziki wa Bongo fleva na Singeli.
Pia niwapongeze waumini wenu kama Naseeb Abdul (Diamond), Ali Kiba, Dula Makabila, Konde Boy, Zuchu, Mwana FA, MWIJAKU, Babu Tale na wengine wengi kwa kuendeleza gemu.
Aliyekaa kulia kabisa