Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
- Thread starter
- #21
Mwache shehe wa watu hana makuu.Kuna pia wale Shura ya Maimam! Sijui kama na yenyewe wanaunga mkono huu usheitwaan!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwache shehe wa watu hana makuu.Kuna pia wale Shura ya Maimam! Sijui kama na yenyewe wanaunga mkono huu usheitwaan!!
Hakuna vitaHii maada natabiri itakuwa Vita kubwa humu ndani wajahidina vs mtoa maada
By the way me waislam me nawapenda Sana Sana hata mke WANGU NI mslam na nimemwambia asibadili dinii isipokuwa wanangu watanifuata baba Yao Martin Luther
Ni sawa shehe kwahiyo nyama ya nguruwe ikichanganya na ya ng'ombe ni ruksa kula?Sio tamasha la music tu pia limeenda sambamba na kutoa Elimu ya afya.
Naona shehe mkuu wa mkoa wa Mtwara ameenda kwenye tamasha la Muziki Mnene lililo waleta wasanii wa muziki wa kizazi kipya mkoani Mtwara.
Hongera ndugu zangu waislamu kwa kukubali kushiriki kwenye tamasha hili la Muziki wa Bongo fleva na Singeli.
Pia niwapongeze waumini wenu kama Naseeb Abdul (Diamond), Ali Kiba, Dula Makabila, Konde Boy, Zuchu, Mwana FA, MWIJAKU, Babu Tale na wengine wengi kwa kuendelea gemu.
View attachment 2301164
View attachment 2301165
Aliyekaa kulia kabisaView attachment 2301171
View attachment 2301169
Na anayepokea msaada kutoka kwao naye vipi?Asikilizaye,atengrnezaye na muimbaji wa muziki,wote unasemekana hawayaiona pepo.Nadhani waislam wameambiwa hivyo.
Ni ruksa hakuna shida kabisa. Karibu kitimoto na makangeNi sawa shehe kwahiyo nyama ya nguruwe ikichanganya na ya ng'ombe ni ruksa kula?
😂😂😂Ni ruksa hakuna shida kabisa. Karibu kitimoto na makange
Acha matusi we kunguniLabda Useme tu unachotaka KUMAanisha.. hii si haki kudhihaki viongozi wa dini au Imani za watu.. una mambo yakisenge sana
Hakuna anayejua Sheikh anayoyapitia katika ndoa zake....wacha akamwagilie Moyo wake MwaisaNchi hii ndicho kilichobakia
Watu kwenda kwenye matamasha
Tu...kila leo matamasha tu
Sijui mara msanii huyu mara yule
Nendeni tu lakini mkapoteze mawazo
Ova
C anachagua ya ng'ombe anaacha ya nguruweNi sawa shehe kwahiyo nyama ya nguruwe ikichanganya na ya ng'ombe ni ruksa kula?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji102]Ila Kuna Watu wachokozi sana sana aiseeeee, muache Sheikh nae ana moyo
Tulia we FalaAcha matusi we kunguni
Mwache Sheikh wetu aumwagilie moyo wake