Shehe Ponda: Kwanini Spika anaendesha Vikao vya Bunge Siku ya Ijumaa? Au ni kiburi?!

Shehe Ponda: Kwanini Spika anaendesha Vikao vya Bunge Siku ya Ijumaa? Au ni kiburi?!

Hivi huyu sheikh ana wajukuu kweli? Mana anaonekana kuwa anapenda kweli kuponda. Iko siku ataema mbona mwezi wa Ramadan biashara zote za chakula hazijafungwa ? .
 
Shehe Ponda amehoji kupitia ukurasa wake wa Twitter kwanini Ijumaa isiheshimiwe kwa bunge kama ilivyo Jumamosi na Jumapili?

Ponda anasema Jumamosi ni Siku ya Ibada
Jumapili ni Siku ya Ibada
Na Ijumaa ni Siku ya Ibada, sasa kwanini Jumaa kareem isiheshimiwe au ni kiburi tu!

Sabato njema
Serikali haifungamani na imani za kidini, na wala katiba haitambui uwepo wa dini rasmi. Na wala sijui kama kitabu cha Kurani kinatoa msisitizo kuhusu siku ya Ijumaa kuwa ni ya mapumziko kwa Waislamu wote, mbali ya kuwataka kufanya ibada.

Kwa upande wa Wakristo msisitizo huo upo dhahiri kabisa, katika aya za Biblia inahimizwa kuwa siku ya Jumamosi ni Sabato ya Bwana, na waaminio wanapaswa kutokufanya kazi yoyote ile, na katika Katekisimu na amri za kanisa Katoliki la Kirumi inahimizwa Jumapili ni siku ya Dominika.
 
Anataka uheshimiwe nadhani

Kwa mfano bunge liahirishwe Saa 5 asubuhi badala ya mbunge kuja na mavazi ya Ibada bungeni kisha kwenda nayo msikitini Saa 7 bila kubadilisha
Basi wayaweke kwenye magari yao saa 5 waondoke, kama ilivyo kwa taasisi nyingine mtu kupewa muda wa kwenda kuswali na kurejea saa 8
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kwa hili hata hatumuungi mkono
Sisi ibada na kazi hakuna kumpuzika unapiga rakaa unamaliza unaenda kibaruani kuisaka rizk ya halal
 
Shehe Ponda amehoji kupitia ukurasa wake wa Twitter kwanini Ijumaa isiheshimiwe kwa bunge kama ilivyo Jumamosi na Jumapili?

Ponda anasema Jumamosi ni Siku ya Ibada
Jumapili ni Siku ya Ibada
Na Ijumaa ni Siku ya Ibada, sasa kwanini Jumaa kareem isiheshimiwe au ni kiburi tu!

Sabato njema
Yupo sahihi kwa maana ya "Ibada day" should be free for Ibada, tuachane na tongotongo za kiingereza tufanye kile kilicho bora ktk jamii yetu tukishirikisha makundi yote
 
.
 

Attachments

  • FB_IMG_1662677891126.jpg
    FB_IMG_1662677891126.jpg
    40.7 KB · Views: 1
Sku za mapumziko ni mbili worldwide , dini zote zitafte nafas katika sku hzo mbili , kila dini ikijitaftia sku yake mbona itakuwa balaa

Nchi za Kiarabu siku za mapumziko ni ijumaa na jumamosi, siku ya jumapili kwao ni kama j3 kwa sisi...
 
Sku za mapumziko ni mbili worldwide , dini zote zitafte nafas katika sku hzo mbili , kila dini ikijitaftia sku yake mbona itakuwa balaa
Heshimu uhuru wa kuabudu wa wenzio,lakini kama Wabunge Waisilamu wanaruhusiwa kwenda kuswali sioni tatizo.
 
Hivi huyu sheikh ana wajukuu kweli? Mana anaonekana kuwa anapenda kweli kuponda. Iko siku ataema mbona mwezi wa Ramadan biashara zote za chakula hazifungwi? .
Jibu hoja za Shekhe na sio kupiga ramli chonganishi.😖
 
Siku ya kumwabudu Mungu ni Jumapili na inajulikana worldwide siku zilizobaki KAZI iendeleeeeeeeee
 
Uislamu haujakataza kufanya kazi siku ya Ijumaa ila ni vyema kwenye ile window ya saa sita mpaka saa nane Spika akawapa wabunge Waislamu fursa ya kuhudhuria ibada.

Hata sisi wananchi pia tunafuatilia bunge, sasa akiweka sessions mida ya ibada, atawakosesha fursa wale walioenda kwenye ibada kufuatilia bunge
 
Back
Top Bottom