Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ijumaa ndio Siku ya 7Jumamosi ni siku ya 6 so Jumapili ndio mapumziko
Yeye anazungumzia bungeniMbona Waislam kila siku kwetu ni siku ya Ibada?
Asituletee mambo yake huyu mtu hana uislam wowote bali vurugu tu, kila ikifika muda wa ibada hiyo Ijumaa naamin maofisini kote huwa tuko guru kwenda ibadani, labda aseme kufanyakazi hakufai basi!
Siku ya J.pili baadhi yetu Waislam huwa tunafunga maduka yetu tukiamini ni siku ya mapumziko..hivyo tuendelee hivyo hivyo na sisi msituchokoze kwenye kuchinja
Yaumul sabt(siku ya Saba) ni jumamosi,alkhaamisi(khamsa) ni ya tanoIjumaa ndio Siku ya 7
Kwa nini jmosi na jpili hatuendi kazini ila jtatu hadi ijumaa tunaenda?Shehe Ponda amehoji kupitia ukurasa wake wa Twitter kwanini Ijumaa isiheshimiwe kwa bunge kama ilivyo Jumamosi na Jumapili?
Ponda anasema Jumamosi ni Siku ya Ibada
Jumapili ni Siku ya Ibada
Na Ijumaa ni Siku ya Ibada, sasa kwanini Jumaa kareem isiheshimiwe au ni kiburi tu!
Sabato njema
Anachotaka muda wa swala ijumaa pasiwe na bungeKwahiyo sasa mnataka kutuongezea urefu wa weekend,Ijumaa mpaka J.pili,tuhurumieni jamani,hapo bado hujaweka na sikukuu.Ila msianze kupiga kelele mkianza kuambiwa tozo zile kubwa kubwa zinarudi tena maana si kwa kulala huko...
Ukizingatia Wabunge Waislamu ni zaidi ya 80%Anachotaka muda wa swala ijumaa pasiwe na bunge
Je, Ijumaa kwa Waislamu ni siku ya mapumziko kama ilivyo Jumamosi Kwa Wasabato au ni siku ya Ibada na kazi zinaendelea?Shehe Ponda.
Unaona mbali! Huu ndio ukweli. Watu wanafanyia kazi za kujipendekeza na Wala sio kufuata taratibu. Tuheshimu Dini zetu. Tulia wajibika.
Sijanote hili,Ila 97/98 hili Jambo lilimalizwa na bunge sambamba na mabinti kuvaa hijab mashuleni,liligharimu ubunge wa kitwana kondo kigamboni na kapuya kuondolewa wizara ya elimu awamu ya pili ya mkapaUkizingatia Wabunge Waislamu ni zaidi ya 80%
Bwashee, vipi kule Zenji, ijumaa hakunaga vikao vya Bunge a.k.a Baraza la Wawakilishi?Shehe Ponda amehoji kupitia ukurasa wake wa Twitter kwanini Ijumaa isiheshimiwe kwa bunge kama ilivyo Jumamosi na Jumapili?
Ponda anasema Jumamosi ni Siku ya Ibada
Jumapili ni Siku ya Ibada
Na Ijumaa ni Siku ya Ibada, sasa kwanini Jumaa kareem isiheshimiwe au ni kiburi tu!
Sabato njema
Hapa Shehe Ponda anazungumzia Ijumaa uheshimiweBwashee, vipi kule Zenji, ijumaa hakunaga vikao vya Bunge a.k.a Baraza la Wawakilishi?
Kwa hiyo yeye anataka ijumaa bunge lisiwepo auYeye anazungumzia bungeni
Muda wa Ibada uheshimiweKwa hiyo yeye anataka ijumaa bunge lisiwepo au
Ova