Shehe Ponda: Kwanini Spika anaendesha Vikao vya Bunge Siku ya Ijumaa? Au ni kiburi?!

Shehe Ponda: Kwanini Spika anaendesha Vikao vya Bunge Siku ya Ijumaa? Au ni kiburi?!

Kwani aligoma kuheshimu muda wa ibada? Je kuna mbunge yeyote alizuiliwa na spika kwenda kusali ijumaa muda wa ibada ulipofika? Tulikuwa na Spika nguli Adam Sapi na mwislam lakini alikuwa anaendesha vikao siku ya ijumaa na muda wa ibada ukifika anaenda zake kusali pamoja na waislam wenzake. Pia tulikuwa na naibu spika mwislam aitwaye Juma Akukweti. Kadhalika aliendesha vikao vya bunge siku ya ijumaa na muda wa ibada ukifika huenda kusali.

Tatizo la Ponda ni kuwa hajasoma hivyo matatizo yake ya kutokwenda shule yasiitie matope dini yake ya kiislam. Nawaomba waislam mwambieni ukweli huyu mtu wenu vinginevyo anawaaibisha na kuwapaka matope sana!!
Mimi siyo mwislamu lakini nimemuelewa Ponda

Kwa mfano jana Hamis aliitwa Saa 6:47 ili achangie hoja ya CAG
 
Kwani Spika aligoma kuheshimu muda wa ibada? Je kuna mbunge yeyote alizuiliwa na spika kwenda kusali ijumaa muda wa ibada ulipofika? Tulikuwa na Spika nguli Adam Sapi na mwislam lakini alikuwa anaendesha vikao siku ya ijumaa na muda wa ibada ukifika anaenda zake kusali pamoja na waislam wenzake. Pia tulikuwa na naibu spika mwislam aitwaye Juma Akukweti. Kadhalika aliendesha vikao vya bunge siku ya ijumaa na muda wa ibada ukifika huenda kusali.

Tatizo la Ponda ni kuwa hajasoma hivyo matatizo yake ya kutokwenda shule yasiitie matope dini yake ya kiislam. Nawaomba waislam mwambieni ukweli huyu mtu wenu vinginevyo anawaaibisha na kuwapaka matope sana!!
 
Huyu bila shaka ni shehe wa kichina!! Ina maana hajui kuwa koran haimzuii mwislam kufanya kazi ijumaa? Hata waajiriwa huenda kazini kama kawaida isipokuwa muda wa ibada ukifika wanaruhusiwa kwenda kusali na kisha kurudi kazini kuendelea na kazi!! Hata wanaofanya kazi zao binafsi huamkia kwenye kazi zao siku ya ijumaa na ikifika muda wa ibada huondoka kwenye shughuli zao na kwenda kusali. Wafanya biashara waislam wa maduka kariakoo hali kadhalika hufungua maduka yao kama kawaida siku ya ijumaa na huyafunga muda wa ibada ukifika na kisha hurejea tena baada ya ibada. Hata mlalamikaji mwenyewe hufanya kazi siku ya ijumaa na muda wa ibada huenda zake ibadani na akarejea tena!

Huyu shehe wa kichina naona anataka kulazimisha vuruga isiyokuwepo na lazima adhibitiwe mapema kwa nguvu zote!! Inaelekea anahamu tu ya kupewa airtime asiyoistahili kwenye jamii!!
Anataka mjadala wa watu wa dini zingine wasikubali kuchinjiwa wanyama na Waislamu. Ataleta vurugu muda si mrefu.
 
Moja ya vipindi sheikh ponda kajamba na kuharisha ni hiyo point, watu tunatamani hata jumapili kazi zifanyike kama kawaida ili tukimbizane na uchumi wa dunia yeye anawaza kuongeza siku za mapumziko
Wapi aliposema Iwe mapumziko?
 
Huyu Ponda anataka kuilazimisha jamii impe airtime asiyoistahili! Inaelekea yuko tayari hata kuwekwa ndani ili mradi tu apate airtime kwenye vyombo vya habari. Nashauri apuuzwe wala mamlaka zinazohusika wasimjibu wala kumhoji!!
 
Kwani Spika aligoma kuheshimu muda wa ibada? Je kuna mbunge yeyote alizuiliwa na spika kwenda kusali ijumaa muda wa ibada ulipofika? Tulikuwa na Spika nguli Adam Sapi na mwislam lakini alikuwa anaendesha vikao siku ya ijumaa na muda wa ibada ukifika anaenda zake kusali pamoja na waislam wenzake. Pia tulikuwa na naibu spika mwislam aitwaye Juma Akukweti. Kadhalika aliendesha vikao vya bunge siku ya ijumaa na muda wa ibada ukifika huenda kusali.

Tatizo la Ponda ni kuwa hajasoma hivyo matatizo yake ya kutokwenda shule yasiitie matope dini yake ya kiislam. Nawaomba waislam mwambieni ukweli huyu mtu wenu vinginevyo anawaaibisha na kuwapaka matope sana!!
 
Huyu Ponda anataka kuilazimisha jamii impe airtime asiyoistahili! Inaelekea yuko tayari hata kuwekwa ndani ili mradi tu apate airtime kwenye vyombo vya habari. Nashauri apuuzwe wala mamlaka zinazohusika wasimjibu wala kumhoji!!
 
Anataka uheshimiwe nadhani

Kwa mfano bunge liahirishwe Saa 5 asubuhi badala ya mbunge kuja na mavazi ya Ibada bungeni kisha kwenda nayo msikitini Saa 7 bila kubadilisha
Kwani wabunge waislamu huwa wanakatazwa kutoka bungeni waende kuswali?Au milango yote hufungwa na hatakiwi mtu atoke?Madai mengine yawe na mipaka.
 
Shehe Ponda amehoji kupitia ukurasa wake wa Twitter kwanini Ijumaa isiheshimiwe kwa bunge kama ilivyo Jumamosi na Jumapili?

Ponda anasema Jumamosi ni Siku ya Ibada
Jumapili ni Siku ya Ibada
Na Ijumaa ni Siku ya Ibada, sasa kwanini Jumaa kareem isiheshimiwe au ni kiburi tu!

Sabato njema
ndiyo maana wachina hawajali. siku zote ni za kazi. na wanaoabudu kupitia miungu ya baba zao watadai siku ya idaba zao itengwe, mwishowe hakutakuwa siku ya kazi.
 
Pweinti ni kwamba Muda wa Ibada Siku ya Ijumaa Bunge liahirishwe

Isiwe wengine wako Msikitini wengine wako bungeni wanajadili hoja mbalimbali
Sio kila mtu ana swali hata waislamu wenyewe sio wote wanaenda kuswali Ijumaa lakini hakuna mtu anazuiwa kwenda kuswali na kurudi na hata hilo bunge sijawahi kuona limejaa kila siku kuna gaps na mijadala inaendelea. Ningeelewa kama watu hawarusiwi kwenda kufanya ibada lakini uhuru upo maana hata wako watu Jumapili na Jumamosi wanaingia kazini.
 
Shehe Ponda amehoji kupitia ukurasa wake wa Twitter kwanini Ijumaa isiheshimiwe kwa bunge kama ilivyo Jumamosi na Jumapili?

Ponda anasema Jumamosi ni Siku ya Ibada
Jumapili ni Siku ya Ibada
Na Ijumaa ni Siku ya Ibada, sasa kwanini Jumaa kareem isiheshimiwe au ni kiburi tu!

Sabato njema
Kwanini hilo swali isiiulize serikali pia?
 
Shehe Ponda amehoji kupitia ukurasa wake wa Twitter kwanini Ijumaa isiheshimiwe kwa bunge kama ilivyo Jumamosi na Jumapili?

Ponda anasema Jumamosi ni Siku ya Ibada
Jumapili ni Siku ya Ibada
Na Ijumaa ni Siku ya Ibada, sasa kwanini Jumaa kareem isiheshimiwe au ni kiburi tu!

Sabato njema
kwani maaspika waliopita walikua wanafanyaje siku ya Ijumaa, bunge lilikuwa linaishia Alhamis au
 
kwani maaspika waliopita walikua wanafanyaje siku ya Ijumaa, bunge lilikuwa linaishia Alhamis au
Ndugai alikuwa anaahirisha saa 6:00 Mchana na Bunge kurejea tena saa 11:00 jioni

Mh Ndugai ni mshauri wa Askofu mkuu wa Canterbury - UK
 
Siku ya Jumamosi si siku rasmi ya ibada, Jumapili ni siku ya mapumziko tangu kabla ya Uhuru na Jumamosi ilikuwa ni nusu siku kwa watumishi wa serikali kabla ya kuifanya kuwa siku ya mapumziko kwa watumishi wa serikali.
Shehe Ponda amehoji kupitia ukurasa wake wa Twitter kwanini Ijumaa isiheshimiwe kwa bunge kama ilivyo Jumamosi na Jumapili?

Ponda anasema Jumamosi ni Siku ya Ibada
Jumapili ni Siku ya Ibada
Na Ijumaa ni Siku ya Ibada, sasa kwanini Jumaa kareem isiheshimiwe au ni kiburi tu!

Sabato njema
 
Siku ya Jumamosi si siku rasmi ya ibada, Jumapili ni siku ya mapumziko tangu kabla ya Uhuru na Jumamosi ilikuwa ni nusu siku kwa watumishi wa serikali kabla ya kuifanya kuwa siku ya mapumziko kwa watumishi wa serikali.
Bwashee upo?!

Ubarikiwe
 
Back
Top Bottom