Sheikh Alhad Musa Salum: Rangi ya Kijani inayotumiwa na CCM ndio rangi pekee iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu

Sheikh Alhad Musa Salum: Rangi ya Kijani inayotumiwa na CCM ndio rangi pekee iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu

okey FaizaFoxy tusaidie hapa andiko linaloonyesha Allah amebariki rangi ya kijani.
Hamtafautiani na huyu mjinga, naona mnaleta ufarakano wa kidini, Allah anachukia ubaya,uovu na mambo ya kijina ya kuwachonganisha binadamu, moja kama hili la kwenu.

Huyo Alhad sio mwakilishi wa Allah wala mtu yoyote, mi mfanyi kazi wa Serekali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamtafautiani na huyu mjinga, naona mnaleta ufarakano wa kidini, Allah anachukia ubaya,uovu na mambo ya kijina ya kuwachonganisha binadamu, moja kama hili la kwenu.

Huyo Alhad sio mwakilishi wa Allah wala mtu yoyote, mi mfanyi kazi wa Serekali

Sent using Jamii Forums mobile app
Alhad Musa ni sheikh wa mkoa wote wa Dsm........Hajakurupuka!
 
Sheikh wa mkoa wa Dsm Alhad Musa Salum amesema CCM imepewa upendeleo na mwenyezi Mungu kwa sababu wanatumia rangi ya kijani ambayo ndio rangi pekee iliyobarikiwa na Mungu.

Alhad Musa amesema hayo wakati akiiombea dua CCM katika katika sherehe za miaka 43 ya chama hicho inayofanyika kitaifa jijini Dsm leo.

Mgeni wa heshima ni mama Samia Suluhu, makamu wa Rais wa JMT

Source: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Kwa hiyo na Yanga pia!
 
Halafu watu wakiichambua Dini ya kiislamu vibaya kunatokea malalamiko. Wanaoinajisi dini hiyo sio wale walevi wanaochana vitabu bali viongozi wanao sema maneno ya kuifananisha dini ya kiislamu na vitu vya hovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Rangi ya kijani ni kitu cha hovyo bwashee?

Kijani ni Amani kama Yanga vile!
 
Hamtafautiani na huyu mjinga, naona mnaleta ufarakano wa kidini, Allah anachukia ubaya,uovu na mambo ya kijina ya kuwachonganisha binadamu, moja kama hili la kwenu.

Huyo Alhad sio mwakilishi wa Allah wala mtu yoyote, mi mfanyi kazi wa Serekali

Sent using Jamii Forums mobile app
Twende taratibu, Sheikh wenu kasema Mungu ameibariki rangi ya kijani inayotumiwa na CCM,
tunahitaji reference ya maandiko tujiridhishe.
 
Back
Top Bottom