johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Ina maana gani?Lakini haina maana hiyo ya sheikh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana gani?Lakini haina maana hiyo ya sheikh
Kaongea yake huyo hakuna hiyo aya kwenye quran inayosema hivyo na hata kama katoa kwenye hadith itakuwa dhaifu hiyoWewe unabishana na sheikh wa mkoa?!
Njaa ikiingia kichwani ni hatariSheikh wa mkoa wa Dsm Alhad Musa Salum amesema CCM imepewa upendeleo na mwenyezi Mungu kwa sababu wanatumia rangi ya kijani ambayo ndio rangi pekee iliyobarikiwa na Mungu.
Alhad Musa amesema hayo wakati akiiombea dua CCM katika katika sherehe za miaka 43 ya chama hicho inayofanyika kitaifa jijini Dsm leo.
Mgeni wa heshima ni mama Samia Suluhu, makamu wa Rais wa JMT
Source: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Maulidi yapo kwenye aya gani ??nipe aya kwenye Quran.Kwani bendera za maulidi ni rangi gani?
Sheikh wa mkoa wa Dsm Alhad Musa Salum amesema CCM imepewa upendeleo na mwenyezi Mungu kwa sababu wanatumia rangi ya kijani ambayo ndio rangi pekee iliyobarikiwa na Mungu.
Alhad Musa amesema hayo wakati akiiombea dua CCM katika katika sherehe za miaka 43 ya chama hicho inayofanyika kitaifa jijini Dsm leo.
Mgeni wa heshima ni mama Samia Suluhu, makamu wa Rais wa JMT
Source: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Shehe alikuwa Msikitini au kwenye Mkutano wa Kisiasa?Sheikh wa mkoa wa Dsm Alhad Musa Salum amesema CCM imepewa upendeleo na mwenyezi Mungu kwa sababu wanatumia rangi ya kijani ambayo ndio rangi pekee iliyobarikiwa na Mungu.
Alhad Musa amesema hayo wakati akiiombea dua CCM katika katika sherehe za miaka 43 ya chama hicho inayofanyika kitaifa jijini Dsm leo.
Mgeni wa heshima ni mama Samia Suluhu, makamu wa Rais wa JMT
Source: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Safi sana. Huo ndio ukweli wenyewe. Maana Mungu anayemtaja yeye. Sio Mungu anayetajwa na wengine.inategemea anamzungumzia Mungu gani hasa.
Siasani!
Kwa muda mrefu nimekuwa najiuliza sana kwanini CCM inabarikiwa sana, sasa ndio nimepata jibu, kumbe ni shauri ya ile rangi ya kijani!. Ndio maana CCM itatawala Tanzania milele kufuatia matumizi ya rangi ya Kijani ambayo ndio rangi iliyobarikiwa na Mungu Allah,Sheikh wa mkoa wa Dsm Alhad Musa Salum amesema CCM imepewa upendeleo na mwenyezi Mungu kwa sababu wanatumia rangi ya kijani ambayo ndio rangi pekee iliyobarikiwa na Mungu.
Alhad Musa amesema hayo wakati akiiombea dua CCM katika katika sherehe za miaka 43 ya chama hicho inayofanyika kitaifa jijini Dsm leo.
Mgeni wa heshima ni mama Samia Suluhu, makamu wa Rais wa JMT
Source: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Mange yule mkimbizi?!Subiri kiboko yake Mange amsikie huu utumbo wake aliouropoka..
Joho lake ni la kijani!Huyu sheikh huyu kwakuwa kasifia chama tawala hasemwi kama anachanganya dini na siasa. ila kama angeikosoa serikali angeambiwa avue majoho na kuingia katika siasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Amina!Stupid .usirudie kulinganisha tena hilo jambo. Hawafanani hata kidogo.
Umeshafika Mecca bwashee?!Mbona Mecca haijapakwa rangi ya kijani!? Na hata wakifanya renovations hawapaki kijani!? Hatari Sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio!