kanankembe
Member
- Nov 4, 2019
- 85
- 50
johnthebaptist,
Mungu alilaani Rangi zingine zote. Huo ni uwaza waza wa hali ya juu.
Kwa staili hiyo mnataka wafuazi wa dini yenu wawe wanaccm tu? Na hivi Uchaguzi Mkuu bado sana. Itakuwaje wakati wa kampeni?
Mungu alilaani Rangi zingine zote. Huo ni uwaza waza wa hali ya juu.
Kwa staili hiyo mnataka wafuazi wa dini yenu wawe wanaccm tu? Na hivi Uchaguzi Mkuu bado sana. Itakuwaje wakati wa kampeni?