Nilijua angejibu hoja za huyo shehe Muhamad zaidi sana naona personal attacks tu. Kweli Bakwata haitoshiShehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.
Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.
Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.
CCM kumekucha kwa kweli.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe umeona the way wanavodeal na kutofautiana kwao ni professional hiyo???!"Hata wakiwa wanafanya vitendo vya ajabu kule kulawiti vitoto vidogo issues kama hizo zinakua dealt with professionally..."
Mtu akipatikana na hatia ya vitendo hivyo ni mhalifu na anastahili kifungo tu. Sasa wewe sijui una maana gani unapoandika kushughulikia professionally.
Ukipata wasaa fuatilia darsa za sheikh Muhammad Eid, hata kupitia YouTube, utapata faida kubwa inshallah. Ni kweli unapokuwa kiongozi kuna baadhi ya mambo haifai kuyajibu (au walau kuyajibu hadharani).Huyu Sheikh Mohamed Eid afadhali anatufundisha japo mi sio mfuatiliaji sana. Mara chache sana.
Shida ni huyu muimba taarab wa mkoa. Ningepata CV yake ningefurahi sana.
Baasi kama unavyosema amesoma huyo wa mkoa inaonekana kabisa Elimu yake haimsaidii kabisa. Ni wale waliosoma then hawana hata impact ktk jamii. Hana tofauti ya wale ma Ustaadh wetu wa Madrassa wale. Kabisa.
Going places yes km ulivosema coz at least inakupa exposure ya masuala mbali mbali. Sasa sio going places kwenda kula bata I'm sure this is the case huyo wa mkoa I mean kwenda kufundisha jamii mbali mbali inacreate humility na busara sana. Wewe kila siku umejifungia Dar kila mtu anakuabudu Wewe ukitukanwa kidogo tu ntakusomea albadiri....kweli?!!?? Umsomee Mange kimavi albadiri figure kubwa km wewe?!! Shocking.
Nitafanya hivyo mkuu insha'Allah.Ukipata wasaa fuatilia darsa za sheikh Muhammad Eid, hata kupitia YouTube, utapata faida kubwa inshallah. Ni kweli unapokuwa kiongozi kuna baadhi ya mambo haifai kuyajibu (au walau kuyajibu hadharani).
Si ndii kina Khadija kopa wanavofanya!Shekhe Alhaj anaongea huku anajishebedua
Hiyo kamati iliundwa na nani?Huyu alhad Salum ndio mwenyekiti wa kamati ya Amani..... Nimeshangaa sana!
Shehe Mohammed yupo sahihi, shehe wa kwa jina la yesu na Mohamed amejaa kibri
kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.
Nakuheshimu lakini kwa hili naona mwenzangu sijui umechelewa wapi kumfahamu huyu Kanjanja wa dini. Alhad Musa Salum ni mjasiriadini. Ni mtu aliye tayari kutumiwa na yeyote ilimradi anamfadhili. Enzi za Makonda Dar alikuwa kama mke mdogo, Leo haongei lolote kuhusu Makonda kwa sababu tu Makonda hawezi kumwinua kama zamani.Shehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.
Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.
Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.
CCM kumekucha kwa kweli.
Maendeleo hayana vyama!
Kama kuna kupumbazwa fulani, hawa wanachaguliwa na nani, au kuteuliwa na nani, katika mfumo upi??Nimemkumbuka Sheikh Ilunga,Mwenyezi Mungu amrehemu.Alisema Sana kuhusu hawa masheikh wa bakwata,bahati mbaya Sana hatujui vile jinsi tunaweza kuwatoa.
Katika uwakilishi wa sekta yoyote inabidi uwepo uaminifu,watu wakuamini ndo uwaongoze.bakwata haiaminiki na waislam walio wengi na bahati mbaya zaidi bakwata haiwezi kuondoka mpaka iondoke CCM.na Hilo ndo linaleta ugumu.
Kamati ya amani imeundwa na ccm ili kuwapumbaza wananchi, kila mara tumekuwa tukisema huyo Sheikh Alhadi ni muhuni tu. Sasa hata nyie wasifiaji wa hayo magenge ya wahuni mmeanza kuubaini ukweli.Huyu alhad Salum ndio mwenyekiti wa kamati ya Amani..... Nimeshangaa sana!
Msamehe kwa hilo. Tunawaambia kila siku matendo machafu ya viongozi wa dini wanaosapoti CCM yanakwenda kinyume na dini zao hivyo wasihusishe dini na upuuzi wao. Gwajima alipokengeuka hatukuhusisha dini yake bali yeye mwenyewe na ujinga wake, Pengo alipoongea upotovu tulimsema yeye kama Pengo, Alhadi Mussa alipoacha njia na kuanzisha dini Mseto (IslamKristo) tulimsema yeye kama yeye.Wewe umekosa hoja; Inakuaje uuhusishe UISLAMU na matendo ya Masheikh???, Uisilamu unaangaliwa kwanza kupitia Qur'an, Sunna na Hadithi za Mtukufu mtume (saw), hivyo ndivyo vigezo muhimu vya kuuangalia Uisilamu.
Ikibidi kuuangalia Ukristo kwa njia hiyo yako, utasemaje kipindi kile mchungaji Gwajima alipomshambulia kwa maneno ya mtaani Askofu Pengo kwamba kala maharage ya wapi???🤣, je hapo na sisi tukisema Ukristo sio dini ya amani itakuwa sawa???.
Jichunge sana unapotoa hoja zako.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwamba hakuna kitu paleHuyo Sheikh huwa ananichekesha sana, akiongea anaongea kiswahili chenye lafudhi ya kiarabu. Basi ccm wakisikia hiyo lafudhi, wanamuona ndio kasoma dini vibaya sana. Nilipomwona tu huyo Sheikh wanafuatana na Makonda, nilijia fika hamna Sheikh bali muhuni.
Hivi alhadi haoni aibu kufanya siasa za kijingaHuyu Sheikh Mohamed Eid afadhali anatufundisha japo mi sio mfuatiliaji sana. Mara chache sana.
Shida ni huyu muimba taarab wa mkoa. Ningepata CV yake ningefurahi sana.
Baasi kama unavyosema amesoma huyo wa mkoa inaonekana kabisa Elimu yake haimsaidii kabisa. Ni wale waliosoma then hawana hata impact ktk jamii. Hana tofauti ya wale ma Ustaadh wetu wa Madrassa wale. Kabisa.
Going places yes km ulivosema coz at least inakupa exposure ya masuala mbali mbali. Sasa sio going places kwenda kula bata I'm sure this is the case huyo wa mkoa I mean kwenda kufundisha jamii mbali mbali inacreate humility na busara sana. Wewe kila siku umejifungia Dar kila mtu anakuabudu Wewe ukitukanwa kidogo tu ntakusomea albadiri....kweli?!!?? Umsomee Mange kimavi albadiri figure kubwa km wewe?!! Shocking.
Mjinga ni mtu gani?!Huwa nachukia kweli kuona wajinga wakichanganya Kiingereza na Kiswahili