Sheikh apinga Urais kwa mwanamke

Sheikh apinga Urais kwa mwanamke

Hadith Za mtume s.a.w
Acha kumsingizia Mtume Mambo ya kishenzi............Mwanamke ni robo 3 ya uthamani ukiringanisha na Robo Moja ya uthamani aliyopewa mwanaume

Na huu Ndio uislam

Ukitaka kufanya ihsan kwa wazazi wako mama ametajwa mara 3 na baba ametajwa mara moja

Rais sio Kiongozi wa msikiti wala sio wa kigango Raisi ni Taasisi Ndani yake wako Wanaume pia
Na wala hatuchagui Kiongozi kwa kutumia rejea/reference za Bible Wala Qur'an sasa msitumie maandiko kujustify ujinga wenu majahili nyie

Hamtaki kuongozwa Na SSH nendeni mkaishi Ukraine wanataka watu kule

Mnaenda makazini mnamuachia mwanamke aleee watoto wenu nyumbani unakuta Mama ana Dini watoto Wana Dini baba hata Mungu halimjui kwa sababu watoto wamepata Mama Bora nyumbani
 
Mwanamke hawezi kuongoza. Matokeo yake nchi inaongozwa kutokea Msoga.
Watu wa JPM mnaumia sana kuongozwa na mwanamke. Katiba ya nchi ndio inavyosema hivyo, ni matakwa ya kikatiba sio ya Magufuli wala Samia.

Ni kama USA sasa hivi Biden msaidizi wake ni Kamala Harris, likitokea baya lolote lile Kamala anakuwa rais.
 
Acha kumsingizia Mtume Mambo ya kishenzi............Mwanamke ni robo 3 ya uthamani ukiringanisha na Robo Moja ya uthamani aliyopewa mwanaume

Na huu Ndio uislam

Ukitaka kufanya ihsan kwa wazazi wako mama ametajwa mara 3 na baba ametajwa mara moja

Rais sio Kiongozi wa msikiti wala sio kigango Raisi ni Taasisi Ndani yake wako Wanaume pia
Na wala hatuchagui Kiongozi kwa rejea reference za Bible Waka Qur'an sasa msitumie maandiko kujustify ujinga wenu majahili nyie

Hamtaki kuongozwa Na SSH nendeni mkaishi Ukraine wanataka watu kule

Mnaenda makazini mnamuachia mwanamke aleee watoto wenu nyumbani unakuta Mama ana Dini watoto Wana Dini baba hata Mungu halimjui kwa sababu watoto wamepata Mama Bora nyumbani
Wewe inaonekana ni Muislam, labda watakuelewa vizuri zaidi.
 
Acha kumsingizia Mtume Mambo ya kishenzi............Mwanamke ni robo 3 ya uthamani ukiringanisha na Robo Moja ya uthamani aliyopewa mwanaume

Na huu Ndio uislam

Ukitaka kufanya ihsan kwa wazazi wako mama ametajwa mara 3 na baba ametajwa mara moja

Rais sio Kiongozi wa msikiti wala sio kigango Raisi ni Taasisi Ndani yake wako Wanaume pia
Na wala hatuchagui Kiongozi kwa rejea reference za Bible Waka Qur'an sasa msitumie maandiko kujustify ujinga wenu majahili nyie

Hamtaki kuongozwa Na SSH nendeni mkaishi Ukraine wanataka watu kule

Mnaenda makazini mnamuachia mwanamke aleee watoto wenu nyumbani unakuta Mama ana Dini watoto Wana Dini baba hata Mungu halimjui kwa sababu watoto wamepata Mama Bora nyumbani
Kwani baba akifa kwenye urithi Nani anapata % kubwa?? Mtoto wa kike au mtoto wa kiume??
Kwani Wanawake kutoendesha,kutomiliki biashara,kutotembea bila ruhusa ya mwanaume huko middle East Ni Kwa Bahati mbaya Tu??

Nakuacha Na hii

Abu Sa’id al-Khudri reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said:

O gathering of women! Give in charity, for I have seen you as a majority of people in Hellfire.

They said, “Why is that, O Messenger of Allah?” The Prophet said:

You curse others often and you are ungrateful for your livelihood. I have not seen anyone with reductions in mind and religion more capable of removing reason from a resolute man than you.

They said, “What are our reductions in mind?” The Prophet said:

Is not the testimony of a woman like half of a man?

They said, “Of course.” The Prophet said:

That is the reduction in your mind. Is it not that when you menstruate you do not pray, nor fast?

They said, “Of course.” The Prophet said:

That is the reduction in your religion

Na Quran 2:282 inasema
And bring two witnesses from among your men. And if there are not two men [available], then a man and two women from those whom you accept as witnesses - so that if one of the women errs, then the other can remind her.
 
Huyu Sheikh ni male chauvinist, analeta mambo ya male chauvinism ya kuwabagua Wanawake.

Hapa aitwe Sheikh Mkuu, kulifafanua hili na ikibidi huyu Sheikh avuliwe usheikh.

Mafundisho ya kweli ya Uislamu kuhusu mwanamke wa Kiislamu na uongozi ni haya


P

Ila mkuu, kama ni ubaguzi basi itakuwa ameuanza Mungu, ilikuaje aanze kumuumba Adam halafu afuate Hawa/Eva? Je, Mungu alishindwa kuwaumba Adam na Hawa/Eva wote kwa pamoja?.
Na vipi kuhusu wanafunzi 12 wa Yesu, kuna mwanamke hata mmoja?
Na vipi kuhusu maswahaba 4 wa mtume Muhammad kuna mwanamke hata mmoja?
Ipo hivi, kiimani mwanamke hajaumbwa kuwa kiongozi wa juu kabisa kumzidi mwanaume.
Na hata ukisoma biblia utaona kuna Matayo, Luka, Timotheo,Yohana lakini hakuna Magreth, Anna, Marry, je nayo iliwabagua wanawake?
Kwenye kur'an kuna sura moja tu kama sikosei yenye jina la kike, surat Mariam.
Kwahiyo mimi nadhani ipo sababu iliyosababisha imani kuwatofautisha wanaume na wanawake katika suala la uongozi.
 
Duuh ndio maana tunayumba kuliko maelezo…bado watu wanasomana mwaka wa saba sasa…nikuteua na kutengua mwanzo mwisho…kana kwamba kuna mapya yanayofanyika…mafisadi wakipewa vitengo…ngoja tuone
Tuna kazi kubwa sana kama taifa.
 
Nenda Uarabuni ukawaambie Rais awe mwanamke. Watakupopoa mawe. Sehemu nyingine uarabuni mwanamke haruhusiwi hata kuendesha gari ...wewe huifahamu dini... Waache masheikh wenye kuifahamu dini. Haya mambo huyafahamu kajitike kwenye mambo yenu.
Muislam koko huyo.
 
Bibi Aisha(mke wa Mtume),amepokea hadithi(maelekezo ya dini,nini tufanye waislamu na nini tusifanye)na ndio mpaka leo,tufuata miongozo ya Aisha na ni Mwanamke,hata huyo anayejiita Sheikh,mambo mengi,hata yanahusu mume na mke,tumepokea kutoka kwa Mwanamke huyu,Bi Aisha.Kwa hiyo uislamu,haijakataza uongozi wa mwanamke.
Umeelewa alichokisema sheikh?

Hebu rudia kusikiliza.
 
Mtume hajakataza wanawake kuongoza.Leo waislamu tunafuata hadithi(miongozo ya uislamu),kupitia Bi Aisha,na hata huyo Sheikh,kuna mambo ya mume na Mke,anayafundisha na kutafuta kupitia Bi Aisha.Bi Aisha ni Mwanamke sio mwanamme.
Umemuelewa sheikh lakini?

Hebu rudia kumsikiliza.

Watu wengi mna-comment bila kumsikiliza sheikh. Mnatia aibu.
 
Bi Aisha,tunatumia hadithi,(mafunzo aliyopekea),mpaka leo.Hadithi za Bi Aisha tunazitumia,mpaka hadithi zinaxohusiana za mume na mke,mpaka za chumbani,mpaka za kujitoharisha,tunazitumia.Na Bi Aisha ni Mwanamke,hapo hatujagusa wanawake wengine,kama kina Bi Khadija,Hafsa,Asma na wengineo.
Umemsikiliza na kumuelewa sheikh vizuri?
 
Mwanzo 3:16.....tamaa yako itakuwa KWA mumeo nae atakutawala" Uongizi alipewa mwanaume bwashee.Pia ongeza 1korintho 11:3 "kichwa cha kila mwanamume ni Kristo na kichwa mwanamke ni mwanamume na kichwa cha Kristo ni Mungu" pia 1korintho 11:6 ......mwanamke ni utukufu wa Mwanamume.Zaidi soma kutoka 18:17-27 kama utakuwa hujaelewa nitafte KWA maelezo zaidi
Ninakubali bwashe.
 
Umemaliza mjadala,huyo Sheikh Ubwabwa.Yupo Mwanamke anaitwa Balkiss,alikuwa mtawala,na Qur'an imetaja kisa chake.Na Qur'an haikupinga utawala wake.
Zipo Chapter,ndani ya Qur'an ,imeitwa kwa jina Maryam,na ni Mwanamke huyu.
Yupo Bi Asia,ametajwa ndani ya Qur'an.
Yupo Bi Aisha,mpaka leo waislamu ,dunia nzima,anawaongoza,kwa kufuata hadithi(miongozo),aliyopokea kutoka kwa Mtume Muhammad(S.A.W.).Mpaka miongozo ya mume na mke,kuanzia chumbani mpaka nje ya chumba.Wapo kina Bi Khadija,na wemgine kina Sumaiya,walipigana vita.Mama wa Nabii Musa,ametajwa,Mtoto wa kike wa huyu Mama wa Nabii Musa,ametajwa Kwenye Qur'an.
Umemsikiliza na kumuelewa sheikh?

Hebu rudia tena.
 
Katika uislamu,hakuna ambaye ataingia Peponi(Paradise),ila kupitia kwa Mwanamke(mama),ikiwa hukumtendea mema mama yako mzazi(Mwanamke)hata uwe Sheikh,au ufanye ibada gani,pepo huipati.Pepo katika uislamu,iko chini ya nyayo za mama(Mwanamke).Kwa hiyo uislamu umemtukuza Mwanamke(mama),ufunguo wa pepo
Mwanamke katika uislamu,kapewa nafasi kubwa sana,ya uongozi,huyo Sheikh ubwabwa,anataka uongozi gani tena.
Hata katika kulea,katika uislamu,atakaye walea vizuri watoto wake wa kike,mpaka akawafanya harusi zao,basi pepo,imebakia kwake kutenda mema mengine,na kufanyiwa wema wazazi wake(hasa mama)ambaye ni mwanamke.Mama katika uislamu,amepewa daraja zaidi,kumtendea mema kuliko baba.
Sheikh,ubwabwa huyu,hajui huo ndio uongozi,ataka uongozi tena.Huwezi kupata funguo ya pepo,mpaka umfanyiwe wema mama yako(ambaye ni mwanamke).
Ikiwa huyo anayejiita Sheikh,kama hakumfanyia wema mama yake(Mwanamke),ufunguo wa pepo,hataupata,hata afanye ibada vipi.Hapo Mwanamke ,katika uislamu,hajakuwa kiongozi wako?Kwa maana huwezi kuingia Peponi ,mpaka umfanyie wema mama(Mwanamke).
Umeelewa alichokisema sheikh lakini?
 
Wengi watamuandama sheikh kwa aliyoyahubiri ila si maneno yake bali ni maneno ya Mtume Muhammad (sala na amani ziwe juu yake) .Na mtume wa Mungu hazungumzi kwa matamanio ya nafsi yake bali ni ufunuo kutoka kwa aliye juu zaidi, ALLAH subhana wa ta3ala.

Dola kubwa nyingi kama persian empire zilianguka pale ambapo masuala yao ya utawala waliowaachia wanawake.

Marekani licha ya upuuzi wao wote hawataki kuruhusu mwanamke awe rais wa nchi yao maana wanajua hizi historia.Hillary clinton alishinda kabisa urais ila alifanyiwa zengwe wakampatia urais Donald Trump.
Shida akina bagamoyo wanapinga tu bila kumsikiliza na kumuelewa sheikh.
 
NI RAISI NA HAITABADILIKA. NDO IMESHAKUWA, KAMA ANAAMINI MUNGU WAKE HATAKI HIVYO KWELI AKAMTOE ILI TUMKUMBUSHE KWA VITENDO KUWA JAMHURI HAINA DINI.
 
Yuko sahihi.
Hata biblia haikubaliani na mwanamke kuwa kichwa yaani kiongozi mkuu bali tunalazimisha tu kibinadamu.
Uongozi wa mwanamke mgumu mno.
Nguvu ya mwanamke ni mwanaume.
Imeandikwa kuwa mwanaume ni kichwa yaani Kiongozi
Huna habari kwamba Papa ameifuta BIBLIA
 
Back
Top Bottom