Sheikh apinga Urais kwa mwanamke

Sheikh apinga Urais kwa mwanamke

Jiwe ndo aliyeasisi mpaka Sasa tunaongozwa na mwanamke, Kwa kupenda sifa akaamua kumchagua mgombea mwenza mwanamke
Magufuli alimtaka Mwinyi Jr.

Ila Msoga ndio walimtaka Samia.
 
Watu wa JPM mnaumia sana kuongozwa na mwanamke. Katiba ya nchi ndio inavyosema hivyo, ni matakwa ya kikatiba sio ya Magufuli wala Samia.

Ni kama USA sasa hivi Biden msaidizi wake ni Kamala Harris, likitokea baya lolote lile Kamala anakuwa rais.
Lakini Samia ni Muislam.

Na hapa sheikh ame-quote Qur'an ambayo Samia anaiamini.
 
Wengi wenu hamjaangalia hiyo video clip...

Sheikh hapingi mwanamke kuwa kiongozi, anachopinga ni kushika uongozi wa juu kabisa.

Eleweni tofauti.
 
Kwani baba akifa kwenye urithi Nani anapata % kubwa?? Mtoto wa kike au mtoto wa kiume??
Kwani Wanawake kutoendesha,kutomiliki biashara,kutotembea bila ruhusa ya mwanaume huko middle East Ni Kwa Bahati mbaya Tu??

Nakuacha Na hii

Abu Sa’id al-Khudri reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said:

O gathering of women! Give in charity, for I have seen you as a majority of people in Hellfire.

They said, “Why is that, O Messenger of Allah?” The Prophet said:

You curse others often and you are ungrateful for your livelihood. I have not seen anyone with reductions in mind and religion more capable of removing reason from a resolute man than you.

They said, “What are our reductions in mind?” The Prophet said:

Is not the testimony of a woman like half of a man?

They said, “Of course.” The Prophet said:

That is the reduction in your mind. Is it not that when you menstruate you do not pray, nor fast?

They said, “Of course.” The Prophet said:

That is the reduction in your religion

Na Quran 2:282 inasema
And bring two witnesses from among your men. And if there are not two men [available], then a man and two women from those whom you accept as witnesses - so that if one of the women errs, then the other can remind her.
Unazungumzia Dini unazungumzia Ulimwengu wa katiba na sheria za Nchi ambao uko mbali na sheria za kidini unanunukuu maandiko unaishi chini ya hayo maandiko nyumbani kwako????
Au unatumia maandiko kujustify kilio chako Cha huu uongozi ambao hautoi fursa kwako kimaisha

Rais sio Kiongozi wa Dini wala sio wa msikiti wala sio wa kanisa

Uraisi ni Taasisi ambayo Ndani yake kuna wanaume wanayapanga na kuyajenga kama Taasisi

Nchi inayoongozwa kwa sharia Duniani haipo Raisi Ni Samia suluhu Mungu amlinde huyu mama aongoze watu Kwa haki na uadilifu

Hamtaki hameni nchi
 
Juzi nilipita mahali fulani nikashuhudia mama mmoja anachinja kuku na kuwaweka kwenye viroba tayari kwa kuwapeleka sokoni kuwauzia wauza chips.

Nikasema kuanzia Leo sinunuwi tena kuku wa vibanda vya chips..


Kama hatuvifuati vitabu vya Mungu basi tuheshimu maandiko yake.
 
Juzi nilipita mahali fulani nikashuhudia mama mmoja anachinja kuku na kuwaweka kwenye viroba tayari kwa kuwapeleka sokoni kuwauzia wauza chips.

Nikasema kuanzia Leo sinunuwi tena kuku wa vibanda vya chips..


Kama hatuvifuati vitabu vya Mungu basi tuheshimu maandiko yake.
Mwanamke ameruhusika kuchinja Tatizo Lenu mnadhani sharia za kidini zimekuja kupora haki za watu uliza Sheikh wako hapo je Mwanamke haruhusiwi kuchinja????
 
[mention]FaizaFoxy [/mention] Unasemaje kuhusiana na maneno ya Ustadhi??
 
Mambo ya jinisi sijui kuongoza wakati wapo Wanawake vichwa vyao vipo sawa kukiko wahuni wakipewa Nchi ukichanganya mambo ya Iman na Serikali utaenda tofauti sana ni kama walipa kodi walivyotaka kujua kulipa kodi kwa kaisari ni sawa au si sawa Yesu aliwapojibu kuwa ya kaisari mpe kaisari imekua kama ndio ruhusa kwa wengine wenye imani hiyo kulipa kodi Yesu angesema sio sawa watu mpaka kesho wangepinga Kodi za Serikali...
 
Acha kumsingizia Mtume Mambo ya kishenzi............Mwanamke ni robo 3 ya uthamani ukiringanisha na Robo Moja ya uthamani aliyopewa mwanaume

Na huu Ndio uislam

Ukitaka kufanya ihsan kwa wazazi wako mama ametajwa mara 3 na baba ametajwa mara moja

Rais sio Kiongozi wa msikiti wala sio wa kigango Raisi ni Taasisi Ndani yake wako Wanaume pia
Na wala hatuchagui Kiongozi kwa kutumia rejea/reference za Bible Wala Qur'an sasa msitumie maandiko kujustify ujinga wenu majahili nyie

Hamtaki kuongozwa Na SSH nendeni mkaishi Ukraine wanataka watu kule

Mnaenda makazini mnamuachia mwanamke aleee watoto wenu nyumbani unakuta Mama ana Dini watoto Wana Dini baba hata Mungu halimjui kwa sababu watoto wamepata Mama Bora nyumbani
Umesema kweli tupu.
 
Back
Top Bottom