Sheikh apinga Urais kwa mwanamke

Sheikh apinga Urais kwa mwanamke

Huyu Sheikh ni male chauvinist, analeta mambo ya male chauvinism ya kuwabagua Wanawake.

Hapa aitwe Sheikh Mkuu, kulifafanua hili na ikibidi huyu Sheikh avuliwe usheikh.

Mafundisho ya kweli ya Uislamu kuhusu mwanamke wa Kiislamu na uongozi ni haya


P
hadi nguo avuliwe
 
Muislamu wa kwanza,wakati wa Mtume Muhammad(Rehema na Amani ziwe juu Yake)ni Mwanamke Bi Khadija.Bi Khadija(Mwanamke),ndiye aliyemuongoza Mtume Muhammad(Rehema na Amani ziwe juu Yake),Yeye Mtume Muhammad(Rehema na Amani ziwe juu Yake),alipotokewa na Jibril,kumfikishia ujumbe,Mtume hakujuwa lolote ,mpaka alipomuelezea Bi Khadija,na Bi Khadija ndiye aliyemwambia kuwa huyo ni Jibril,na ndiye aliyewatokea Mitume wengi,na kuwaelezea kuhusu mambo ya dini.

Bi Khadija(Mwanamke),ndiye alimuongoza Mtume(Rehema na Amani ziwe juu Yake),Kwenda kwa mwanachuoni,aliyesoma Injili,ili amfafanulie kuhusu sifa za Mtume,atakayekuja baada ya Nabii Issa
(A.S).Na Mtume akakubali kuogozwa na mawazo ya Mwanamke,kwenda kwa huyo mwanachuoni wa Injili,na akaelezewa sifa za Mtume atakayekuja,baada ya Nabii Issa,na Mtume akakubaliana na maneno hayo.

Na kabla ya hapo,Mtume Muhammad(Rehema na Amani ziwe juu Yake),alikuwa akifanyakazi yakuajiriwa na Bi Khadija(Mwanamke),akiwa ndio kiongozi wake wa kazi,na hakulipinga hilo.

Nani aliye Muislamu,atapinga historia,ya Bi Khadija,ya kuwa Mtume,alifanyakazi chini yake,akiwa ni mwajiriwa,kabla ya kumuoa na kuwa mkewe.

Na nani atapinga kuwa Bi Khadija,(Mwanamke),ndio Muislamu wa kwanza,na ndiye vile vile wa kwanza,kumuuelekeza Mtume,kuhusu Jibril,na kumuingoza kuwa yeye ndio Mtume.

Tukija katika,Muislamu wa kwanza,kuuliwa katika uislamu,kutokana uislamu wake,ni Bi Summaya(Mwanamke),huyu aliteswa na kuuliwa,na hakuacha uislamu wake.

Nani kama Bi Khadija(Radhi za Allah,ziwe juu Yake).Mpaka Mtume anafariki,anamtaja Mwanamke huyu,jinsi alivyomuongoza katika uislamu.

Achana na hadithi,zilizoingizwa katika uislamu za israiliat,kupotosha maneno ya Mtume.Soma somo la "Ilimu l khadith",uwelewe hadithi sahihi na zisizosahihii.
FaizaFoxy , Ritz ya kweli haya au ni hadithi tu...!!?
 
22 December 2016


Romania to name female Muslim prime minister
In a country where less than 1 percent of the population is Muslim, a Tatar woman may soon become prime minister. But Sevil Shhaideh first needs approval from the president and parliament.


https://www.aljazeera.com › news
President rejects Muslim PM candidate Sevil Shhaideh | News

27 Dec 2016 — Sevil Shhaideh, a politician of Turkish origin, could have been EU nation's first female and Muslim prime

Political crisis in Romania

Sevil Shhaideh was going to make history by becoming Romania’s first Muslim and first female prime minister. Ms. Shhaideh was nominated to become prime minister by the Partidul Social Democrat (PSD), the party that decisively won legislative elections earlier this month and by its junior coalition partner, the Alliance of Liberals and Democrats (ALDE). But Romania’s president, Klaus Johannis, refused Ms. Shhaideh’s nomination, without giving […] source : Sevil Shhaideh — Hungarian Free Press
 
Wanabodi,tegea sikio kwenye maneno haya machache ya kiongozi huyu wa dini!!

Binafsi sitaki kuingia kwenye dini sana Ila hata dini zetu zote,manabii wote walikua jinsia moja!!

Hata kuumbwa kwa Hawa,kulifanywa ili awe msaidizi wa Adam,na pengine kuna somo kubwa sana pale tunapoambiwa ulitolewa sehemu ya mbavu/ubavu!!!

Hali ya sasa ya kiuchumi na kijamii na matamko ya Mama yanaakisi maandiko na mafundisho?!!
 
Akapinge msikitini. Huku hatumuelewi

Na inategemea msikiti na msikiti yaani msikiti wa Sunni , Shia, Bohora maana kuna mapokeo tofauti ndani ya Uislamu.
1648993860049.png

Sheikh Hasina, Prime Minister of the People’s Republic of Bangladesh, addresses the general debate of the 76th Session of the General Assembly of the United Nations (New York, 21-27 September 2021).

Bangladesh has the fifth largest Muslim population in the world. Most Muslims in Bangladesh identify with the Sunni sect, but there is also a small Shi’a community that lives mainly in the larger cities and there is a small Ahmadiyya community. Importantly, the Muslim community in Bangladesh (and the Bengal region more generally) developed independently from the dominant Islamic trends in India and Pakistan Source : Bangladeshi Culture

CHAPTER II
THE PRIME MINISTER AND THE CABINET
The Cabinet
55. (1) There shall be a Cabinet for Bangladesh having the Prime Minister at its head and comprising also such other Ministers as the Prime Minister may from time to time designate.




(2) The executive power of the Republic shall, in accordance with this Constitution, be exercised by or on the authority of the Prime Minister.




(3) The Cabinet shall be collectively responsible to Parliament.




(4) All executive actions of the Government shall be expressed to be taken in the name of the President.




(5) The President shall by rules specify the manner in which orders and other instruments made in his name shall be attested or authenticated, and the validity of any order or instrument so attested or authenticated shall not be questioned in any court on the ground that it was not duly made or executed.




(6) The President shall make rules for the allocation and transaction of the business of the Government.

READ MORE : The Constitution of the People‌‌‍’s Republic of Bangladesh | THE EXECUTIVE
 
Sheikh yuko sahihi ...muislam Safi huwezi kuendeshwa Na mwanamke anaeingia hedhi ....Astaghfirullah laanatulillah
Tumechochora mno Kwa heshima ya ofsi yake ngoja tukae kimya
 
Wanabodi,tegea sikio kwenye maneno haya machache ya kiongozi huyu wa dini!!

Binafsi sitaki kuingia kwenye dini sana Ila hata dini zetu zote,manabii wote walikua jinsia moja!!

Hata kuumbwa kwa Hawa,kulifanywa ili awe msaidizi wa Adam,na pengine kuna somo kubwa sana pale tunapoambiwa ulitolewa sehemu ya mbavu/ubavu!!!

Hali ya sasa ya kiuchumi na kijamii na matamko ya Mama yanaakisi maandiko na mafundisho?!!
View attachment 2174155
Hii sio Islamic State
Nchi haiendeshwi na Quran bali Katiba...

Km mnautaka sana Urais kagombeeni
 
Sheikh Hemed Jengo

Sheikh Jongo alishauri Bunge Maalumu la Katiba kuwapa nafasi wajumbe wanawake watakaokuwa katika hedhi, waruhusiwe kuapa bila kushika kitabu kitukufu, Quran.

“Siku nyingine kinamama wanakuwa katika siku maalumu (hedhi). Ni haramu kwa mujibu wa dini kushika msahafu. Atakapojieleza kuwa hali yangu si nzuri, basi aruhusiwe kuapa hivyo hivyo kwa heshima,”
 
Back
Top Bottom