Sheikh apinga Urais kwa mwanamke

Sheikh apinga Urais kwa mwanamke

Lakini si unaona yanayotokea!!?
Yapi mkuu wangu ? yanayotokea hapa Nchini? Kama ni hivyo huoni kwamba hayafanyiki kwa ujasiri? bado kuna balancing fulani inafanyika huwezi ku compare na nchi ambazo ziko under Islamic rule. Huko inafanywa kwa uwazi and every body knows
 
Wafrika tunapenda sana Shobo na waarabu asieeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani wakati wao wanafanya biashara ya utumwa ya kuwauza waafrika na kuwanunua kama wanyama walikuwa wanatumia Quran ya aina gani?!!!!! Hizi shobo wa Afrika kwa wazungu na waarabu sijui tutaacha lini?! Tazama wa China na wahindi walivyo na Tamaduni zao za kuabudu, vyakula vyao, dawa zao etc. Mtu analalamika Rais Mwanamke ilihali hata usikute ofisi anayofanya Bosi wake ni Mwanamke mbona asiache kazi?!!! Nasema Uislamu katika Africa umekaa tu kinafki maana mila na Tamaduni za dini ya kislamu kwa uchumi wa Afrika hatuwezi na ndio effect ya kubeba mambo ya watu kichwa kichwa!!! Wangapi hawapandi magari ya Umma ambayo yanakuwa na jinsia tofauti ?! Si dini yenu inakataza?!!! Wangapi mnafanya kazi katika ofisi za jinsia moja tu?! Wangapi mmesoma shule na vyuo vya jinsia mmoja tu?!!! Mbona hayo hamyasemi?!!!! Uislamu katika Afrika hautakaa ufanikiwe..... so acheni shobo na waarabu kwanza hawawapendi kivile Tazama wasichana wetu wakienda kufanya kazi huko wanayopitia katika mikono ya waarabu...

Tanzania yetu inaongozwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anayetaka masuala ya Sharia ahamie nchi za waaraabu kule hata wanawake hawaruhusiwi kudrive magari
TBOSS tafadhali kwanza msikilize alichosema, yeye amesema kilicho andikwa kwenye Qur'an...na wala halazimishi watanzania tufuate kile kilichoandika hapo....amesemwa "kumbushaneni, ama kwa hakika ukumbushe umewafaa walioamini" kama wewe hujaamini haikuhusu! Lakini pia kuna mangapi yameandikwa kama makatazo kwenye biblia na watu wanafanya, je ina maana wahubiri waache kukemea kwa sababu tu watu wanafanya yale yaliyokatazwa?
 
Daah hawa ndugu zangu sijui wakoje tu... Majuzi nimepita maeneo fulani karibu na msikiti. Nilichokiona na ubaguzi wa wazi kabisa... Jengo moja la msikiti... Ukumbi mmoja mkubwa... Ukuta ukiwa umewatenga wanaume na wanawake! Zaidi ya yote wanawakr karibia wote wakiwa wamevalia ninja style...
 
Daah hawa ndugu zangu sijui wakoje tu... Majuzi nimepita maeneo fulani karibu na msikiti. Nilichokiona na ubaguzi wa wazi kabisa... Jengo moja la msikiti... Ukumbi mmoja mkubwa... Ukuta ukiwa umewatenga wanaume na wanawake! Zaidi ya yote wanawakr karibia wote wakiwa wamevalia ninja style...
Kwani kuvaa kininja kuna shida gani mkuu?

Hautaki wajisitiri?
 
Daah hawa ndugu zangu sijui wakoje tu... Majuzi nimepita maeneo fulani karibu na msikiti. Nilichokiona na ubaguzi wa wazi kabisa... Jengo moja la msikiti... Ukumbi mmoja mkubwa... Ukuta ukiwa umewatenga wanaume na wanawake! Zaidi ya yote wanawakr karibia wote wakiwa wamevalia ninja style...
Yni sasa wewe ushaona wapi + -zikakaa sehemu moja hlf kusitokee la kutokea?

Imani ya kiislamu inamuheshimu kila mtu hasa m.ke ww untka watu wachanganyike watongozane hlf faida yake ni nini?
 
Yni sasa wewe ushaona wapi + -zikakaa sehemu moja hlf kusitokee la kutokea?

Imani ya kiislamu inamuheshimu kila mtu hasa m.ke ww untka watu wachanganyike watongozane hlf faida yake ni nini?
Muda wa kutongozana wanautoa wapi na wapo ibadani?
 
Back
Top Bottom