Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
👍Vingozi wa dini ni moja ya pillars zinazotumiwa na CCM kuwapumbaza wananchi. Nyingine ni mpira, hasa Yanga na Simba na wasanii (ambao wengi ni makahaba na missition town).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👍Vingozi wa dini ni moja ya pillars zinazotumiwa na CCM kuwapumbaza wananchi. Nyingine ni mpira, hasa Yanga na Simba na wasanii (ambao wengi ni makahaba na missition town).
No way ajira portal ipo si kwa ubaya Mungu ibariki TanzaniaSheikh Ibrahim Bombo kutoka Mkoani Mbeya amependekeza Serikali ianzishe utaratibu wa kulipa mishahara kwa Viongozi mbalimbali wa Dini kutokana na kazi nzuri wanayoifanya ya kulinda amani na kuhamasisha maendeleo Nchini Tanzania ambapo amependekeza kiwango chao cha chini cha mshahara kisipungue Tsh. laki tisa (900,000/=).
Sheikh Bombo ametoa maoni yake kwenye kongamano la kikanda, Kanda ya Kusini la kukusanya maoni ya Wannanchi kuhusu Dira mpya ya maendeleo ya mwaka 2050.
“Viongozi wa Dini wanafanya kazi nzuri sana kwenye hili Taifa hasa kuliombea amani na jambo lingine, ningependa kuona Viongozi wa Dini waingizwe kwenye pay roll ya Serikali kila mwezi wapate maokoto, ni muhimu sana na kiwango cha chini iwe 974,310, hiyo ianze kulipwa kuanzia mwaka 2025 kwenda 2050”
View attachment 3060936
Hakika sheikh mweupe sana kichwani,tena hasa,na hawa ndo tumewapa kulea vijana wetu, Kanisikitisha sana kuongolea mambo ya ndoa eti uwekwe umri kikomo,hajui hata maana ya ndoa ,akishaelewa mana ya ndoa kuwa ni muunganiko wa hiari kati ya mwanamke na mwanamme hataweza kurudiahuu upuuzi kuuongelea hadharani.Shule muhimu sana
Madrasa ni tatizo kubwa dunianiSheikh Ibrahim Bombo kutoka Mkoani Mbeya amependekeza Serikali ianzishe utaratibu wa kulipa mishahara kwa Viongozi mbalimbali wa Dini kutokana na kazi nzuri wanayoifanya ya kulinda amani na kuhamasisha maendeleo Nchini Tanzania ambapo amependekeza kiwango chao cha chini cha mshahara kisipungue Tsh. laki tisa (900,000/=).
Sheikh Bombo ametoa maoni yake kwenye kongamano la kikanda, Kanda ya Kusini la kukusanya maoni ya Wannanchi kuhusu Dira mpya ya maendeleo ya mwaka 2050.
“Viongozi wa Dini wanafanya kazi nzuri sana kwenye hili Taifa hasa kuliombea amani na jambo lingine, ningependa kuona Viongozi wa Dini waingizwe kwenye pay roll ya Serikali kila mwezi wapate maokoto, ni muhimu sana na kiwango cha chini iwe 974,310, hiyo ianze kulipwa kuanzia mwaka 2025 kwenda 2050”
View attachment 3060936
HILI JAMBO SIYO BAYA KABISA, LAKINI TATIZO NI VIONGOZI WA MADHEHEBU GANI NA WA NGAZI GANI?, (TAASISI TAMBULIWA) ZILIZO ANDIKISHWA KISHERIA NYUMA YA MIAKA YA 1950. BUT WHY?Sheikh Ibrahim Bombo kutoka Mkoani Mbeya amependekeza Serikali ianzishe utaratibu wa kulipa mishahara kwa Viongozi mbalimbali wa Dini kutokana na kazi nzuri wanayoifanya ya kulinda amani na kuhamasisha maendeleo Nchini Tanzania ambapo amependekeza kiwango chao cha chini cha mshahara kisipungue Tsh. laki tisa (900,000/=).
Sheikh Bombo ametoa maoni yake kwenye kongamano la kikanda, Kanda ya Kusini la kukusanya maoni ya Wannanchi kuhusu Dira mpya ya maendeleo ya mwaka 2050.
“Viongozi wa Dini wanafanya kazi nzuri sana kwenye hili Taifa hasa kuliombea amani na jambo lingine, ningependa kuona Viongozi wa Dini waingizwe kwenye pay roll ya Serikali kila mwezi wapate maokoto, ni muhimu sana na kiwango cha chini iwe 974,310, hiyo ianze kulipwa kuanzia mwaka 2025 kwenda 2050”
View attachment 3060936
Kweli kabisa mkuu. Wachungaji na maimamu wataanza na Tsh 900,000. Kwa maaskofu na masheikh, mshaharunaweza kupaa hadi 1,500,000 au zaidiMoja kati ya viongozi wanaolipwa vizuri ni viongozi wa dini. Na wana allowance nyingi zaidi, kuliko mfanyakazi wa kawaida.
Maoni yangu... Waongezewe zaidi mshahara tena kuanzia 1,000,000/- kwenda juu