Sheikh Bombo: Viongozi wa Dini tuingizwe kwenye payroll ya Serikali

Sheikh Bombo: Viongozi wa Dini tuingizwe kwenye payroll ya Serikali

Uislam haujamkataza Muislam kufanya kazi, serikali hatutaki kodi zetu apewe yeyote kwa mambo ya dini.

Hata zile kodi wanazosamehewa na ruzuku wanazopewa hao wanaoijidai ni "vyombo vya dini" zifutwe zote.

Wizi mtupu.
Bibi mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe? Kama nyie waislamu hamtaki mishahara, andikeni barua za kujitoa ili nafasi yenu ichukuliwe na viongozi wa dini za asili.
 
Kwa sasa Serikali ya CCM ni serikali ya Ajabu sana kutokea duniani.
Serikali inayoendeshwa kama ile ya Kolombia enzi za matajiri wa kuuza madawa ya kulevya duniani .
Kwa sasa serikali ya CCM ni serikali ya kibabe kwenye kuuza magendo,madini ,ardhi na wanyama pori.

Siku Mungu akiniweka madarakani kila mtanzania atapata bonus inayotokana na madini,gesi,wanyama,utalii ,madini na mafuta.

Viwanda vya maji vitalipa kodi ndogo sana ya 3% kwa kila chupa wanayozalisha na itapita kwenye scana maalumu ili maji yalipiwe kodi kulingana na latumizi.
Nitaimarisha sana shirika la nyumba na kumfukuza mbali MKURUGENZI ALIYEPO SASA na kutaifisha mali zake zote kutokana kulitia hasara taifa kwa kuangalia madili yake badala ya kujenga nyumba za wananchi kuishi.
Nitajenga barabara za mwendo kasi kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine sambamba na Reli hasa mikoa ya Kanda ya kati ,kaskazini na kanda ya ziwa mpaka Kigoma. Hii itakua ni barabara za kulipia ambazo zutajengwa na wawekezaji wa ndani wakisaidiwa na serikali . Mtu akitoka Moshi kwa mfano na gari binafsi hatalazimika kupita barabara ya kuzunguka kwenye barabara yenye speed limiti za chini ya 80KPH.

Lakini pia Mungu akiniweka akiniweka mmadarakani nitadeka sheria ya dharura ya kuvifuta vyama vyote vya siasa ikiwemo CCM ili visajiliwe upya vikiwa na majina mapya. Hii itasaidia kizazi hiki kujenga vyama vyao vinavyozingatia maisha ya sasa kwa usawa. Vyama vilivyopo vimekua kama dini na vinapewa utukufu kama dini na viongozi wake wanaogopwa na kutukuzwa kuliko Mungu. Nitavifutilia mbali na itakua marufuku kutumia bendera za chama kwenye shughuli zozote za kiserikali ikiwemo kampeni ya Urais.
.
Mungu akiniweka Madarakani nitahakikisha kila kijiji kinakua na migambo mmoja atakayelipwa posho na serikali kama sehemu ya kuimarisha usalama wa nchi.
Nitapunguza posho za Wabunge na mawaziri.
Mawaziri watapatikana kwa kutangaza ajira ya mkataba kwa kila wizara kulingana na taaluma ya wizara husika . Wizara ya Ulinzi lazima awe ni mtu aliyewahi kuwa manajeshi au usalama wa taifa au polisi au magereza lakini sio raia.
Wizara ya afya lazima awe ni Dakrari au aliwahi kuwa daktari .
Wizara ya Kilimo awe amesoma kilimo
Mifugo hivyo hivyo na wizara ya fedha awe kama Mwigulu lakini atatakiwa kuandika andiko la namna ya kukuza uchumi wa nchi na kuongeza thamani ya pesa yetu kwa kasi kulingana na rasilimali tulizo nazo.

Nitafuta safari zisizo na tija kwenda nje ya nchi na hata ndani ya nchi kwa mawaziri .
Kila Waziri atatembekea Gari isiyozidi sh. Mil. 100. Na ataitunza kama gari yake binafsi na akimaliza mkataba wake ataipewa kama zawadi endapo ameitunza vizuri.

Majeshi yatakuwa yanafanya kazi za kilimo ,uvuvi ,ufugaji na viwanda vidogo vidogo vya maziwa,ufugaji wa nyuki, ukamuaji wa mafuta , kushona nguo za mitindo na kuzipeleka sokoni.
Itakua ni marufuku kununua nguo iliyoshonwa nje ya nchi iliwemo madela. Madela yatashonwa na wafungwa na kuuzwa kwa bei ya chini sana.

Nitafuta viinua mgongo na mishahara kwa wenza wa viongozi wastaafu. Ataendelea kupata stahiki hizo mama Maria Nyerere peke yake kutokana na Mwalimu kutokujihusisha na biashara akiwa madaraka wala Familia yake na paia Warioba na familia yake itaenziwa kwa uadilifu wake na uzalendo wake kwa nchi . Wastaafu wengine watafutiwa huduma zote za serikali isipokua isipokuwa ulinzi tuu.
Huduma muhimu zitaelekezwa kwa wakuu wa majedhi wastaafu kulingana na ugumu wa kazi waliopitua ikiwemo kuwa tayari kufa kwa ajili ya kupigania nchi . Hawa wataangaliwa kwa karibu sana ili kuwatia moyo zaidi.

Mali zote za Viongozi wa umma zitawekwa hadharani ili kuepuka udanganyifu ,wizi ,ukwepaji wa kodi na kuporomoka kwa thamani ya pesa kutokana na watu kuiba fedha za umma na kumilikisha watoto wadogo wasio na uwezo wa kufanya kazi. Asiyefanya kazi asile iwe ni kwa wote.

Nitahamasisha mashirika yote ya dini kuanzisha benki zenye riba nafuu kwa ajili ya kuwakopesha wananchi wote ikiwemo benki ya kiislam. Utendaji kazi wa Benki ya kiislam utafundishwa mashuleni na namna unavyofanya kazi.
Nitajenga misikiti na makanisa kila mahali penye uhitaji hii itajengwa kwa mimi Mh.1000 digits kudhiriliana na matajiri wa ndani kama sadaka zao.

Nitafuta misaada yote toka nje yenye lengo la kuleta ugaidi,ushoga na hamasa za kuwagawa wananchi kwa namna yoyote haya ya kijinsia .
Nitahakilisha Wenyeviti wote wa serikali za mitaa wanalipwa posho maalumu za vikao na kujikimu ili kuwajengea uzalendo zaidi katika kuimarisha usalama wa nchi.
Viongozi wote watapatikana kidemokrasia na atakayeshindwa hata kwa kura moja kamwe hata tangazwa na itakua ni kosa la uhaini kumtangaza mgombea aliyenyimwa kura na wananchi kwani ni nia mbya ya kuhatarisha amani ya nchi.

Viongozi wote wa dini watahamasishwa ili wazingatie miongozo ya vitabu vya dini zao kama kinamkataza kufanya biashara kwenye nyumba za ibada basi itakua ni kukiuka iman na udanganyifu hivyo atafutiwa usajili mara moja. Taasisi zote za dini zitalipa kodi kwa kuagiza bidhaa zote kutoka nje mana wanaochanga na kutoa sadaka ni waumini wanaohitaji huduma bora na mishahara minono toka serikalini.

Fedha zote na tozo na maushuru mbalimbali yote yatalipwa kwenda hazina. Hakuna taasisi itakayokuwa na akaunti ya kukusanya fedha.

Wizara zote na taasisi zote zitakua na mishahara sawa kulingana na Elimu zao kuwa sawa. Tofauti itakua
 
Kwa sasa Serikali ya CCM ni serikali ya Ajabu sana kutokea duniani.
Serikali inayoendeshwa kama ile ya Kolombia enzi za matajiri wa kuuza madawa ya kulevya duniani .
Kwa sasa serikali ya CCM ni serikali ya kibabe kwenye kuuza magendo,madini ,ardhi na wanyama pori.

Siku Mungu akiniweka madarakani kila mtanzania atapata bonus inayotokana na madini,gesi,wanyama,utalii ,madini na mafuta.

Viwanda vya maji vitalipa kodi ndogo sana ya 3% kwa kila chupa wanayozalisha na itapita kwenye scana maalumu ili maji yalipiwe kodi kulingana na latumizi.
Nitaimarisha sana shirika la nyumba na kumfukuza mbali MKURUGENZI ALIYEPO SASA na kutaifisha mali zake zote kutokana kulitia hasara taifa kwa kuangalia madili yake badala ya kujenga nyumba za wananchi kuishi.
Nitajenga barabara za mwendo kasi kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine sambamba na Reli hasa mikoa ya Kanda ya kati ,kaskazini na kanda ya ziwa mpaka Kigoma. Hii itakua ni barabara za kulipia ambazo zutajengwa na wawekezaji wa ndani wakisaidiwa na serikali . Mtu akitoka Moshi kwa mfano na gari binafsi hatalazimika kupita barabara ya kuzunguka kwenye barabara yenye speed limiti za chini ya 80KPH.

Lakini pia Mungu akiniweka akiniweka mmadarakani nitadeka sheria ya dharura ya kuvifuta vyama vyote vya siasa ikiwemo CCM ili visajiliwe upya vikiwa na majina mapya. Hii itasaidia kizazi hiki kujenga vyama vyao vinavyozingatia maisha ya sasa kwa usawa. Vyama vilivyopo vimekua kama dini na vinapewa utukufu kama dini na viongozi wake wanaogopwa na kutukuzwa kuliko Mungu. Nitavifutilia mbali na itakua marufuku kutumia bendera za chama kwenye shughuli zozote za kiserikali ikiwemo kampeni ya Urais.
.
Mungu akiniweka Madarakani nitahakikisha kila kijiji kinakua na migambo mmoja atakayelipwa posho na serikali kama sehemu ya kuimarisha usalama wa nchi.
Nitapunguza posho za Wabunge na mawaziri.
Mawaziri watapatikana kwa kutangaza ajira ya mkataba kwa kila wizara kulingana na taaluma ya wizara husika . Wizara ya Ulinzi lazima awe ni mtu aliyewahi kuwa manajeshi au usalama wa taifa au polisi au magereza lakini sio raia.
Wizara ya afya lazima awe ni Dakrari au aliwahi kuwa daktari .
Wizara ya Kilimo awe amesoma kilimo
Mifugo hivyo hivyo na wizara ya fedha awe kama Mwigulu lakini atatakiwa kuandika andiko la namna ya kukuza uchumi wa nchi na kuongeza thamani ya pesa yetu kwa kasi kulingana na rasilimali tulizo nazo.

Nitafuta safari zisizo na tija kwenda nje ya nchi na hata ndani ya nchi kwa mawaziri .
Kila Waziri atatembekea Gari isiyozidi sh. Mil. 100. Na ataitunza kama gari yake binafsi na akimaliza mkataba wake ataipewa kama zawadi endapo ameitunza vizuri.

Majeshi yatakuwa yanafanya kazi za kilimo ,uvuvi ,ufugaji na viwanda vidogo vidogo vya maziwa,ufugaji wa nyuki, ukamuaji wa mafuta , kushona nguo za mitindo na kuzipeleka sokoni.
Itakua ni marufuku kununua nguo iliyoshonwa nje ya nchi iliwemo madela. Madela yatashonwa na wafungwa na kuuzwa kwa bei ya chini sana.

Nitafuta viinua mgongo na mishahara kwa wenza wa viongozi wastaafu. Ataendelea kupata stahiki hizo mama Maria Nyerere peke yake kutokana na Mwalimu kutokujihusisha na biashara akiwa madaraka wala Familia yake na paia Warioba na familia yake itaenziwa kwa uadilifu wake na uzalendo wake kwa nchi . Wastaafu wengine watafutiwa huduma zote za serikali isipokua isipokuwa ulinzi tuu.
Huduma muhimu zitaelekezwa kwa wakuu wa majedhi wastaafu kulingana na ugumu wa kazi waliopitua ikiwemo kuwa tayari kufa kwa ajili ya kupigania nchi . Hawa wataangaliwa kwa karibu sana ili kuwatia moyo zaidi.

Mali zote za Viongozi wa umma zitawekwa hadharani ili kuepuka udanganyifu ,wizi ,ukwepaji wa kodi na kuporomoka kwa thamani ya pesa kutokana na watu kuiba fedha za umma na kumilikisha watoto wadogo wasio na uwezo wa kufanya kazi. Asiyefanya kazi asile iwe ni kwa wote.

Nitahamasisha mashirika yote ya dini kuanzisha benki zenye riba nafuu kwa ajili ya kuwakopesha wananchi wote ikiwemo benki ya kiislam. Utendaji kazi wa Benki ya kiislam utafundishwa mashuleni na namna unavyofanya kazi.
Nitajenga misikiti na makanisa kila mahali penye uhitaji hii itajengwa kwa mimi Mh.1000 digits kudhiriliana na matajiri wa ndani kama sadaka zao.

Nitafuta misaada yote toka nje yenye lengo la kuleta ugaidi,ushoga na hamasa za kuwagawa wananchi kwa namna yoyote haya ya kijinsia .
Nitahakilisha Wenyeviti wote wa serikali za mitaa wanalipwa posho maalumu za vikao na kujikimu ili kuwajengea uzalendo zaidi katika kuimarisha usalama wa nchi.
Viongozi wote watapatikana kidemokrasia na atakayeshindwa hata kwa kura moja kamwe hata tangazwa na itakua ni kosa la uhaini kumtangaza mgombea aliyenyimwa kura na wananchi kwani ni nia mbya ya kuhatarisha amani ya nchi.

Viongozi wote wa dini watahamasishwa ili wazingatie miongozo ya vitabu vya dini zao kama kinamkataza kufanya biashara kwenye nyumba za ibada basi itakua ni kukiuka iman na udanganyifu hivyo atafutiwa usajili mara moja. Taasisi zote za dini zitalipa kodi kwa kuagiza bidhaa zote kutoka nje mana wanaochanga na kutoa sadaka ni waumini wanaohitaji huduma bora na mishahara minono toka serikalini.

Fedha zote na tozo na maushuru mbalimbali yote yatalipwa kwenda hazina. Hakuna taasisi itakayokuwa na akaunti ya kukusanya fedha.

Wizara zote na taasisi zote zitakua na mishahara sawa kulingana na Elimu zao kuwa sawa. Tofauti itakua
Mkuu ; somehow una akili .
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Kuna taarifa zinapenya chini kwa chini kuwa serikali iko mbioni kuanza kuwalipa mishahara viongozi wa dini. Sababu kubwa ya kuwalipa ni kwa kuwa kazi za viongozi wa dini kupitia mahubiri huwafanya wananchi watawalike kwa urahisi.

Hivyo, ukweli huu umeishawishi serikali kuona umuhimu wa dini katika utawala, pamoja na kwamba serikali haina dini na haifungamani na dini yoyote. Viongozi wa dini watakaoingia kwenye mkumbo huu ni wa dini ya kiislamu na kikristo. Viongozi wa dini za asili hawatahusika.

Kiasi cha fedha kinachopendekezwa ni kuanzia Tsh 900,000 lakini kiwango kinaweza kuongezeka kutegemea cheo cha kiongozi husika. Kwa mfano, masheikh na maaskofu watakuwa wanalipwa mishahara minono zaidi.

MAONI YANGU
Ukiangalia katika dhana nyingine utaona viongozi wa dini wanapaswa kulipwa. Dhana ninayoisemea ni kuona dini kama nyenzo inayotumiwa au inayosaidia serikali katika kumanage/kutawala watu wao. Viongozi wa dini wanatumika na serikali katika kutimiza malengo yao. Ikifika wakati wa kampeni za kisiasa, chanjo, milipuko ya magonjwa, psychological healings, etc hapo ndo utaona umuhimu kama mtawala kuwatumia viongozi wa kidini na utaona kama vile wanastahili kulipwa.​

Ukiangalia kwa upande wa imani kuwa dini ni imani then utaona hawastahili kulipwa. Maana sababu ni kuwa Imani zao zitakuwa compromised na kwa sababu hiyo hawatoweza kusimama na kukemea Jamii au serikali.

Lakini kuwalipa mishahara viongozi hawa, huku wakiendelea kupokea sadaka, swadaka na fungu la kumi, ni dhahiri kutawafanya wajikite zaidi kuwafanya wananchi watawalike kuliko kuwafanya waokoke na kuingia mbinguni au firdaus. Hilo ndilo tatizo pekee ninaloliona hapa.

====

Sheikh Ibrahim Bombo kutoka Mkoani Mbeya amependekeza Serikali ianzishe utaratibu wa kulipa mishahara kwa viongozi mbalimbali wa dini kutokana na kazi nzuri wanayoifanya ya kulinda amani na kuhamasisha maendeleo nchini Tanzania ambapo amependekeza kiwango chao cha chini cha mshahara kisipungue Tsh. laki tisa (900,000/=).Sheikh Bombo ametoa maoni yake kwenye kongamano la kikanda, Kanda ya Kusini la kukusanya maoni ya Wannanchi kuhusu Dira mpya ya maendeleo ya mwaka 2050.“Viongozi wa dini wanafanya kazi nzuri sana kwenye hili Taifa hasa kuliombea amani na jambo lingine, ningependa kuona viongozi wa dini waingizwe kwenye pay roll ya serikali kila mwezi wapate maokoto, ni muhimu sana na kiwango cha chini iwe 974,310, hiyo ianze kulipwa kuanzia mwaka 2025 kwenda 2050
Anzisha kanisa, huko kuna sadaka zilizonona sio za shilingi miambili na miatano, wiki moja tu utaoa wake wawili zaidi.
 
Viongozi wa dini wameshindwa kumuomba Mungu, wanaiomba serikali sasa 🤣🤣🤣

Hii njaa si mchezo.
Sheikh anasema “wanaomba MAOKOTO” nikajua huyu naye mganga njaa flani kwenye mwavuli wa dini
 
Na sisi wakulima tupewe ulinzi wa geshi ra porishi.
 
Kwa sasa Serikali ya CCM ni serikali ya Ajabu sana kutokea duniani.
Serikali inayoendeshwa kama ile ya Kolombia enzi za matajiri wa kuuza madawa ya kulevya duniani .
Kwa sasa serikali ya CCM ni serikali ya kibabe kwenye kuuza magendo,madini ,ardhi na wanyama pori.

Siku Mungu akiniweka madarakani kila mtanzania atapata bonus inayotokana na madini,gesi,wanyama,utalii ,madini na mafuta.

Viwanda vya maji vitalipa kodi ndogo sana ya 3% kwa kila chupa wanayozalisha na itapita kwenye scana maalumu ili maji yalipiwe kodi kulingana na latumizi.
Nitaimarisha sana shirika la nyumba na kumfukuza mbali MKURUGENZI ALIYEPO SASA na kutaifisha mali zake zote kutokana kulitia hasara taifa kwa kuangalia madili yake badala ya kujenga nyumba za wananchi kuishi.
Nitajenga barabara za mwendo kasi kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine sambamba na Reli hasa mikoa ya Kanda ya kati ,kaskazini na kanda ya ziwa mpaka Kigoma. Hii itakua ni barabara za kulipia ambazo zutajengwa na wawekezaji wa ndani wakisaidiwa na serikali . Mtu akitoka Moshi kwa mfano na gari binafsi hatalazimika kupita barabara ya kuzunguka kwenye barabara yenye speed limiti za chini ya 80KPH.

Lakini pia Mungu akiniweka akiniweka mmadarakani nitadeka sheria ya dharura ya kuvifuta vyama vyote vya siasa ikiwemo CCM ili visajiliwe upya vikiwa na majina mapya. Hii itasaidia kizazi hiki kujenga vyama vyao vinavyozingatia maisha ya sasa kwa usawa. Vyama vilivyopo vimekua kama dini na vinapewa utukufu kama dini na viongozi wake wanaogopwa na kutukuzwa kuliko Mungu. Nitavifutilia mbali na itakua marufuku kutumia bendera za chama kwenye shughuli zozote za kiserikali ikiwemo kampeni ya Urais.
.
Mungu akiniweka Madarakani nitahakikisha kila kijiji kinakua na migambo mmoja atakayelipwa posho na serikali kama sehemu ya kuimarisha usalama wa nchi.
Nitapunguza posho za Wabunge na mawaziri.
Mawaziri watapatikana kwa kutangaza ajira ya mkataba kwa kila wizara kulingana na taaluma ya wizara husika . Wizara ya Ulinzi lazima awe ni mtu aliyewahi kuwa manajeshi au usalama wa taifa au polisi au magereza lakini sio raia.
Wizara ya afya lazima awe ni Dakrari au aliwahi kuwa daktari .
Wizara ya Kilimo awe amesoma kilimo
Mifugo hivyo hivyo na wizara ya fedha awe kama Mwigulu lakini atatakiwa kuandika andiko la namna ya kukuza uchumi wa nchi na kuongeza thamani ya pesa yetu kwa kasi kulingana na rasilimali tulizo nazo.

Nitafuta safari zisizo na tija kwenda nje ya nchi na hata ndani ya nchi kwa mawaziri .
Kila Waziri atatembekea Gari isiyozidi sh. Mil. 100. Na ataitunza kama gari yake binafsi na akimaliza mkataba wake ataipewa kama zawadi endapo ameitunza vizuri.

Majeshi yatakuwa yanafanya kazi za kilimo ,uvuvi ,ufugaji na viwanda vidogo vidogo vya maziwa,ufugaji wa nyuki, ukamuaji wa mafuta , kushona nguo za mitindo na kuzipeleka sokoni.
Itakua ni marufuku kununua nguo iliyoshonwa nje ya nchi iliwemo madela. Madela yatashonwa na wafungwa na kuuzwa kwa bei ya chini sana.

Nitafuta viinua mgongo na mishahara kwa wenza wa viongozi wastaafu. Ataendelea kupata stahiki hizo mama Maria Nyerere peke yake kutokana na Mwalimu kutokujihusisha na biashara akiwa madaraka wala Familia yake na paia Warioba na familia yake itaenziwa kwa uadilifu wake na uzalendo wake kwa nchi . Wastaafu wengine watafutiwa huduma zote za serikali isipokua isipokuwa ulinzi tuu.
Huduma muhimu zitaelekezwa kwa wakuu wa majedhi wastaafu kulingana na ugumu wa kazi waliopitua ikiwemo kuwa tayari kufa kwa ajili ya kupigania nchi . Hawa wataangaliwa kwa karibu sana ili kuwatia moyo zaidi.

Mali zote za Viongozi wa umma zitawekwa hadharani ili kuepuka udanganyifu ,wizi ,ukwepaji wa kodi na kuporomoka kwa thamani ya pesa kutokana na watu kuiba fedha za umma na kumilikisha watoto wadogo wasio na uwezo wa kufanya kazi. Asiyefanya kazi asile iwe ni kwa wote.

Nitahamasisha mashirika yote ya dini kuanzisha benki zenye riba nafuu kwa ajili ya kuwakopesha wananchi wote ikiwemo benki ya kiislam. Utendaji kazi wa Benki ya kiislam utafundishwa mashuleni na namna unavyofanya kazi.
Nitajenga misikiti na makanisa kila mahali penye uhitaji hii itajengwa kwa mimi Mh.1000 digits kudhiriliana na matajiri wa ndani kama sadaka zao.

Nitafuta misaada yote toka nje yenye lengo la kuleta ugaidi,ushoga na hamasa za kuwagawa wananchi kwa namna yoyote haya ya kijinsia .
Nitahakilisha Wenyeviti wote wa serikali za mitaa wanalipwa posho maalumu za vikao na kujikimu ili kuwajengea uzalendo zaidi katika kuimarisha usalama wa nchi.
Viongozi wote watapatikana kidemokrasia na atakayeshindwa hata kwa kura moja kamwe hata tangazwa na itakua ni kosa la uhaini kumtangaza mgombea aliyenyimwa kura na wananchi kwani ni nia mbya ya kuhatarisha amani ya nchi.

Viongozi wote wa dini watahamasishwa ili wazingatie miongozo ya vitabu vya dini zao kama kinamkataza kufanya biashara kwenye nyumba za ibada basi itakua ni kukiuka iman na udanganyifu hivyo atafutiwa usajili mara moja. Taasisi zote za dini zitalipa kodi kwa kuagiza bidhaa zote kutoka nje mana wanaochanga na kutoa sadaka ni waumini wanaohitaji huduma bora na mishahara minono toka serikalini.

Fedha zote na tozo na maushuru mbalimbali yote yatalipwa kwenda hazina. Hakuna taasisi itakayokuwa na akaunti ya kukusanya fedha.

Wizara zote na taasisi zote zitakua na mishahara sawa kulingana na Elimu zao kuwa sawa. Tofauti itakua
Mkuu umeongea ukweli 100+%. Uchambuzi wako upo makini sana.
 
Wanawakamua waumini wao na sasa wameona haitoshi wanataka waikamue na Serikali.

Dini ni utapeli mtupu
 
Yaani wanazopiga kwa Waumini wao hazitoshi wanataka na mishahara ya serikali?
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Kuna taarifa zinapenya chini kwa chini kuwa serikali iko mbioni kuanza kuwalipa mishahara viongozi wa dini. Sababu kubwa ya kuwalipa ni kwa kuwa kazi za viongozi wa dini kupitia mahubiri huwafanya wananchi watawalike kwa urahisi.

Hivyo, ukweli huu umeishawishi serikali kuona umuhimu wa dini katika utawala, pamoja na kwamba serikali haina dini na haifungamani na dini yoyote. Viongozi wa dini watakaoingia kwenye mkumbo huu ni wa dini ya kiislamu na kikristo. Viongozi wa dini za asili hawatahusika.

Kiasi cha fedha kinachopendekezwa ni kuanzia Tsh 900,000 lakini kiwango kinaweza kuongezeka kutegemea cheo cha kiongozi husika. Kwa mfano, masheikh na maaskofu watakuwa wanalipwa mishahara minono zaidi.

MAONI YANGU
Ukiangalia katika dhana nyingine utaona viongozi wa dini wanapaswa kulipwa. Dhana ninayoisemea ni kuona dini kama nyenzo inayotumiwa au inayosaidia serikali katika kumanage/kutawala watu wao. Viongozi wa dini wanatumika na serikali katika kutimiza malengo yao. Ikifika wakati wa kampeni za kisiasa, chanjo, milipuko ya magonjwa, psychological healings, etc hapo ndo utaona umuhimu kama mtawala kuwatumia viongozi wa kidini na utaona kama vile wanastahili kulipwa.​

Ukiangalia kwa upande wa imani kuwa dini ni imani then utaona hawastahili kulipwa. Maana sababu ni kuwa Imani zao zitakuwa compromised na kwa sababu hiyo hawatoweza kusimama na kukemea Jamii au serikali.

Lakini kuwalipa mishahara viongozi hawa, huku wakiendelea kupokea sadaka, swadaka na fungu la kumi, ni dhahiri kutawafanya wajikite zaidi kuwafanya wananchi watawalike kuliko kuwafanya waokoke na kuingia mbinguni au firdaus. Hilo ndilo tatizo pekee ninaloliona hapa.

====

Sheikh Ibrahim Bombo kutoka Mkoani Mbeya amependekeza Serikali ianzishe utaratibu wa kulipa mishahara kwa viongozi mbalimbali wa dini kutokana na kazi nzuri wanayoifanya ya kulinda amani na kuhamasisha maendeleo nchini Tanzania ambapo amependekeza kiwango chao cha chini cha mshahara kisipungue Tsh. laki tisa (900,000/=).Sheikh Bombo ametoa maoni yake kwenye kongamano la kikanda, Kanda ya Kusini la kukusanya maoni ya Wannanchi kuhusu Dira mpya ya maendeleo ya mwaka 2050.“Viongozi wa dini wanafanya kazi nzuri sana kwenye hili Taifa hasa kuliombea amani na jambo lingine, ningependa kuona viongozi wa dini waingizwe kwenye pay roll ya serikali kila mwezi wapate maokoto, ni muhimu sana na kiwango cha chini iwe 974,310, hiyo ianze kulipwa kuanzia mwaka 2025 kwenda 2050
Hii ni ngumu sana kwa serikali kuwalipa viongozi wa dini! Tambua kuwa serikali haina dini!
 
Kweli kabisa mkuu. Wachungaji na maimamu wataanza na Tsh 900,000. Kwa maaskofu na masheikh, mshaharunaweza kupaa hadi 1,500,000 au zaidi

Mm naona ni sawa tu ila kinachoniuma ni kuona sisi viongozi wa dini za asili tumewekwa pembeni. Sijui serikali ina mpango gani na sisi.
😆😆 Atoke mmoja wenu alalamike pia
 
Sheikh Ibrahim Bombo kutoka Mkoani Mbeya amependekeza Serikali ianzishe utaratibu wa kulipa mishahara kwa Viongozi mbalimbali wa Dini kutokana na kazi nzuri wanayoifanya ya kulinda amani na kuhamasisha maendeleo Nchini Tanzania ambapo amependekeza kiwango chao cha chini cha mshahara kisipungue Tsh. laki tisa (900,000/=).

Sheikh Bombo ametoa maoni yake kwenye kongamano la kikanda, Kanda ya Kusini la kukusanya maoni ya Wannanchi kuhusu Dira mpya ya maendeleo ya mwaka 2050.

“Viongozi wa Dini wanafanya kazi nzuri sana kwenye hili Taifa hasa kuliombea amani na jambo lingine, ningependa kuona Viongozi wa Dini waingizwe kwenye pay roll ya Serikali kila mwezi wapate maokoto, ni muhimu sana na kiwango cha chini iwe 974,310, hiyo ianze kulipwa kuanzia mwaka 2025 kwenda 2050”

View attachment 3060936
Kazingua huyu....
 
Huyo shekhe bombo mshahara wa kwanza tu anaongeza mke , ila ndugu zangu katika imaaan Elimu elimu elimu nafikiri mmejionea
 
Mkuu, sadaka hazitoshi ndio maana inashauriwa viongozi hawa walipwe. Serikali hawapaswi kukusanya sadaka. Hawaaminiki.
Utakuwa ni kutaka kuleta Fujo zisizo na kichwa wala miguu maana kuna watu wanapenda kitonga ukiruhusu tu hivi utaona wimbi linalo jiita viongozi wa dini Ili kukidhi vigizo basi kigezo kiwe uweumesajiliwa serekalini alafu uwe na elimu ya dini kutoka chuo killnchotambulika.
 
Back
Top Bottom