Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kuwalipa mishahara viongozi wa dini wewe kinakuuma nini? Wanastahili kulipwa, tena suala hili ni kama limekuja kwa kuchelewa sana.Kuifungamanisha dola na dini ni kitu hatari sana.
Hakuna kitu kama hicho kinaweza kutokea, uzuri utawala wa ccm mwisho wao umekaribia basi sahau kuhusu hilo.
Kama mnaamini ni wito kwanini akina GeoDavie, Kiboko ya Wachawi na Suguye wanawalipisha waumini wao mamilioni ya fedha ili kuwahudumia kiroho?Kwa sisi wakristo tunaamini uchungaji ni wito. Wanalipwa pesa za kuendesha familia zao tu.
Matapeli haoKama mnaamini ni wito kwanini akina GeoDavie, Kiboko ya Wachawi na Suguye wanawalipisha waumini wao mamilioni yao ili kuwahudumia kiroho?
Sio hivyo mkuu. Kama walimu wa dini wanaofundisha shuleni wanalipwa iweje viongozi wa dini wasilipwe?Wapo kimasilahi zaidi
Huna akili, kodi yangu siyo kulipa viongozi wa dini, watafute shughuri za kuwaingizia vipato.Mkuu, kuwalipa mishahara viongozi wa dini wewe kinakuuma nini? Wanastahili kulipwa, tena suala hili ni kama limekuja kwa kuchelewa sana.
Kama ni matapeli kwanini wanakusanya mtiti kila siku na kwanini serikali haiwafungii? Acha dharau zako mkuu.Matapeli hao
Mkuu una tatizo sio bure. Kwani viongozi wa dini wakilipwa unapungukiwa nini? Kuliko hizo fedha zifujwe na mafisadi si afadhali zitumuke kuwalipa viongozi wa dini?Huna akili, kodi yangu siyo kulipa viongozi wa dini, watafute shughuri za kuwaingizia vipato.
Mwamposa amewezaje kuwa na media zake amejiri watu na hao wengine wanashindwaje?
Dini sio wito kama unavyodhani. Hii ni kazi kama kazi nyingine. Lazima viongozi wa dini walipwe mishahara.Tunakoelekea ni kugumu zaidi ya kule tulipotoka. Kwahoyo hakuna tena shughuli ya wito?
Jobless ulipwe una faida gani ktk nchi hii? Kajipange uje tena.Hii itapendeza, sena serikali ituangalie nasisi jobless pia watulipe ata laki 2 kwa mwezi
Mkuu, sadaka hazitoshi ndio maana inashauriwa viongozi hawa walipwe. Serikali hawapaswi kukusanya sadaka. Hawaaminiki.Aawapi hiyo sizani kama inawezakana kama ni hivyo basi taasisi za dini ziruhusu TRA ndio inakusanya sadaka na kila zehebu lipewe goli la kiwango cha makusanyo Kwa mwezi Ili kukizi .Maana Kwa mkoa kama wa Mbeya na Songwe kila baada ya nyumba kumi kuna kanisa sasa sijui kama serikali inaweza kuubeba huu mzigo wa misumari,labda Waseeme viongozi wa kuu wa taasisi ambayo NI wawakilishi (head of organisation)Kwa kila kanda