Pamoja na yote, why magu awatoe kina babu seya ambao wanadaiwa wamewalawiti watoto na kuwaacha masheikh!! Na ndio kesi bab kubwa iyo ukilinganisha na masheikh ambao kesi yao haina ukweli wowote, miaka 9 haisikilizwi na Rais kalikalia kimyaa, kama sio uonevu ni nini!!! Kikwete mpaka amestaafu, magu nae ndani ya 5yrs kimyaaaa.
Mungu ampe afya njema mama yetu SSH
Mungu ampe afya njema Hussein Mwinyi
Na wengine wote wariofanya haki hiyo Mungu awape afya njema.