Sheikh Farid: Tunashukuru tumeachiwa ni mwanzo mwema wa Rais Mwinyi na Samia

Walihamasisha mauaji yaliyotokea huko zenj dhidi ya wakristo. DPP alikosea tu kuwafungulia mashitaka so ushahidi alikosa. Angewafungulia tu kesi ya kuhamasisha mauaji. Wazanzibari hamko wakweli. Kama hamuutaki muungano semeni wazi siyo kuua wenzenu sababu tu sio waisilamu. Mbona huku bara tunawapendeni hatuwabagui? Sasa tunategemea kuwe na amani.
 
unaushahidi wewe na jamaa zako ? hilo kuhamasisha mnalifahamu nyinyi tu mnaoleta dada zenu mbele ya mikutano wakikata viuno ndio mnaojenga muungano.
Mbona mlikuwepo na mlidemka? Yaani na nyie mlifurahia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…