Sheikh Farid: Tunashukuru tumeachiwa ni mwanzo mwema wa Rais Mwinyi na Samia

Sheikh Farid: Tunashukuru tumeachiwa ni mwanzo mwema wa Rais Mwinyi na Samia

unaushahidi wewe na jamaa zako ? hilo kuhamasisha mnalifahamu nyinyi tu mnaoleta dada zenu mbele ya mikutano wakikata viuno ndio mnaojenga muungano.
Ulitakiwa uvizodoe vile vyombo vya habari vilivyopaza sauti zao kuhusu mahubiri ya chuki na utengano, yaliyo hubiriwa na hao Masheikh kipindi kile kiasi cha wao kukamata kwa tuhuma za ugaidi kipindi Marais wa pande zote mbili za Muungano wakiwa ni Waislam!

(JK Bara na Shein Zanzibar)
 
Acha hizo ww,co unaongea kwa hisia ktk nchi zilizofanya na znazofanya mauaji makubwa dunian ni zp kat ya za kiislamu na upande mwingne?????
Mbona hilo liko wazi! Mauaji yametamalaki zaidi kwenye Nchi za Kiislam mfano Syria, Iraqi, Somalia, Kaskazini mwa Nigeria, Mali, Yemen, Libya, Afghanstan, nk!

Na chanzo kikuu ni vile vikundi vyenu vyenye imani kali ya dini yenu kama Al Shaabab, Al Qaeda, Taliban, Boko Haram, ISIS, nk.
 
Tuambie nan anaifluence hayo mauaji kama co hizo nchi za magharibi ambazo mnaziabudia
Mbona hilo liko wazi! Mauaji yametamalaki zaidi kwenye Nchi za Kiislam mfano Syria, Iraqi, Somalia, Kaskazini mwa Nigeria, Mali, Yemen, Libya, Afghanstan, nk!

Na chanzo kikuu ni vile vikundi vyenu vyenye imani kali ya dini yenu kama Al Shaabab, Al Qaeda, Taliban, Boko Haram, ISIS, nk.
 
Hiv haya mauaji umethibitisha kuwa wao ndio wahusika?????
Sasa kama wao siyo wahusika, si inatakiwa Serikali ya Mapinduzi ijitokeze hadharani kutuambia yale matukio ya uvunjifu wa amani kipindi kile cha hilo vuguvugu la Uamsho, yalifanywa na akina nani?
 
Tuambie nan anaifluence hayo mauaji kama co hizo nchi za magharibi ambazo mnaziabudia
Hizo Nchi mbona hata nyinyi ni marafiki zenu! Ni juzi tu hapa Rais wenu wa Zanzibar alikutana na Balozi wa Ujerumani kuzungumzia mambo mbalimbali ya kimaendeleo!

Ukienda kule Saudi Arabia kwenye maeneo yenu Matakatifu ya kuabudia, ndiyo kabisaaa! Ni marafiki wa kufa na kuzikana wa Marekani! Mujaheedin wenyewe wa Taliban waliitawala Afghanstan kwa msaada kutoka Marekani, kabla ya kugeukana baadae na kuwa maadui!

Tatizo lenu huwa mnapenda misaada kutoka Nchi za Magharibi, ila mkitakiwa kuishi Kimagharibi, mnazingua! Na hapo ndipo mnapoingia kwenye ugomvi na hao jamaa.
 
Kila anaeshukiwa na kumatwa siku ya kutoka akilipwa fidia basi tutatengeneza fedha nyingi kwenye mchezo huu.
Ila kwa hii Serikali ya huyu Mama, lolote linaweza kutokea! Hawa Masheikh wanaweza kuogelea kwenye dimbwi la utajiri kwa kigezo cha hiyo fidia kana kwamba ndiyo viumbe pekee waliopitia hiyo changamoto!

Kisa tu ni Wazanzibari!
 
Mke wa 1,2,3...
Sheikh atawakuta kweli???
Bora alivoamua aende kwao kwanza...
Kwenye uislam ndoa hazinaga issue wala stress.

Unaoa, ukichoka unatoa talaka, ukikikumbuka goma unarudisha akizingua tena unatoa talaka ya pili, akizingua tena mpaka ya tatu ndio unaacha mazima.

Na hii ni kwa mke mmoja, na wakati huo unaruhusiwa kuoa mpaka wanne tena kwa mahari hata ya Quran na ubwbwa wa elfu 50 umemaliza.
 
Bi Mkubwa, mimi sina tatizo kwa mtu/watu kudai haki yake/zao. Hata mimi ni mpenda haki. Mimi ninapinga matumizi ya kutumia mahubiri ya dini kuhamasisha uvunjifu wa amani, mauaji, kumwagia watu wasio na hatia tindikali! nk.

Kama tatizo ni Muungano, si mjitenge tu? Kuna sababu gani ya kuwwmwagia Mapadre wetu tindikali! Au kuchoma nyumba za ibada? Kwa nini hamtuigi sisi Wakristu? Siku zote tunaishi kindugu!

By the way, mimi ni Mkristo, ninayesali kwenye Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume.
Kama unao Ushahidi wa chuma kanisa lako peleka ushahidi Mahakamani kesi inaweza kuanza upya ,sio unachuma kanisa na watu wako kisha unasema ni waislamu
 
Ni haki yenu kuukataa Muungano! Lakini tatizo linakuja pale mnapotumia njia zisizofaa! Kuua raia wasio na hatia, kuwamwagia Wakristu tindikali au kuchoma nyumba zao za ibada, kwa mgongo wa kuukataa Muungano, ni jambo lisilo kubalika kwa wapenda amani.
Hivi kwani walishitakiwa kwa kumwagia wakristu tindikali au kuchoma moto nyumba za ibada? Mbona serikali imeshindwa kutoa ushahidi baada ya miaka yote hiyo hata kwa yale ambayo wamewashitaki?
 
Tuambie nan anaifluence hayo mauaji kama co hizo nchi za magharibi ambazo mnaziabudia
Kwa nini uwe influenced? Kwa nini uwe na akili za kushikiwa? Ina maana waisilamu hawana upeo hadi waamuliwe na wenye akili zao?
 
Kama ishu ni kuwa na akili basi wote hatumo,tatizo ktk kadhia kama hii watu huijadili kwa mrengo wa kidin,mara ngp baraza la maaskofu limetoa matamko ya uchochezi yanaachwa tu,tukubal tukatae huu mfumo unaolalamikiwa upo sana tu
Kwa nini uwe influenced? Kwa nini uwe na akili za kushikiwa? Ina maana waisilamu hawana upeo hadi waamuliwe na wenye akili zao?
 
wakianza kulipua makanisa msije tena kulialia kwamba mlifanya makosa kuwatoa
Wewe kuitwa kafiri ni umependelewa . WEWE NI ZAIDI YA KAFIRI KWA HIZO CHUKI ZAKO DHIDI YA UISLAMU NA WAISLAMU:

Hata Juda Iscarioti ni afadhali
 
Mbona hilo liko wazi! Mauaji yametamalaki zaidi kwenye Nchi za Kiislam mfano Syria, Iraqi, Somalia, Kaskazini mwa Nigeria, Mali, Yemen, Libya, Afghanstan, nk!

Na chanzo kikuu ni vile vikundi vyenu vyenye imani kali ya dini yenu kama Al Shaabab, Al Qaeda, Taliban, Boko Haram, ISIS, nk.
Ndivyo unavyotakiwa uelewe hivyo na hao waliokupa hizo habari
 
Back
Top Bottom