Sheikh Ilunga Hassan Kapungu 1957 -2014

Sheikh Ilunga Hassan Kapungu 1957 -2014

We ungejua unalotenda ungeabudu sanamu la mzungu!

Naalakum akhlu kufaa.

Bora kuabudu sanamu kuliko kuua kaka, mbona hii haihitaji kukaa darasani mkuu, .ni common sense tu.

Ukisikia mihadhara yenu ya kidini wanaotajwa 90% ni Bikira Maria, Yesu Kristo nk. kitabu mnachotumia ni Biblia Takatifu, yenu mnajifunza saa ngapim? Mi sijawahi kusomewa Quran kanisani.

Mnalalamika mnachokiita mfumokristo wakati kiongozi mkuu wa inchi ni.mwislamu mwenzenu, pambaneni naye huyo achaneni na wakristo.
 
Bora kuabudu sanamu kuliko kuua kaka, mbona hii haihitaji kukaa darasani mkuu, .ni common sense tu.

Ukisikia mihadhara yenu ya kidini wanaotajwa 90% ni Bikira Maria, Yesu Kristo nk. kitabu mnachotumia ni Biblia Takatifu, yenu mnajifunza saa ngapim? Mi sijawahi kusomewa Quran kanisani.

Usomewe ili ikufae nini ilhaali weye mwenyewe ni mfu wa akili ama hata hilo pia gumu kulifahamu weye Zombi ....!?
 
Hao wanaovaa mabomu wamekopi na kupesti kwenye UKRISTO!

Kwanza tunafahamu kuwa GAIDI WA KWANZA KTK HISTORIA alikuwa anaitwa SAMSON!

Na huyu bahati mbaya wakati wake HAKUWA NA MABOMU lkn pia ALIFANIKIWA KUUWA MA ALFU YA WATU!

Tunasoma ktk waamuzi 16:1 kwanza alikuwa MZINIFU!

1 Siku moja Samsoni alikwenda mjini Gaza, akakutana na malaya mmoja akalala naye.

HALAFU NI GAIDI WA KWANZA KTK HISTORIA.

Waamuzi 16


27Jumba hilo lilikuwa limejaa watu: Wakuu wote wa Wafilisti walikuwapo na kwenye paa kulikuwa na watu 3,000 wanaume na wanawake, wakimtazama Samsoni akiwatumbuiza.

28 Hapo Samsoni akamwomba Mwenyezi-Mungu: “Bwana Mwenyezi-Mungu nakuomba unikumbuke. Nitie nguvu, mara hii moja tu, ee Mungu, ili niwalipize kisasi mara moja hii tu Wafilisti ambao waliyangoa macho yangu mawili.”

29Samsoni akazishika nguzo mbili za katikati ambazo zilitegemeza uzito wote wa jumba hilo, mkono mmoja nguzo hii na mkono mwingine nguzo ya pili.

30 Kisha akasema, “Na nife pamoja na Wafilisti.” Akasukuma kwa nguvu zake zote.
Jumba likawaangukia wakuu hao wote wa Wafilisti waliokuwamo humo ndani. Wale waliouawa wakati wa kifo chake walikuwa wengi kuliko wale aliowaua wakati wa uhai wake.

UMEONA EE!
HUYO NDIO ALIYEKUWA GAIDI WA KWANZA NA Mtu wa kwanza KUJITOA MUHANGA!

Wapili ni YESU UNAEMUABUDU!

Alijitoa muhanga mwenyewe na Kujifanya LAANA!

Wagalati 3: 13

Kristo alitukomboa katika laana ya torati, KWA KUWA ALIFANYWA LAANA kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti

Nakuuliza ALIYEFANYWA LAANA ANAWEZAJE KUKUKOMBOA WEWE NA HIO LAANA??
Na huyo jamaa aliyekufa kwa NGOMA na kupora hata mke wa mtoto wake wa kufikia?
 
Haiwezi kuwa tukufu kwakuwa Ilunga alisimamia misingi ya chuki na mauwaji kwa wakristo

Weye mkurya mbona muoga na mwili mkubwa akili kama za SISIMIZI au damu yakuandama au KICHURI cha PUNDA ndo kimekuvuruga .....!?
 
Hiyo kujilipua ni khatua ya mwisho baada ya kuwa sms imepuuzwa na chamoto ndo kitakupateni vizuri.

Sie tupo mitandaoni na weye upo makalioni au mbele ya screen ...!?

Kitendo cha kujibu/ kusoma jumbe humu ni jawaba tosha kabisa kuwa SINDANO zimekuingieni vizuri.
Wewe endelea kuabudu majini ili yakupelekeshe usikokujua.
 
mkuu umecomment vizuri sana kuna vijiwatu vinatumika kuharibu amani ya nchi kwa gharama yeyote.

Amani ya nchi uliitafutavna babaako au yule Mzungu ajisaidiaye machakani ndo alikufunza kuwa AMANI ipo ndani ya Udhwaalimu kama hunu...!?

Shika adabu yako sura ka tufe, leo jitie huna akili ntakuazima za Mbuzi huenda zikakufaa.
 
Wewe endelea kuabudu majini ili yakupelekeshe usikokujua.

Njoo nikugeiye maana utatakasika kuwa majini.

Yule mwendawazimu na masanamu yamekufikisha hapo ama bado yakutangisha ....!?
 
Malouni weye utamuombea DUAA Alhabeeb Ulamaa Dr Ilunga au wakatikia ZIZINI ....!?
Makafiri mbadilio neema ya MUNGU na kumkana yeye aliye peke MOLA, na BWANA YESU!.. Yud 1:4.
 
Njoo nikugeiye maana utatakasika kuwa majini.

Yule mwendawazimu na masanamu yamekufikisha hapo ama bado yakutangisha ....!?
Nyie mnatakiwa kutolewa mapepo ili mpate akili na kujitambua.
 
Bora kuabudu sanamu kuliko kuua kaka, mbona hii haihitaji kukaa darasani mkuu, .ni common sense tu.

Ukisikia mihadhara yenu ya kidini wanaotajwa 90% ni Bikira Maria, Yesu Kristo nk. kitabu mnachotumia ni Biblia Takatifu, yenu mnajifunza saa ngapim? Mi sijawahi kusomewa Quran kanisani.

Moja ya IBADA YETU KUBWA ni kuwatoa watu kama wewe kwenye Giza la kuabudu mzungu!.na kuingia katika Ibada kama ya YESU MWANA WA MARIA! Ya MUNGU MMOJA TU!

Nyie lzm tuwasomeshe biblia yenu manake 99% ya wakristo HAMUIJUI!?

Na ALHAMDULILLAH tunamshukuru ALLAH wamesilimu wengi sana! Na Wanaendelea Kusilimu kila SIKU!

Na wewe nakuomba uyasikilize hayo mawaidha huenda MUNGU akipenda UKAUONA MWANGA!
 
Makafiri mbadilio neema ya MUNGU na kumkana yeye aliye peke MOLA, na BWANA YESU!.. Yud 1:4.

Punguani weye endelea kuokotelezaokoteleza vifungu vyako hivyo ukikamilisha peleka kwa Ma-publisher wakutengezee gazeti huenda likawa na manufaa kuliko ujinga huo ulo nao sasa...
 
Wewe endelea kuabudu majini ili yakupelekeshe usikokujua.

Makafiri mbadilio neema ya MUNGU na kumkana yeye aliye peke MOLA, na BWANA YESU!.. Yud 1:4.

Nyie mnatakiwa kutolewa mapepo ili mpate akili na kujitambua.

Allah wa waarabu anakuhusu nini wewe Mnyamwezi?!

Ni bora WAKRISTO kama wewe wajitokeze kuandika ili UMMAH uone uwezo wenu wa kufikiri.

Na wala siwezi kushangaa wewe ukiwa ni PADRI AU MCHUNGAJI MKUBWA SANA UNAETEGEMEWA!

teh teh teh teh!

haleluyah kwa hoja zako KALI SAAAANA!
 
Usomewe ili ikufae nini ilhaali weye mwenyewe ni mfu wa akili ama hata hilo pia gumu kulifahamu weye Zombi ....!?

Asante kwa comment yako lakini kwa upeo wako naomba tuishie hapa, kwani nyie inawasaidia kusomewa Biblia masjid?

Jibu hoja zangu acha porojo.
 
Usomewe ili ikufae nini ilhaali weye mwenyewe ni mfu wa akili ama hata hilo pia gumu kulifahamu weye Zombi ....!?
Kwa ufupi SHEHE ILUNGA ndiye aliyekomandi mauaji ya wakristo... Mapadri waliopigwa RISASI na kumwagiwa tindikali Zanzibar ni sera za kigaidi zilizopandikizwa na huyu jamaa.
 
Back
Top Bottom