Sheikh Ilunga Hassan Kapungu 1957 -2014

Sheikh Ilunga Hassan Kapungu 1957 -2014

Kuabudu mizimu na kulamba miguu ya wazungu ndio unakuita kula bata!

Kama huko ndiko kula bata, mi njiwa wananitosha!

Hao bata kuleni wewe na Nyani Ngabu pamoja na his brother from another mother mkataa nasaba Kiranga

I must be the monster in the closet of your feeble mind!
 
Chizi Maarifa,
Haikuwa nia yangu kukujibu kuhusu suala la Waislam kujenga shule.

Inawezekana kabisa hujui historia ya Waislam na juhudi zao katika elimu na ndiyo maana ukaja na hoja hiyo.

Inaelekea wewe ni mgeni hapa jamvini.

Mimi nimetoa ushahidi jinsi watendaji Wakristo wanavyohujumu juhudi za Waislam katika elimu.

Nitakuwekea baadhi ya mifano ambayo tayari nilishaizungumza hapa kwa kirefu:


  1. Nyerere kuipiga marufuku East African Muslim Welfare Society (EAMWS)1968 ili isijenge Chuo Kikuu
  2. Serikali kukataa Chuo Kikuu Cha Kiislam kilichotaka kujengwa na OIC kisijengwe Tanzania
  3. Serikali kupiga vita Darul Imaan isijenge shule Kibaha
  4. Serikali kuondoa uongozi wa vijana wa WARSHA waliokuwa wanataka kuziborehs shule zilizokuwa chini ya BAKWATA shule ambazo zilijengwa na EAMWS kabla ya kupigwa marufuku
  5. Hujuma kwa vijana wa Kiislam ndani ya Wizara ya Elimu iliyogunduliwa na WARSHA 1981 na kuthibitishwa na marehemu Prof. Malima 1987
  6. Hujuma kwa shule za Kiislam katika NECTA

Hii ni baadhi ya mifano na Waislam wameiomba serikali wakae chini wajadili lakini serikali inaogopa kufanya hivyo juu ya kupatiwa ushahidi wa haya niliyosema.

Hayo mengine unayosema ya kuoa kwani kuna ubaya katika kuoa na kupata kizazi?
Ama hilo la ushirikina Uislam unakataza shirki na ni katika dhambi kubwa sana.

Kuhusu hali duni hilo ni suala linalotaka uzi wake maalum tujadili.
Mada za Mohamed Said zina utata, huacha maswali mengi na zinahuzunisha kwa upande mwingine.

MS ulichokileta hapa ni tribute ya Ilunga. Ilitegemewa watu na hasa vijana kama mada inavyoeleza wazungumzie mafanikio(success), Failure na legacy ya Ilunga baada ya msiba wake.

Kinachoonekana ni MS kufungua uwanja wa matusi, kashfa n.k.
Katika mazingira ya kawaida mleta mada ndiye moderator na alipaswa kuilinda mada yake kwa kusimama katikati, akiongoza na kukemea yaliyo nje ya mada.

MS kwa umri wewe ni mzee na kwa jadi zetu una jukumu la kijamii kuongoza vijana kwa busara na hekima.
Tumia elimu yako kusaidia jamii na si kuleta sintofahamu zisizo za lazima.

Kwa uzi huu, inaonyesha jinsi ambavyo mada zako zimekuwa chanzo cha mijadala ambayo wengi hawaipendelei kama wanadamu na kama Watanzania.

Yanapo poroshomoshwa matusi na kashfa, mada inapochakachukiliwa, hiyo inaelezea zaidi ya ambavyo ungependa iwe.

Nakunasihi uangalie tena kama mada za namna hii ambazo zinaondoka katika 'theme' zinajenga jamii au zinaleta ufa.
Uangalie nafasi yako kwa jamii kwa ukubwa na uzito wake.

Ahsante
 
keshafika jehanamu/motoni huyo illunga atakuwa anakula mboko tu huko kwa uchochezi wake..
 
Mada za Mohamed Said zina utata, huacha maswali mengi na zinahuzunisha kwa upande mwingine.

MS ulichokileta hapa ni tribute ya Ilunga. Ilitegemewa watu na hasa vijana kama mada inavyoeleza wazungumzie mafanikio(success), Failure na legacy ya Ilunga baada ya msiba wake.

Kinachoonekana ni MS kufungua uwanja wa matusi, kashfa n.k.
Katika mazingira ya kawaida mleta mada ndiye moderator na alipaswa kuilinda mada yake kwa kusimama katikati, akiongoza na kukemea yaliyo nje ya mada.

MS kwa umri wewe ni mzee na kwa jadi zetu una jukumu la kijamii kuongoza vijana kwa busara na hekima.
Tumia elimu yako kusaidia jamii na si kuleta sintofahamu zisizo za lazima.

Kwa uzi huu, inaonyesha jinsi ambavyo mada zako zimekuwa chanzo cha mijadala ambayo wengi hawaipendelei kama wanadamu na kama Watanzania.

Yanapo poroshomoshwa matusi na kashfa, mada inapochakachukiliwa, hiyo inaelezea zaidi ya ambavyo ungependa iwe.

Nakunasihi uangalie tena kama mada za namna hii ambazo zinaondoka katika 'theme' zinajenga jamii au zinaleta ufa.
Uangalie nafasi yako kwa jamii kwa ukubwa na uzito wake.

Ahsante

Mkuu mara zote huwa nashangazwa sana na hizi nasaha zako za kinafiki!

Hivi nikweli kuwa huoni MUANZISHA MATUSI ktk hizi nyuzi za Mzee Mohamed Said??

Mi nafahamu kwa nini wewe Unajifanya huoni!
Kwa sababu ni kanuni ya jicho la mnafiki kuona upande mmoja tu!

Ningekuheshimu sana kama ungeanza kuwakemea hao wagalatia wenzako ambao waonapo uzi wowote ulioanzishwa na Mzee MS Basi wao wanaanza kuuchafua kwa matusi na kashfa!

JF ina moderators lkn mara nyingi mpaka uwajulishe kuwa kuna wanaharamu huku wanachafua mazingira!
Na mara nyingi husababisha UZI KUFUNGWA!
Sasa ili kuuendeleza nyuzi hizi inabidi wajitolee waungwana kusafisha hao wana wasio na wazazi ili wengine wapate faida!

Na hilo litaendelea kuwepo mpaka watu wa kambi yako waache kuingiza maneno ya kashfa ktk nyuzi zetu!

Na usishangae kuniona mimi na wengine tukichafua nyuzi zao!
Hio inaitwa "revenge"!
Na kuna msemo unasema "revenge is desert better serve cold"!

Anza kuwaasa watu wako ndio uje huku!
 
Last edited by a moderator:
Huwa si vizuri sana kujadili marehemu...ila ndugu mtoa mada umepotosha mambo mengi sana kwa lengo la kuamsha hisia za udini...na hii inaonyesha jinsi unavoishi kwa hisia badala ya ukweli, ndugu unatumia elimu yako vibaya na hii ndo shida "upotoshaji" kwenda mbele...70s mwishoni na early 80s Ilunga, akijulikana kama Ilunga wa Ilunga alikuwa member wa Black September moja ya vikundi hatari enzi hizo mkoani Tabora, pia alikuwa mahiri ktk karate na mapigano ya vikundi vya mitaani-Ismail Rage na vyombo vya usalama enzi hizo wanaijua hii habari, nimemtaja Rage kwa sababu kundi la Black september lilikuwa na maskani mtaa wa Rufita(Lumumba hall)- kwa akina Rage...hivi kusema Ilunga wa Ilunga alikuwa na malezi/ujana wa ki islam si kweli...ukiangalia historia ya Ilunga wa Ilunga na vurugu alizoletea Uislam ndipo utaona umuhimu wa Bakwata na udhaifu mkubwa ktk utunzaji kumbukumbu za kihalifu ktk vyombo vya usalama...nasema Bakwata kwani ndicho chombo kinachojua uanazuoni/ueledi wa hawa wanaojiita masheikh wakati dini yenyewe wamekutana nayo uzeeni...hakika ntakapokuwa dsm, nitapita nikufahamu Mohd Saidi...

Baadhi yetu tunasahau mapema mno maovu ya wanafiki wanaokuja kwa njia ya kutetea dini. Mtu anakuwa muuaji lakini kwa vile anasingizia kuwa anatetea dini basi baadhi yetu tunaamini upumbavu huo. Usidhani kuwa wanaomwona Ilunga kama Muislam safi hawajui ulichokumbusha, wanafahamu sana ila wamepumbazwa. Kuna watu wanachukulia kuwa Osama bin Laden alikuwa anatetea Uislam. Si hili tu. Angalia hata nduli Idd Amin Dada alipokufa Saud Arabia kuna ndugu zetu hapa Tanzania walimsomea dua eti aende mbinguni, sijui ya Mungu yupi ambaye hakuoma mauaji aliyofanya Uganda. Mpaka leo kuna radio moja kule Morogoro wanamtetea Idd Amin kuwa alionewa na majeshi ya Tanzania kumng'oa. NI AJABU NA KWELI. Huyu Mungu tunamsingizia sana. Usishange kuna binadamu wanaoona kina Boko haramu na al shababu ni watetezi wa kweli wa dini wakati wanaua watu na kubaka watoto wa kike.
 
Nenda ofisi za serikali na makampuni binafsi kaangalie uwiano wa ajira ... angalia interview shortlist ktk magazeti wakiristo 30 jina la muislam moja ... najua mtatokwa na povu hpa ila ndio ukweli

Mkuu, binafsi sikukubaliani na wewe kwa sababu asilimia kubwa ya watu ninaofanya nao kazi ni Waislamu.
Kwenye sekta binafsi napo umepaangalia?
Vipi kuhusu Wakulima wanacheleweshewa pembejeo kwa kuangalia dini zao?
Mazao yanayoozea mashambani kwa kushindwa kusafirishwa ni ya waislamu tu?
Mama ntilie wanaobugudhiwa na Mgambo wanachujwa kwanza huyu Muislamu huyu Mkristo?
Barabara zetu mbovu zinabadilika na kuwa nzuri au mbaya kulingana na dini ya mpitaji?
Vifo vya Mama wajawazito vinachagua dini ya mtu?
Ajali zinazosababishwa na barabara mbovu na vyombo vibovu zinabagua nani zimdhuru nani zimuache?

Sijaona Mafisadi wakibaguana kwa misingi ya Dini. Wauza Madawa ya kulevya tunao kutoka dini zote, na lugha yao ni moja, wote hawa wanaididimiza nchi yetu na kuteketeza Taifa letu la kesho. Tunawaacha wanapeta tunakazania kulumbana kuhusu Uislamu na Ukristo.

Tunajengewa chuki miongoni mwetu na tunasahau kuhoji mambo yanayotugusa sote na tumeelekeza nguvu kulaumiana na kutaka kuuana wenyewe kwa wenyewe huku tukiiacha nchi inaangamia mikononi mwa tuliowapa dhamana ya kutuongoza. Mbaya zaidi sijaona wenyewe wakibaguana kwa misingi ya Dini..

Let us unite against being Divided..

Mapendo,
TANMO.
 
Mkuu mara zoote huwa nashangazwa sana na hizi nasaha zako za kinafiki!

Hivi nikweli kuwa huoni MUANZISHA MATUSI ktk hizi nyuzi za Mzee Mohamed Said??

Mi nafahamu kwa nini wewe Unajifanya huoni!
Kwa sababu ni kanuni ya jicho la mnafiki kuona upande mmoja tu!

Ningekuheshimu sana kama ungeanza kuwakemea hao wagalatia wenzako ambao waonapo uzi wowote ulioanzishwa na Mzee MS Basi wao wanaanza kuuchafua kwa matusi na kashfa!

JF ina moderators lkn mara nyingi mpaka uwajulishe kuwa kuna wanaharamu huku wanachafua mazingira!
Na mara nyingi husababisha UZI KUFUNGWA!
Sasa ili kuuendeleza nyuzi hizi inabidi wajitolee waungwana kusafisha hao wana wasio na wazazi ili wengine wapate faida!

Na hilo litaendelea kuwepo mpaka watu wa kambi yako waache kuingiza maneno ya kashfa ktk nyuzi zetu!

Na usishangae kuniona mimi na wengine tukichafua nyuzi zao!
Hio inaitwa "revenge"!
Na kuna msemo unasema "revenge is desert better serve cold"!

Anza kuwaasa watu wako ndio uje huku!


Swadaqta kaka yangu kwa hoja zako zenye mashiko ni ukweli usopingika kua huyu Nguruvi3 ni MNAFKI SANAAAAAAAAA


Jazaka LLAH Kheyraaaa


Brother@kahtaan......!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Swadaqta kaka yangu kwa hoja zako zenye mashiko ni ukweli usopingika kua huyu Nguruvi3 ni MNAFKI SANAAAAAAAAA


Jazaka LLAH Kheyraaaa


Brother@kahtaan......!!!!!!!!!

we binti Allah.. unashea akhera ya mabikra..? waache wanaume wenye ahadi yao
 
Last edited by a moderator:
Ktk serikali ya rais DR.JK ni waziri gani angalau anayeifanya serikali ionekane inapumua? ukiisha nitajia basi utapata majibu ya maelezo yako hapo chini.
quote_icon.png
By magwioNenda ofisi za serikali na makampuni binafsi kaangalie uwiano wa ajira ... angalia interview shortlist ktk magazeti wakiristo 30 jina la muislam moja ... najua mtatokwa na povu hpa ila ndio ukweli
 
ndoa za jinsia moja zimewaribu thats why mnakuwa mapunga wa kushobokea wanaume wa shoka..

yan wewe na akili zako unachukua sanamu au mwanasesere wa kizungu unaweka ukutani na kuabudu huku ukiliita mungu hivi hiyo ni akili ama matope?

mnaozwa hadi na mbwa nowdays,hamjitambui.

Lakini si mnalalama kila siku kuwa mnatawaliwa na mfumo was msalaba?????!!!! Huoni kama unanguvu????!!!
 
Mada za Mohamed Said zina utata, huacha maswali mengi na zinahuzunisha kwa upande mwingine.

MS ulichokileta hapa ni tribute ya Ilunga. Ilitegemewa watu na hasa vijana kama mada inavyoeleza wazungumzie mafanikio(success), Failure na legacy ya Ilunga baada ya msiba wake.

Kinachoonekana ni MS kufungua uwanja wa matusi, kashfa n.k.
Katika mazingira ya kawaida mleta mada ndiye moderator na alipaswa kuilinda mada yake kwa kusimama katikati, akiongoza na kukemea yaliyo nje ya mada.

MS kwa umri wewe ni mzee na kwa jadi zetu una jukumu la kijamii kuongoza vijana kwa busara na hekima.
Tumia elimu yako kusaidia jamii na si kuleta sintofahamu zisizo za lazima.

Kwa uzi huu, inaonyesha jinsi ambavyo mada zako zimekuwa chanzo cha mijadala ambayo wengi hawaipendelei kama wanadamu na kama Watanzania.

Yanapo poroshomoshwa matusi na kashfa, mada inapochakachukiliwa, hiyo inaelezea zaidi ya ambavyo ungependa iwe.

Nakunasihi uangalie tena kama mada za namna hii ambazo zinaondoka katika 'theme' zinajenga jamii au zinaleta ufa.
Uangalie nafasi yako kwa jamii kwa ukubwa na uzito wake.

Ahsante
Nguruvi3

Umenishangaza na hii post yako toka lini Mohamed Said amekuwa Moderator wa JF ungetenda haki kama ungewaomba Mods wa JF wamlinde Mohamed Said na matusi ya jamaa zako wanavyomtukana.

Hata kama haumpendi wakati mwingine kuwa mkweli wapi Mohamed Said kamtukana mtu au kashabikia matusi.

Wewe umeishawahi kumkanya nani humu aache matusi mbona unataka kumpa majukumu ambao siyo yake sheria za JF zipo wazi wafahamishe wahusika unataka Mohamed Said hawapige ban watu wanaotukana hana uwezo huo.

Pitia tena posts zote anzia post ya mwanzo angalia nani kaanza kumtukana Mohamed Said, wanaoanzisha matusi ni Wakirsto wenzako wakanye kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Amekufa lini? maana unapotoa habari kama hii lazima uweke pia amekufa lini? katika hospitali gani? saa ngapi au hat siku gani?
 
we binti Allah.. unashea akhera ya mabikra..? waache wanaume wenye ahadi yao

Wee Kafiri/mgalatia!

Sasa hiyo lugha ya kinyama unayotumia dhidi ya Mwanajamvi Dadaetu Mkuu Howt Lady...je ndo huo "ustaarabu" ulofundishwa na yule mgalatia mwanzio wa Kibondei aka Nguruvi3¡¿ Daah!

Yaani huu uharo wenu wa Islamophobia, ndo mambo alokua akizungumzia Mkuu Kahtaan!

Sasa,mnapojibiwa haya makhanatha yenu ndipo wanatokea wanafiki wenzenu wa kigalatia sampuli ya yule maluuni wa Kibondei Nguruvi3...na ati kutaka kumpa "wasia" Maalim Mohamed Said!? Duuh!

Kwa kifupi,jifunze tartib za kuzungumza au kufanza mijadala na Dadazetu/akinamama!

Kashfa juu ya Allah na hiyo pepo/akhira ya Waislam,zinakhusu nini kwa huyo Mwanajamvi mwanzio!? Daah!

Salaam zao!

Ahsanta!
 
Amekufa lini? maana unapotoa habari kama hii lazima uweke pia amekufa lini? katika hospitali gani? saa ngapi au hat siku gani?
Tatizo la kuingia JF umeishakunywa gongo mpaka unakosa muda wa kuangalia habari.
 
Amekufa lini? maana unapotoa habari kama hii lazima uweke pia amekufa lini? katika hospitali gani? saa ngapi au hat siku gani?

Embu acha utoto! Ebo!

Kwani weye huamini yakua amekufa na kuzikwa!? Daah!

Kama hizo infors ulizotaka hazipo/hazijaletwa...sasa kwanini weye usifanze jitihada ya kutujuza kwayo!?

Ahsanta sana!
 
Mkuu mara zote huwa nashangazwa sana na hizi nasaha zako za kinafiki!

Hivi nikweli kuwa huoni MUANZISHA MATUSI ktk hizi nyuzi za Mzee Mohamed Said??

Mi nafahamu kwa nini wewe Unajifanya huoni!
Kwa sababu ni kanuni ya jicho la mnafiki kuona upande mmoja tu!

Ningekuheshimu sana kama ungeanza kuwakemea hao wagalatia wenzako ambao waonapo uzi wowote ulioanzishwa na Mzee MS Basi wao wanaanza kuuchafua kwa matusi na kashfa!

JF ina moderators lkn mara nyingi mpaka uwajulishe kuwa kuna wanaharamu huku wanachafua mazingira!
Na mara nyingi husababisha UZI KUFUNGWA!
Sasa ili kuuendeleza nyuzi hizi inabidi wajitolee waungwana kusafisha hao wana wasio na wazazi ili wengine wapate faida!

Na hilo litaendelea kuwepo mpaka watu wa kambi yako waache kuingiza maneno ya kashfa ktk nyuzi zetu!

Na usishangae kuniona mimi na wengine tukichafua nyuzi zao!
Hio inaitwa "revenge"!
Na kuna msemo unasema "revenge is desert better serve cold"!

Anza kuwaasa watu wako ndio uje huku!

Nguruvi3 kanishanganza hii ndiyo ile habari unawafungia watu gheto hauwapi maji wala sabuni halafu unaanza kuwapa lawama kuwa wachafu.
 
Last edited by a moderator:
Hivi huu unaoitwa mfumo kristo unamnufaisha mkristo yupi hasa? Mbona sijauona huku mtaani zaidi naona wote waislamu na wakristo wakitaabika pamoja?

Kama ni mashuleni wote wanakosa vitabu, mahospitalini wote wanakosa madawa, Umeme ukikatika hauchagui huyu mwislamu huyu mkristo, mvua zikinyesha Wote wanakumbwa na mafuriko n.k n.k..

Na kwasababu hio KUUHOFU HUO UITWAO "mfumo KRISTO" ni HISIA ZISIZO NA MSINGI. Kuutajataja na kuuogopa ni KUOGOPA KIVULI tu. Mnaoogopa mfumo KRISTO acheni mara moja hata kuutaja muache!
 
Acheni Mungu aitwe Mungu. Alikuwa anachochea wenzake wauawe lakini Mungu akamuona kuwa alitaka kulichafua Taifa lake alilolibariki akaichukua Roho yake tena kwa Natural death
 
Back
Top Bottom