Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama kichwa chako kinafanya kazi yake ya kufikiri vizuriYaani hii dini inawaza ngono tu. Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Kama kweli wewe ni mkweli taja nchi ambazo shoga akionekana anauwa nchi hizo wanaishi watu wa dini gani?Kama utaitendea haki nafsi yako utakubaliana na mm kwamba mashoga wote wako pwani na visiwani kulikojaa waislaam.
Tafsiri yake ni kwamba ushoga na uislam Kuna uhusiano mkubwa sana
HIMARS anaanza taarabu nyingi wakati majibu yalikuwa simple tu 🤣Huu uzi hautaki maelezo marefu. Ulitakiwa ujibu tu kwa ufupi, mfano wa maneno kama haya hapa chini;
MashaAllah!!
Wabilah tawfiq!
Takbiir!!
Allah Akbar!
InshaAllah!, nk.
Unafahamu Alhikma foundation inahusika na nini??Sijui ni lini nitawasikia wanazungumzia kuwaendeleza vijana kwenye Elimu dunia.
Sisi lazima tuoe sababu tunajua maana ya ndoa na utamu wa mke nyiyi uwa amuoi hata viongozi wenu mapadiri hawaoi kazi kuwaharibu watoto wa kiume ni kufanya ushoga hata wewe shahidi papa kazunguka dunia nzima akiomba msamaha kwa wazizi wa watoto walirawitiwa na mapadiri pia mapadiri wengi kuwa mashoga jamabo hilo sio siri ingia Google utaona hata mwezi jana papa kasema ushoga sio dhambi ndio maana nyiyi mnachukia vijana kulipiwa mahari hili wapate haki yao ya ndoa mlita wawe kama nyiyi hayo sio matusi ndio ukweli wenyeweHii dini kwa matusi hamjambo. Hivi hii dini zaidi ya ngono na matusi mnajua nn kingine?
Muwe mnatembea kazi kuishi huko sumba wanga nenda temeke dar kaulize tasisi ya al hekima inajishughulisha na niniSaidianeni ktk mambo ya msingi kama kusaidia kulipia ada za shule na vyuo. Siyo kuegemea kwenye ngono. Ni ushauri tu huu
Akili zako ndogo kama pilitoni huko kwenu walezi na wazazi ujawai ona wakiwaozesha vijana wao au huna kwenu?au wewe ni kafiri unapinga ukweli?kwa sababu kafiri kazi yake kupinga kila analo fanya muisilamu hata liwe la kweli mfano kuozesha vijana sioni sababu ya kupinga sababu ni jambo la kawaida kwa kila kabila kwa kuwa limefanywa na sheikh tayali kafiri analipingaCkatai ila kwa hawa wanawake wa leo utangaze hadharan mumeo nilimlipia mahari heshima itakuwepo tena home mzee baba. Kwanini hawa kulipia halafu wakakaa kimya.
Tafusili ya neno mahari ni chochote atakacho pewa muolewaji toka kwa muoaji anaridhikaKiwango cha.mahari maximum shilingi ngapu ambazo atayokuwa tayati kulipia?
UmedandiaUlitaka ziwe wapi?
Hata kufuturisha mashoga pia sio dhambi.
Sio mahali ni mahari. Kuandika neno la kawaida unashindwa ndiyo maana akili yako ndogo.Mimi siwezi kukubali kulipiwa au kuchangiwa Mahali hata shilingi 1.
Huyo wanamke wa Bure hivyo atakuwa sio mwanamke!!!!
WAISLAMU mnafeli sana
Ndugu zako wanapokuchangia harusi wanakuchangia na Matunzo ya mkeYaani hii dini inawaza ngono tu. Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Kama milioni 5 za mama Samia kwa kila goli.Hiyo ni offer tu wamepewa. Siyo kwamba hawana uwezo wa kulipa mahari.
Yaani ni sawa tu na mtu kukupa zawadi ya kitu fulani, ambacho hata wewe mwenyewe una uwezo wa kukinunua.
Sheikh sisi hatutukan dini yetu imetufundisha upendo hilo la chuki ni kwenu. Mi hoja yangu ipo hapa. Kiutamaduni mzazi anaweza kulipia mahari ila kama mahari umelipiwa na taasisi na hawa wanawake wa kileo tulionao huko mbeleni walivyo. Swali la kujiuliza ni kwamba hawa jamaa walionekana mahtaji Yao ya muhimu sana ni mahari au. Hizo za kafiri cjui akili ndogo hizo ni zako. Akili inategemea na uwezo wako wa kuchanganua jambo gumu na kuja na jibu.sasa cjui hapo akili ndogo ni ipi kati yangu na yako.Akili zako ndogo kama pilitoni huko kwenu walezi na wazazi ujawai ona wakiwaozesha vijana wao au huna kwenu?au wewe ni kafiri unapinga ukweli?kwa sababu kafiri kazi yake kupinga kila analo fanya muisilamu hata liwe la kweli mfano kuozesha vijana sioni sababu ya kupinga sababu ni jambo la kawaida kwa kila kabila kwa kuwa limefanywa na sheikh tayali kafiri analipinga
Huyu ni miongoni mwa vijana waliokosa malezi bora kwa wazazi wao na ni miongoni mwa wanaoshaabikiwa na nchi za Magharibi za kuwa na faragha yao. Kwa kweli ni msiba kwa Taifa. Asamehewe, siyo yeye bali malezi.Yaani hii dini inawaza ngono tu. Kama mtu hawezi jilipia mahari, ataweza mhudumia huyo mke?
Au ndo wanataka ongoza kwa kuachika na kutuletea singo madhaz mitaani?
Hapana kwa wanaonza tu kuoa mke kwanza tuKwaio hata wanao taka kuongeza wake wa pili
Wana
Walipia mahari (bride price)