Sheikh Kishki/Alhikma Foundation Kuwalipia mahari vijana 50 na kuwaozesha

Sheikh Kishki/Alhikma Foundation Kuwalipia mahari vijana 50 na kuwaozesha

kutukanwa mimi humu JF haikuanza leo , lakini Je jiulize wenzako walioanza kunitukana walipata faida gani ? nimeuliza swali la msingi sana , lakini kwa sababu ya akili yako ndogo ukaamua kunitukana ! Mimi huyu Kishki ni mtu nafahamiana naye , na ninafahamu uwezo wake kwamba anaweza kufanya zaidi ya hapo , kwamba badala ya kuwalipia mahali tu angeweza kuwawezesha hata kidogo kwenye masuala ya kimaisha , sasa hii haikuwa sababu ya wewe kuvunja sheria za jf na kutukana .

Ni aibu kwako na kwa Wazazi wako pia
Sasa kama kishiki kaamua msaada wake uwe kuozesha vijana,wewe kwanini usiwape mitaji wakaanza biashara?
 
WAJINGA NDIO WALIWAO.

MTU UNALIPIWA MAHALI.
UTAWEZA KUMTUNZA MKE????

Ndio maana mmekazana kula usiku na mchana mnashinda na njaa.

Mfano mtoto AANZE KWENDA shule saa moja jioni Hadi saa kumi na moja alfajiri. Baada ya asubuhi saa moja Hadi saa kumi na moja.
ALAFU aje ASEME tumefunga shule.

NAWAONEA HURUMA SANA NYIE WAISLAMU.
Kwa mwanaume rijari anafahamu.umuhimu wa mke ndio maana hata wazee wa kimila kijana anaozeshwa haraka sana hili kumuondolea msongo wa mawazo na kutawanya mali yake hovio kwa ss waisilamu kuozesha vijana sio jambo geni misikiti mingi uozesha vijana inga aitangazi sasa wewe tukuweke fungu gani unae chukia vijana kupata haki yao ndoa tukikuita shoga tutakuwa tumekosea?sababu shoga hataki kabisa kusikia mwanaume akioa mashoga mtakoma sasa sababu uisilamu umeamua kila kijana aoe
 
Mama na baba yako bila kufanya ngono ww ungezaliwa?
Au huyo mke uliye naye umemuoa ili umlishe anenepe ili uje umchinje ukamuuze kama ngombe buchani au?

Some time chuki humfanya mtu kuwa mpumbavu.
Huyo hana mke tangu lini shoga akawa na mke
 
Mtoa maoni alikuwa na hoja. Kuwafungisha watu ndoa ni kitu chenye faida? Hauoni idadi ya ndoa zinazovunjika kila siku hapa nchini? Kwa Dar peke yake ndoa 300 huvunjika kwa mwezi.

Mwanaume lazima apatiwe mtihani wa kutoa mahari na kugharamia harusi. Akishindwa hiyo ndoa itayumba tu.
Wewe una mila wala dini wala kwenu kija wakiume kalimia mila zote za kitanzania mke wa kwanza uozeshwa na walezi wake si ajabu hata babako aliozeshwa na bubu yako
 
Sina chuki ila kumlipia mahari mtu si sawa
Si sawa kwa kigezo gani?wewe huna wakukuozesha bhana mbona wazazi.na walezi wengi kila siku wanaozesha watoto wao?sema wewe huna kwenu wala kabila umekulia mtaani tu kuozeshwa kijana wakiume ni ajabu kwa mtu mshenzi ndie anaye shangaa
 
Wewe una mila wala dini wala kwenu kija wakiume kalimia mila zote za kitanzania mke wa kwanza uozeshwa na walezi wake si ajabu hata babako aliozeshwa na bubu yako
Saidianeni ktk mambo ya msingi kama kusaidia kulipia ada za shule na vyuo. Siyo kuegemea kwenye ngono. Ni ushauri tu huu
 
Shekh kishki Leo dar es Salam kwenye mashindano ya Quran Africa anasema Alhikma foundation itawalipia mahari vijana 50 wa kiislamu na kuwaozesha Ndoa Ya pamoja.

Mashallah hii ni habari njema kwa ndugu zangu waislamu.

Wale vijana mliopanga kuoa mwaka huu hii ni fursa kwenu inshallah [emoji120]

NB: Haurusiwi kwa aneongeza mke wa pili, fursa hii kwa vijana wanao anza kuoa.
Huyu ni miongoni mwa mashehe wasio na akili
 
Shekhe kasema mabachela. Mtu ambaye ni bachela ni kwamba ana umri wa kuoa lkn kutokana na changamoto za maisha hajaoa. Kwahiyo huyumtu ukimlipia mahari akaoa hjamsaidia. Unamuongezea mzigo.
Semea nafsi yako wewe usiwasemee wenzio upumbavu unazi kushamiri tz mtu akishindwa jambo anataka wote wawe kama yeye
 
Unataka kusema walio kwenye ndoa hawazini? Takwimu zinaonesha michepuko mingi sana kama siyo yote inahudimiwa na wenye ndoa
Wewe uwezi kujua thamani ya ndoa tangu lini mshenzi akajua thamani ya ndoa
 
Semea nafsi yako wewe usiwasemee wenzio upumbavu unazi kushamiri tz mtu akishindwa jambo anataka wote wawe kama yeye
Waislam mnafeli sana. Ndoa nyingi zinazovunjika ni za waislaam. Mjitafakari. Mnafanya uzinifu kwa tiketi ya kutoa talaka.

Yaani mtu anaingia kwenye ndoa miezi miwili talaka halafu anaingia nyingine. Ndoa za talaka na uzinzi hakuna tofauti
 
Hiyo ni offer tu wamepewa. Siyo kwamba hawana uwezo wa kulipa mahari.

Yaani ni sawa tu na mtu kukupa zawadi ya kitu fulani, ambacho hata wewe mwenyewe una uwezo wa kukinunua.
Mwanaume hanithi hajui faida ya ndoa yuko kama shoga na mtu mzinifu,kitendo cha mwanaume kushangaa au kuchukia kitendo cha vijana kutolewa mahari hili waoe kinakuonyesha kuwa wewe kama si shoga bali khanithi kama hivio basi mwanaume mshenzi kazi yako kuzini kama dume la mbumzi
 
Waislam mnafeli sana. Ndoa nyingi zinazovunjika ni za waislaam. Mjitafakari. Mnafanya uzinifu kwa tiketi ya kutoa talaka.

Yaani mtu anaingia kwenye ndoa miezi miwili talaka halafu anaingia nyingine. Ndoa za talaka na uzinzi hakuna tofauti
We khanithi unajua maana ya ndoa na talaka upo upo tu
 
Saidianeni ktk mambo ya msingi kama kusaidia kulipia ada za shule na vyuo. Siyo kuegemea kwenye ngono. Ni ushauri tu huu
Sisi kazi yetu ndio hiyo nyiyi kazi yenu kujifanya amuoi mapadri matokeo yake kurawiti watoto na ushoga hacha sisi vidume tuoe sababu tunajua utamu wa mke nyiyi baki hivyo hivyo na upadiri wenu
 
Mwanaume unalipiwaje mahari babu. Ukimkuta mtu aliyesaidia mahar yuko nae unaweza kuongea chochote
Umeumbwa kufanya ibada katika chochote pima ni ibada, sahihi sio sahihi FULL STOP....Umwanaume na umwamba useless usiwe mwanaume kisa umelipiwa mahari YES SIO MWANAUME then what.

Maisha mafupi Sana kuendekeza vitu visivyo muhimu uwanaume ni "kuzaliwa mwanaume na kumuingilia mwanamke" hio ndio maana ya uwanaume after Happ jari aim ya kjwa Duniani....
 
Sisi kazi yetu ndio hiyo nyiyi kazi yenu kujifanya amuoi mapadri matokeo yake kurawiti watoto na ushoga hacha sisi vidume tuoe sababu tunajua utamu wa mke nyiyi baki hivyo hivyo na upadiri wenu
Kama utaitendea haki nafsi yako utakubaliana na mm kwamba mashoga wote wako pwani na visiwani kulikojaa waislaam.

Tafsiri yake ni kwamba ushoga na uislam Kuna uhusiano mkubwa sana
 
Shekh kishki Leo dar es Salam kwenye mashindano ya Quran Africa anasema Alhikma foundation itawalipia mahari vijana 50 wa kiislamu na kuwaozesha Ndoa Ya pamoja.

Mashallah hii ni habari njema kwa ndugu zangu waislamu.

Wale vijana mliopanga kuoa mwaka huu hii ni fursa kwenu inshallah 🙏

NB: Haurusiwi kwa aneongeza mke wa pili, fursa hii kwa vijana wanao anza kuoa.
Kwaio hata wanao taka kuongeza wake wa pili
Wana
Walipia mahari (bride price)
 
Back
Top Bottom