Sheikh Kishki/Alhikma Foundation Kuwalipia mahari vijana 50 na kuwaozesha

Nimekuelewa mkuu.
 
Mkuu umeongea ukweri kabisa baada ya kujadili vizuri Kuna member wanaleta malumbano
 
Huyu ni miongoni mwa vijana waliokosa malezi bora kwa wazazi wao na ni miongoni mwa wanaoshaabikiwa na nchi za Magharibi za kuwa na faragha yao. Kwa kweli ni msiba kwa Taifa. Asamehehe, siyo yeye bali malezi.
Huyu ni shoga limoja la kimarekani lililotupwa afrika kuja kuharibu vijana wetu .
 
Tatizo ni pale mtu unapotaka kueleweshwa angali umeshatoa dhihaka kwa unaetarajia akujibu. Hivi mtu km mada haikuhusu ukikaa kimya unapungukiwa nini au watu mna bandle za msaada. Tuache dhihaka ktk imani za watu.
 
S
Mkuu umeongea ukweri kabisa baada ya kujadili vizuri Kuna member wanaleta malumbano
Bora hata yangekua malumbano ya faida,MTU unakashfu Imani ya mwenzio bila sababu,nimeanza Rasmi vita ya kukashfu Imani jf Ila ni Kwa wale watakailianzisha
 
Tatizo ni pale mtu unapotaka kueleweshwa angali umeshatoa dhihaka kwa unaetarajia akujibu. Hivi mtu km mada haikuhusu ukikaa kimya unapungukiwa nini au watu mna bandle za msaada. Tuache dhihaka ktk imani za watu.
Sio bando wala dhihaka shida nyie mnajiandaa sana kuona mtu anachangia nini na wewe umjibu. Hiv huyo alieandika dhihaka wewe ungekaa kimya angeendeleaje. Na unavyomjibu halafu akamtukana Muhammad kwa mfano utafaidika na nini. Na kwanini unafikiri yeyote anaekupinga ni mkristo. Mi Kuna cku nikahoji wakati Samata anajenga msikiti nikasema huyu jamaa kama ishu nikumtolea Mungu shukran kwanini asiende akajenga msikiti maeneo kama kule kwetu Kijijini ambako waislamu ni wachache akaacha hapo mbaghala kwenye misikiti mingi. Watu wanatukana sasa siijui kwanini mtu akifikir tofauti mnaumia.
 
Saidianeni ktk mambo ya msingi kama kusaidia kulipia ada za shule na vyuo. Siyo kuegemea kwenye ngono. Ni ushauri tu huu
Bila ngono ww ungekuwepo unaandika uhu uharo?
Au ww hufanyagi ngono ili tujue kweli ngono kwako sio muhimu?

Hata hiyo elimu unayo sema walipiwe imeletwa na binadamu ambaye ameletwa kwa kufanya ngono.

Ongea kama mtu mwenye akili.
 
Achana na huko duniani hapa Tanzania mashoga wengi wapo Zanzibar na mikoa ya pwani (kwa waislam). Unabisha hata hili.

Kwahiyo kwa hapa Tanzania ushoga unaenezwa na waislam
 
Mahubiri yenu yamejikita kwenye ngo tu. Eti mnadanganyana kwamba mwanaume akitenda mema duniani akifika peponi atapewa mke mwenye matiti makubwa na macho makubwa. Jamani hii dini hii??!
 
Muwe mnatembea kazi kuishi huko sumba wanga nenda temeke dar kaulize tasisi ya al hekima inajishughulisha na nini
Hiyo inafadhili wasoma Quran na wanaokwenda Hijja tu. Waislam na elimu dunia ni kama maji na moto.
 
Mahubiri yenu yamejikita kwenye ngo tu. Eti mnadanganyana kwamba mwanaume akitenda mema duniani akifika peponi atapewa mke mwenye matiti makubwa na macho makubwa. Jamani hii dini hii??!
Kwani matiti mazuri,makalio na macho ni kitu kibaya, mbona unaongelea tendo la ndoa kama kitu kibaya....haya ni madhara ya kufanya Sana zina inapeleke kila tendo la ndoa na vitu vyake kuliongelea Kama jambo baya....Origin ya tendo ni jambo zuri na hapa Duniani ukifanya unapata swawabu, utulivu, upendo na watoto na Ni kutimiza nusu ya dini na heshima kwa jamaa nashangaa mbona munapolitaja hili tendo as if munaongelea MAUAJI is you kufanya tendo kwako ni laana ???

Tendo ni raha na burudani kwa kiumbe kilichokamilika kwa Nini kikiulezwa kama zawadi hukl peponi wewe ushangae kwanini.... REASONING IMEKUWA NDOGO SANA HUMJ JUKWAANI.
 
Mahubiri yenu yamejikita kwenye ngo tu. Eti mnadanganyana kwamba mwanaume akitenda mema duniani akifika peponi atapewa mke mwenye matiti makubwa na macho makubwa. Jamani hii dini hii??!
Sisi tuna simamisha nyiyi makhanithi mwanaume unashangaa nini kuhusu ndoa?kama sio ushenzi nn?
 
Hiyo inafadhili wasoma Quran na wanaokwenda Hijja tu. Waislam na elimu dunia ni kama maji na moto.
Ushamba unakusumbua kama ungesoma elimu dunia ungeijua dunia hata hiyo taass ya al hekima ungejua kazi yake unajikweza tu mshamba tu huna lolote
 
Bora angewapa mitaji ya biashara mahari wangeipata wenyewe
 
Achana na huko duniani hapa Tanzania mashoga wengi wapo Zanzibar na mikoa ya pwani (kwa waislam). Unabisha hata hili.

Kwahiyo kwa hapa Tanzania ushoga unaenezwa na waislam
Ungejibu swali,nchi gani zinazo pinga ushoga nchi hizo wanaishi wafuasi wa dini gani?pia taja nchi ambazo zimeruhusu ushoga mpaka viongozi wao wadini ni mashoga nchi hizo wanaishi wafuasi wa dini gani?kama ujui sio kesi sema sijui sio kuuliza swali ndani ya swali
 
Bila ngono ww ungekuwepo unaandika uhu uharo?
Au ww hufanyagi ngono ili tujue kweli ngono kwako sio muhimu?

Hata hiyo elimu unayo sema walipiwe imeletwa na binadamu ambaye ameletwa kwa kufanya ngono.

Ongea kama mtu mwenye akili.
Kafiri ni kiumbe ambacho akina tofaoti na nguruwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…