Sheikh Kundecha akemea Maudhui ya Twitter ( X ) hususani chapisho la Maria Sarungi, awataka Waislam kuikataa Twitter (X)

Sheikh Kundecha akemea Maudhui ya Twitter ( X ) hususani chapisho la Maria Sarungi, awataka Waislam kuikataa Twitter (X)

Kuna matukio Huwa wanasema hijab, uislam na uarabu utofautishwe.

Akionekana mtu mwenye hijabu anakula kitimoto. Waislam hawakawii kusema hijab haina dini
Kuna picha halisi mods wameifuta inamuonyesha mwanamama amevaa hijab huku anagida serengeti lite,ingenogesha hii post yako.
 
SHEIKH KUNDECHA AKEMEA MAUDHUI YA TWITTER ( X ) HUSUSANI CHAPISHO LA MARIA SARUNGI, AWATAKA WAISLAM KUIKATAA TWITTER (X)

Na Mwandishi wetu.

Mwenyekiti Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Tanzania, Shekhe Mussa Kundecha amefunguka na kukemea wazi wazi kitendo cha Mwanaharakati wa mitandaoni Maria Sarungi kuweka chapisho la Picha za Kumdhihaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu na kusema picha hizo sio tu zinamdhihaki Rais bali zinadhihaki Vazi la kislaam na Waislam wote.

Ambapo katika Chapisho hilo Maria Sarungi alituma picha ya Chura akiwa amevaa vazi la Hijab, jambo ambalo ni sawa na kuikashifu na kutukana jamii ya Waislamu Tanzania na Duniani kiujumla.

Shekh Mussa Kundecha amemtaka Maria Sarungi afute chapisho hilo haraka sana kabla wauumini wa dini ya kislamu hawajaungana kwa pamoja kushitaki kwa MwenyeziMungu juu ya jambo hilo ambalo halina taswira nzuri kwa waumini wa Dini ya Kiislamu.
Shekhe unalalama kwa hijabu ingekua kanzu ingekuweje,achana na mitandao
 
Kuna matukio Huwa wanasema hijab, uislam na uarabu utofautishwe.

Akionekana mtu mwenye hijabu anakula kitimoto. Waislam hawakawii kusema hijab haina dini
Angemuwa mwanamke anadanga na vazi la hijab wangesema TenganIsha vazi na matendo ya mtu
 
Angalikuwa muislam kaandika haya JF mod angalikuwa ashampiga ban. Quran imeeleza wazi chuki za wakiristo dhidi ya waislam na uislam
Kumbe ndio sababu baadhi ya waislam huwachukia wakristo.

Kumbe huwa mnafundishwa kabisa kua wakristo wanawachukieni!!!
Zaidi ya huku mitandaoni sijawahi kusikia ibada ya kikristo ikiwananga waislam.
Ajabu zaidi ni kua wakristo wengi ukiachana na hawa wa pwani hawaujui uislam.

Ukienda mikoa kama Mbeya wakristo ni wengi na wengi wao huo uislam hawaujui kabisa inakuaje wawachukie??
Hapo kuna walakini mnamezeshwa chuki dhidi ya wakristo.
 
SHEIKH KUNDECHA AKEMEA MAUDHUI YA TWITTER ( X ) HUSUSANI CHAPISHO LA MARIA SARUNGI, AWATAKA WAISLAM KUIKATAA TWITTER (X)

Na Mwandishi wetu.

Mwenyekiti Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Tanzania, Shekhe Mussa Kundecha amefunguka na kukemea wazi wazi kitendo cha Mwanaharakati wa mitandaoni Maria Sarungi kuweka chapisho la Picha za Kumdhihaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu na kusema picha hizo sio tu zinamdhihaki Rais bali zinadhihaki Vazi la kislaam na Waislam wote.

Ambapo katika Chapisho hilo Maria Sarungi alituma picha ya Chura akiwa amevaa vazi la Hijab, jambo ambalo ni sawa na kuikashifu na kutukana jamii ya Waislamu Tanzania na Duniani kiujumla.

Shekh Mussa Kundecha amemtaka Maria Sarungi afute chapisho hilo haraka sana kabla wauumini wa dini ya kislamu hawajaungana kwa pamoja kushitaki kwa MwenyeziMungu juu ya jambo hilo ambalo halina taswira nzuri kwa waumini wa Dini ya Kiislamu.
Vazi la kiislamu au la kiarabu?
 
Ukipata dini za kijinga na viongozi wapumbavu kwenye jamii basi hapo umemaliza kila kitu jipigie upendavyo kama ni raia mwema utateseka mpaka useme Yes Babe.
 
Kwahio angepost kwenye ubao fulani wa shule tungekataa shule ?

Na Hijab ndio uislamu na kama anataka kutoa taswira ya Samia angeweka chura amevaa kapelo au dreads tungejua vipi kwamba ni Samia ?

Nadhani aliyelikoroga ni yule aliyesema watu wazibe masikio na kujifanya vyura wakati wanaolalamika ndio mabosi wao na wanawalipa mishahara...

Hatulipi kodi ili watu wakajigeuze kuwa Vyura
Sheikh njaa
 
Na Mwandishi wetu.

Mwenyekiti Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Tanzania, Shekhe Mussa Kundecha amefunguka na kukemea wazi wazi kitendo cha Mwanaharakati wa mitandaoni Maria Sarungi kuweka chapisho la Picha za Kumdhihaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu na kusema picha hizo sio tu zinamdhihaki Rais bali zinadhihaki Vazi la kislaam na Waislam wote.

Ambapo katika Chapisho hilo Maria Sarungi alituma picha ya Chura akiwa amevaa vazi la Hijab, jambo ambalo ni sawa na kuikashifu na kutukana jamii ya Waislamu Tanzania na Duniani kiujumla.

Shekh Mussa Kundecha amemtaka Maria Sarungi afute chapisho hilo haraka sana kabla wauumini wa dini ya kislamu hawajaungana kwa pamoja kushitaki kwa MwenyeziMungu juu ya jambo hilo ambalo halina taswira nzuri kwa waumini wa Dini ya Kiislamu.

View attachment 3017478
Na Mwandishi wetu.

Mwenyekiti Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Tanzania, Shekhe Mussa Kundecha amefunguka na kukemea wazi wazi kitendo cha Mwanaharakati wa mitandaoni Maria Sarungi kuweka chapisho la Picha za Kumdhihaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu na kusema picha hizo sio tu zinamdhihaki Rais bali zinadhihaki Vazi la kislaam na Waislam wote.

Ambapo katika Chapisho hilo Maria Sarungi alituma picha ya Chura akiwa amevaa vazi la Hijab, jambo ambalo ni sawa na kuikashifu na kutukana jamii ya Waislamu Tanzania na Duniani kiujumla.

Shekh Mussa Kundecha amemtaka Maria Sarungi afute chapisho hilo haraka sana kabla wauumini wa dini ya kislamu hawajaungana kwa pamoja kushitaki kwa MwenyeziMungu juu ya jambo hilo ambalo halina taswira nzuri kwa waumini wa Dini ya Kiislamu.

View attachment 3017478
nadhani ni muhimu platform hiyo ikapigwa maarufu humu nchini, kwasabb kwa kiasi fulani inaingilia na kuathiri uhuru, Imani, mila, desturi na utamaduni wa kiTanzania..

Ina vuruga na kuhatarisha umoja, amani na mshikamano miongoni mwa waTanzania. ni vizuri kuchukua hatua mapema 🐒
 
nadhani ni muhimu platform hiyo ikapigwa maarufu humu nchini, kwasabb kwa kiasi fulani inaingilia na kuathiri uhuru, Imani, mila, desturi na utamaduni wa kiTanzania..

Ina vuruga na kuhatarisha umoja, amani na mshikamano miongoni mwa waTanzania. ni vizuri kuchukua hatua mapema [emoji205]
Utamaduni wa Mtanzania ndo upi ? Imani gani unataka kumaanisha ?
 
Watu wanavyofukuana mitaro hawakemei

Ova
 
Hijab ni nguo au vazi ambalo wanawake wa Kiislamu huvaa kwa lengo la kujisitiri, kulinda heshima yao, na kuzingatia amri za dini kuhusu mavazi. Hijab si tu kwa ajili ya mavazi bali ni sehemu ya mtindo wa maisha, ikijumuisha mwenendo, maadili, na nia ya kutafuta radhi za Allah. Hapa kuna ufafanuzi wa hijab katika Uislamu, ukijumuisha aya za Quran na Hadithi zinazohusiana:

Aya za Quran kuhusu Hijab​

  1. Surah An-Nur (24:31):
    • "Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa yale yanayo dhihirika; na waangushe shungi zao juu ya vifua vyao, wala wasionyeshe uzuri wao ila kwa waume zao, au baba zao, au baba za waume zao, au wana wao, au wana wa waume zao, au ndugu zao, au wana wa ndugu zao, au wana wa dada zao, au wanawake wenzao, au iliyowamiliki mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio, au watoto ambao hawajajua mambo yaliyohusu uke. Wala wasipige miguu yao ili yajulikane mapambo waliyo yaficha. Na tubuni nyote kwa Mwenyezi Mungu, enyi Waumini, ili mpate kufanikiwa."
  2. Surah Al-Ahzab (33:59):
    • "Ewe Nabii! Waambie wake zako na binti zako na wanawake wa Waumini wateremshe juu yao jalbab zao. Kufanya hivyo kutapelekea watambulike kwa hivyo wasidhuriwe. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu."

Hadithi kuhusu Hijab​

  1. Sahih Bukhari:
    • Aisha (RA) aliripoti kuwa Asma bint Abi Bakr aliingia kwa Mtume Muhammad (SAW) akiwa amevaa nguo nyepesi. Mtume (SAW) akamgeukia na kusema: "Ewe Asma! Mwanamke anapofikia umri wa kubaleghe, haifai kuonekana sehemu yoyote ya mwili wake isipokuwa hii na hii," huku akionyesha uso wake na viganja vyake.
Masista wa Kanisa Moja Takatifu la Mitume wanavaa hijab? 🐼
 
Utamaduni wa Mtanzania ndo upi ? Imani gani unataka kumaanisha ?
Nadhani wewe unahitaji msaada maalumu kwanza,

Upigwe msasa vya kutosha jua ya tunu, mila, desturi, utamaduni na Imani za waTanzania, ili hatimae ukiwa na uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya masuala hayo, uweze kukosa ujasiri na nguvu ya kuhoji au kupinga maoni na mtazamo wangu juu ya platform hii ya X inayolalamikiwa sana sasahivi, pande zote za nchi, na makundi mbalimbali ya kisiasa, taasisi za kidini, kiraia na watu binafsi 🐒
 
Eti wamhstaki kwa mwenyezi Mungu😂. Si kuna shehe alisema atamshataki mange kwa mungu, mange bado yupo anadunda, ama huyo mwenyezi Mungu ni kiziwi hasikii mashtaka?

Huyo shehe na huyo mwenyezi mungu wake wote ni wasenge wanapigwa miti.
Siyo vyema masta, usimtusi tafadhali.

Ukiondoa ushehe wake huyo anaweza kuwa kama baba yako so tujenge nidhamu ya kuheshimu waliotuzidi umri hata kama tunahisi wapo tofauti na mawazo yetu.
 
Back
Top Bottom