Sheikh Kundecha akemea Maudhui ya Twitter ( X ) hususani chapisho la Maria Sarungi, awataka Waislam kuikataa Twitter (X)

Sheikh Kundecha akemea Maudhui ya Twitter ( X ) hususani chapisho la Maria Sarungi, awataka Waislam kuikataa Twitter (X)

YESU ni alikuwepo,yupo na atakuwepo milele na milele daima, yeye alikuja duniani kwa mfano wa binadamu lakini kwa uwezo wa roho mtakatifu kupitia Kwa bikira maria mama Bora kuliko wanawake wote. Alikuja kutuokoa na dhambi na kupitia yeye tutaurithi ufalme wa mbingu na kufika paradiso.

Mtume M alizaliwa baada sana ya Bwana YESU wala hakumuona maana ni miaka takribani miatano naushee baada ya Kristo YESU, yeye ni mtoto wa Abdala na Amina walifariki na kumwacha mdoogo akalelewa na mjomba wake na kujifunza biashara ilomfanya kutembea nchi kadhaa na kujifunza dini ikiwamo ukristo... Alisali na kufunga mapangoni huko UARABUNI na kuja na hadithi nzuri tuu anazosema alishushiwa akiwa na miaka 25. Mafunzo yake yamejikita agano lakale naye amefundisha maryamu ni mama Bora aliyechaguliwa na Mungu na Kristo YESU hakuwa mtu wakawaiiida aliyepatikana kupitia mwanaume yaani Joseph.
Ukitaka mafunzo zaidi sema bosi...
kupitia mwanaume yaani Joseph- aliolewa bi Maryam?
 
Na Mwandishi wetu.

Mwenyekiti Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Tanzania, Shekhe Mussa Kundecha amefunguka na kukemea wazi wazi kitendo cha Mwanaharakati wa mitandaoni Maria Sarungi kuweka chapisho la Picha za Kumdhihaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu na kusema picha hizo sio tu zinamdhihaki Rais bali zinadhihaki Vazi la kislaam na Waislam wote.

Ambapo katika Chapisho hilo Maria Sarungi alituma picha ya Chura akiwa amevaa vazi la Hijab, jambo ambalo ni sawa na kuikashifu na kutukana jamii ya Waislamu Tanzania na Duniani kiujumla.

Shekh Mussa Kundecha amemtaka Maria Sarungi afute chapisho hilo haraka sana kabla wauumini wa dini ya kislamu hawajaungana kwa pamoja kushitaki kwa MwenyeziMungu juu ya jambo hilo ambalo halina taswira nzuri kwa waumini wa Dini ya Kiislamu.

View attachment 3017478
Tunawafahamu muda mrefu na udini wenu! Wakati huu hadi mnye blue hakuna masheikh ubwabwa watakaowafuatilia
 
Ukristo ulipokelewa na Waarabu kabla ya Wazungu na WaRombo,mekuu.
Yesu alizaliwa mji ulipo sasa Palestine na kuna Waarabu wakristu kama aliyekuwa makamu wa Rais wa marehemu Sadam Husein na nusu ya Waarabu wa Lebanon ni Wakristu.
Ukristo ni Ufalme ujue tena wa mbinguni hivyo waarabu kuwa Wakristo uko sahihi kabisa

Uislamu ni dini ndio sababu unalindwa Kwa Mapanga yaliyotengenezwa na wanadamu
 
Huyu sheikh anatishia usalama wa Maria Sarungi kwa kusema mnyaazi mungu akitaka kupambana na binadamu huwa anawaalika binadamu wampambanie.
 
Kwahiyo angepost kwenye ubao fulani wa shule tungekataa shule?

Na Hijab ndio uislamu? Na kama anataka kutoa taswira ya Samia angeweka chura amevaa kapelo au dreads tungejua vipi kwamba ni Samia?

Nadhani aliyelikoroga ni yule aliyesema watu wazibe masikio na kujifanya vyura wakati wanaolalamika ndio mabosi wao na wanawalipa mishahara...

Hatulipi kodi ili watu wakajigeuze kuwa Vyura
Ofisi za wachora katuni wa Charlie Hebdo kule Paris Ufaransa zilivamiwa na waislam Wenye siasa kali na wakawauwa wachoraji wote kwa risasi.

Huyo dada Maria ausome huo ujumbe akiwa na akili timamu asikurupuke.
 
Na Mwandishi wetu.

Mwenyekiti Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Tanzania, Shekhe Mussa Kundecha amefunguka na kukemea wazi wazi kitendo cha Mwanaharakati wa mitandaoni Maria Sarungi kuweka chapisho la Picha za Kumdhihaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu na kusema picha hizo sio tu zinamdhihaki Rais bali zinadhihaki Vazi la kislaam na Waislam wote.

Ambapo katika Chapisho hilo Maria Sarungi alituma picha ya Chura akiwa amevaa vazi la Hijab, jambo ambalo ni sawa na kuikashifu na kutukana jamii ya Waislamu Tanzania na Duniani kiujumla.

Shekh Mussa Kundecha amemtaka Maria Sarungi afute chapisho hilo haraka sana kabla wauumini wa dini ya kislamu hawajaungana kwa pamoja kushitaki kwa MwenyeziMungu juu ya jambo hilo ambalo halina taswira nzuri kwa waumini wa Dini ya Kiislamu.

View attachment 3017478
Udini TU! Iran wanalazimisha mavazi ya kiislam Kwa wote! Wengine hawataki, ni ujinga na unafiki mkubwa sana!
 
Na Mwandishi wetu.

Mwenyekiti Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Tanzania, Shekhe Mussa Kundecha amefunguka na kukemea wazi wazi kitendo cha Mwanaharakati wa mitandaoni Maria Sarungi kuweka chapisho la Picha za Kumdhihaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu na kusema picha hizo sio tu zinamdhihaki Rais bali zinadhihaki Vazi la kislaam na Waislam wote.

Ambapo katika Chapisho hilo Maria Sarungi alituma picha ya Chura akiwa amevaa vazi la Hijab, jambo ambalo ni sawa na kuikashifu na kutukana jamii ya Waislamu Tanzania na Duniani kiujumla.

Shekh Mussa Kundecha amemtaka Maria Sarungi afute chapisho hilo haraka sana kabla wauumini wa dini ya kislamu hawajaungana kwa pamoja kushitaki kwa MwenyeziMungu juu ya jambo hilo ambalo halina taswira nzuri kwa waumini wa Dini ya Kiislamu.

View attachment 3017478
Kuna mahali watu wanahitaji ukombozi wa kifkra yaani ukizama vibaya kwenye dini utakuwa hutoki hata ndani, Binafsi sioni tatizo, karuni zinavaa nguo za kila aina na zipo zingine zinavaa mpaka hilo vazi, basi asemee na huko piaaa. Maria nakupenda bure na kwa gharama yoyote, sina chama ila nakufuatilia sanaaa,
 
Back
Top Bottom