Kingwaba Mazegenuka
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 1,016
- 1,707
Kuna picha halisi mods wameifuta inamuonyesha mwanamama amevaa hijab huku anagida serengeti lite,ingenogesha hii post yako.Kuna matukio Huwa wanasema hijab, uislam na uarabu utofautishwe.
Akionekana mtu mwenye hijabu anakula kitimoto. Waislam hawakawii kusema hijab haina dini
Shekhe unalalama kwa hijabu ingekua kanzu ingekuweje,achana na mitandaoSHEIKH KUNDECHA AKEMEA MAUDHUI YA TWITTER ( X ) HUSUSANI CHAPISHO LA MARIA SARUNGI, AWATAKA WAISLAM KUIKATAA TWITTER (X)
Na Mwandishi wetu.
Mwenyekiti Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Tanzania, Shekhe Mussa Kundecha amefunguka na kukemea wazi wazi kitendo cha Mwanaharakati wa mitandaoni Maria Sarungi kuweka chapisho la Picha za Kumdhihaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu na kusema picha hizo sio tu zinamdhihaki Rais bali zinadhihaki Vazi la kislaam na Waislam wote.
Ambapo katika Chapisho hilo Maria Sarungi alituma picha ya Chura akiwa amevaa vazi la Hijab, jambo ambalo ni sawa na kuikashifu na kutukana jamii ya Waislamu Tanzania na Duniani kiujumla.
Shekh Mussa Kundecha amemtaka Maria Sarungi afute chapisho hilo haraka sana kabla wauumini wa dini ya kislamu hawajaungana kwa pamoja kushitaki kwa MwenyeziMungu juu ya jambo hilo ambalo halina taswira nzuri kwa waumini wa Dini ya Kiislamu.
Angemuwa mwanamke anadanga na vazi la hijab wangesema TenganIsha vazi na matendo ya mtuKuna matukio Huwa wanasema hijab, uislam na uarabu utofautishwe.
Akionekana mtu mwenye hijabu anakula kitimoto. Waislam hawakawii kusema hijab haina dini
Lakini si kasema mwenyewe kuwa yeye ni chura? Au alisemewa?Uarabu ndio Uislam Usiwe Tutusa
Kumbe ndio sababu baadhi ya waislam huwachukia wakristo.Angalikuwa muislam kaandika haya JF mod angalikuwa ashampiga ban. Quran imeeleza wazi chuki za wakiristo dhidi ya waislam na uislam
Kanzu hata wahaya huvaa na mitunGI yao ya rubisi wakiwa harusiniShekhe unalalama kwa hijabu ingekua kanzu ingekuweje,achana na mitandao
Vazi la kiislamu au la kiarabu?SHEIKH KUNDECHA AKEMEA MAUDHUI YA TWITTER ( X ) HUSUSANI CHAPISHO LA MARIA SARUNGI, AWATAKA WAISLAM KUIKATAA TWITTER (X)
Na Mwandishi wetu.
Mwenyekiti Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Tanzania, Shekhe Mussa Kundecha amefunguka na kukemea wazi wazi kitendo cha Mwanaharakati wa mitandaoni Maria Sarungi kuweka chapisho la Picha za Kumdhihaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu na kusema picha hizo sio tu zinamdhihaki Rais bali zinadhihaki Vazi la kislaam na Waislam wote.
Ambapo katika Chapisho hilo Maria Sarungi alituma picha ya Chura akiwa amevaa vazi la Hijab, jambo ambalo ni sawa na kuikashifu na kutukana jamii ya Waislamu Tanzania na Duniani kiujumla.
Shekh Mussa Kundecha amemtaka Maria Sarungi afute chapisho hilo haraka sana kabla wauumini wa dini ya kislamu hawajaungana kwa pamoja kushitaki kwa MwenyeziMungu juu ya jambo hilo ambalo halina taswira nzuri kwa waumini wa Dini ya Kiislamu.
Achana na sarungi fata mambo yako kwenye mtandaoKanzu hata wahaya huvaa na mitunGI yao ya rubisi wakiwa harusini
Ini Mavazi tu
Sheikh njaaKwahio angepost kwenye ubao fulani wa shule tungekataa shule ?
Na Hijab ndio uislamu na kama anataka kutoa taswira ya Samia angeweka chura amevaa kapelo au dreads tungejua vipi kwamba ni Samia ?
Nadhani aliyelikoroga ni yule aliyesema watu wazibe masikio na kujifanya vyura wakati wanaolalamika ndio mabosi wao na wanawalipa mishahara...
Hatulipi kodi ili watu wakajigeuze kuwa Vyura
Na Mwandishi wetu.
Mwenyekiti Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Tanzania, Shekhe Mussa Kundecha amefunguka na kukemea wazi wazi kitendo cha Mwanaharakati wa mitandaoni Maria Sarungi kuweka chapisho la Picha za Kumdhihaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu na kusema picha hizo sio tu zinamdhihaki Rais bali zinadhihaki Vazi la kislaam na Waislam wote.
Ambapo katika Chapisho hilo Maria Sarungi alituma picha ya Chura akiwa amevaa vazi la Hijab, jambo ambalo ni sawa na kuikashifu na kutukana jamii ya Waislamu Tanzania na Duniani kiujumla.
Shekh Mussa Kundecha amemtaka Maria Sarungi afute chapisho hilo haraka sana kabla wauumini wa dini ya kislamu hawajaungana kwa pamoja kushitaki kwa MwenyeziMungu juu ya jambo hilo ambalo halina taswira nzuri kwa waumini wa Dini ya Kiislamu.
View attachment 3017478
nadhani ni muhimu platform hiyo ikapigwa maarufu humu nchini, kwasabb kwa kiasi fulani inaingilia na kuathiri uhuru, Imani, mila, desturi na utamaduni wa kiTanzania..Na Mwandishi wetu.
Mwenyekiti Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Tanzania, Shekhe Mussa Kundecha amefunguka na kukemea wazi wazi kitendo cha Mwanaharakati wa mitandaoni Maria Sarungi kuweka chapisho la Picha za Kumdhihaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu na kusema picha hizo sio tu zinamdhihaki Rais bali zinadhihaki Vazi la kislaam na Waislam wote.
Ambapo katika Chapisho hilo Maria Sarungi alituma picha ya Chura akiwa amevaa vazi la Hijab, jambo ambalo ni sawa na kuikashifu na kutukana jamii ya Waislamu Tanzania na Duniani kiujumla.
Shekh Mussa Kundecha amemtaka Maria Sarungi afute chapisho hilo haraka sana kabla wauumini wa dini ya kislamu hawajaungana kwa pamoja kushitaki kwa MwenyeziMungu juu ya jambo hilo ambalo halina taswira nzuri kwa waumini wa Dini ya Kiislamu.
View attachment 3017478
Utamaduni wa Mtanzania ndo upi ? Imani gani unataka kumaanisha ?nadhani ni muhimu platform hiyo ikapigwa maarufu humu nchini, kwasabb kwa kiasi fulani inaingilia na kuathiri uhuru, Imani, mila, desturi na utamaduni wa kiTanzania..
Ina vuruga na kuhatarisha umoja, amani na mshikamano miongoni mwa waTanzania. ni vizuri kuchukua hatua mapema [emoji205]
Masista wa Kanisa Moja Takatifu la Mitume wanavaa hijab? 🐼Hijab ni nguo au vazi ambalo wanawake wa Kiislamu huvaa kwa lengo la kujisitiri, kulinda heshima yao, na kuzingatia amri za dini kuhusu mavazi. Hijab si tu kwa ajili ya mavazi bali ni sehemu ya mtindo wa maisha, ikijumuisha mwenendo, maadili, na nia ya kutafuta radhi za Allah. Hapa kuna ufafanuzi wa hijab katika Uislamu, ukijumuisha aya za Quran na Hadithi zinazohusiana:
Aya za Quran kuhusu Hijab
- Surah An-Nur (24:31):
- "Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa yale yanayo dhihirika; na waangushe shungi zao juu ya vifua vyao, wala wasionyeshe uzuri wao ila kwa waume zao, au baba zao, au baba za waume zao, au wana wao, au wana wa waume zao, au ndugu zao, au wana wa ndugu zao, au wana wa dada zao, au wanawake wenzao, au iliyowamiliki mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio, au watoto ambao hawajajua mambo yaliyohusu uke. Wala wasipige miguu yao ili yajulikane mapambo waliyo yaficha. Na tubuni nyote kwa Mwenyezi Mungu, enyi Waumini, ili mpate kufanikiwa."
- Surah Al-Ahzab (33:59):
- "Ewe Nabii! Waambie wake zako na binti zako na wanawake wa Waumini wateremshe juu yao jalbab zao. Kufanya hivyo kutapelekea watambulike kwa hivyo wasidhuriwe. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu."
Hadithi kuhusu Hijab
- Sahih Bukhari:
- Aisha (RA) aliripoti kuwa Asma bint Abi Bakr aliingia kwa Mtume Muhammad (SAW) akiwa amevaa nguo nyepesi. Mtume (SAW) akamgeukia na kusema: "Ewe Asma! Mwanamke anapofikia umri wa kubaleghe, haifai kuonekana sehemu yoyote ya mwili wake isipokuwa hii na hii," huku akionyesha uso wake na viganja vyake.
duh。。。Na Mwandishi wetu.
Mwenyekiti Jumuiya na Taasisi za Kiislaam nchini Tanzania, Shekhe Mussa Kundecha amefunguka na kukemea wazi wazi kitendo cha chapisho la Picha za Kudhihaki Vazi la kislaam na Waislam wote.
View attachment 3017478
Nadhani wewe unahitaji msaada maalumu kwanza,Utamaduni wa Mtanzania ndo upi ? Imani gani unataka kumaanisha ?
Siyo vyema masta, usimtusi tafadhali.Eti wamhstaki kwa mwenyezi Mungu😂. Si kuna shehe alisema atamshataki mange kwa mungu, mange bado yupo anadunda, ama huyo mwenyezi Mungu ni kiziwi hasikii mashtaka?
Huyo shehe na huyo mwenyezi mungu wake wote ni wasenge wanapigwa miti.