Bourgeoisie
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 656
- 162
Hana kitu mbulumundu huyu.Shule zinazomilikiwa na taasisi hii zinajulikana kwa kuwa kitinda mimba kwa mitihani ya taifa.
Badala ya kushughulikia namna ya kuboresha ufaulu na usimamizi wa shule hizi yeye anajifanya mkalimani wa lugha rahisi!
Badala ya kushughulikia namna ya kuboresha ufaulu na usimamizi wa shule hizi yeye anajifanya mkalimani wa lugha rahisi!